Ilikuwa mwaka gani kam co kweli.Sio kweli
Shida unakuta tuliposomea hizo taarifa na baadhi ya misamiati kwa kiswahili hatuijui[emoji2377]... mfano supernova, big bang kwa kiswahili ni nn?Huwa tunatamani kujifunza ila tatizo la mada za intelligence bwana
Ni swanglish
Yani mnaelezea vitu kwa lugha 2 mnaziunganisha mnatupoteza sana
Kitu kingne muanzisha mada ni mtata maan nmejarbu kupitia tangu mwanz watu wamejibu vzr kwa uelewa wang kutokan na concept ya physics lakn hataki ayo majibu.Shida unakuta tuliposomea hizo taarifa na baadhi ya misamiati kwa kiswahili hatuijui[emoji2377]... mfano supernova, big bang kwa kiswahili ni nn?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sindio, napenda kuona yeye anafikiria nn ili tuweze kushirikishana... unajua tena haya mambo hayana mjuaji...Kitu kingne muanzisha mada ni mtata maan nmejarbu kupitia tangu mwanz watu wamejibu vzr kwa uelewa wang kutokan na concept ya physics lakn hataki ayo majibu.
Sasa cjui ni wap tunawez pat majibu au labd ana majibu yake ila anaogop ku share
MjifunzeShida unakuta tuliposomea hizo taarifa na baadhi ya misamiati kwa kiswahili hatuijui[emoji2377]... mfano supernova, big bang kwa kiswahili ni nn?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa[emoji276]Mjifunze
Kama hamjifunzi basi maelezo yawe ya kingereza dear
Vitu nilivyouliza sio vya kitoto hata sku moja,Majibu yanayotolewa na watafit mpaka Leo Yana utata,na ndo maana watu wanaendelea na utafit!! Hiv una Habar kuwa Sayari kwenye solar system zshapunguzwa,mpaka leo znatambuliwa sayar nane tu!! Sasa watu wangeridhika na majibu ya zamani Sayari zingepungua???Ilikuwa mwaka gani kam co kweli.
Hizi ni approximation tu mkuu unakuwa kam hujaend shule, hakuna anajua exactly ilikuwa ni mwaka gan.
Alaf vtu unavohoji ni vya kitoto vilishakuwa proved miak mingi labd co mtu wa kupenda kusoma ndoman unakuj kusumbua. Hay maswal yako hat mtot wa form3 anakujibu vzr
Sayari 8? Hio ni kulingana na science ya darasa la tano... kuna sayari zaidi ya nane. Kuna tano nyingine; zinaitwa "DWARF PLANETS"... ambazo ni pluto, ceres, makemake, haumea na eris. Na science ipo kwaajili ya kutafuta/kuchunguza ukweli. Science haina majibu, bali Science inatafuta majibuVitu nilivyouliza sio vya kitoto hata sku moja,Majibu yanayotolewa na watafit mpaka Leo Yana utata,na ndo maana watu wanaendelea na utafit!! Hiv una Habar kuwa Sayari kwenye solar system zshapunguzwa,mpaka leo znatambuliwa sayar nane tu!! Sasa watu wangeridhika na majibu ya zamani Sayari zingepungua???
Kwani NASA wanapotuma vyombo kwenda kwenye anga za mbali, vyombo ambavyo huwa vinatoka kwenye nguvu za uvutano wa dunia huwa wanafanyaje? Kwa mfano kwenye ile "MISSION TO PLUTO", iliyochukua miaka kadhaa kwa chombo kufika huko?Vimondo ni magimba yanayomeguka kutoka kwenye Sayari na yakishameguka huingia kwenye anga la Dunia yetu na hatimae hudondokea kwenye uso wa Dunia yetu!
Swali ni je hiki kipate kinawezaje kueskepu kutoka kwenye Sayari wakati Kuna grevitational force?
Najaribu kujiuliza na kuchukua mfano kipande cha Dunia hakiwezi kutoka kwenye uso wa Dunia na kuelekea kwenye anga maana Kuna gravitational imekishikiria!
Kwenye Sayari inawezekaneje kipande kimeguke na kieskepu kwenye hiyo Sayari?
Swali jingne: Kimondo kikiwa kinakuja kwenye uso wa Dunia huwa vina mwanga mkubwa Sana, lakin kikifika chini huzimika kabisa na mwanga huo hupotea kabisa, na kinakuwa ni jiwe tu Kama yalivyo mengine. Swali je huo mwanga kwanini hupotea?
Kwanini vimondo Mara nyingi hutua katika uso wa Dunia mida ya usiku?
Uhmm.. kuhusu mwanga nafkiri kamaanisha mwanga ule unaowaka kikiingia katika atmosphere ya dunia: ni kwamba kinaungua kutokana na ile friction...Kwani NASA wanapotuma vyombo kwenda kwenye anga za mbali, vyombo ambavyo huwa vinatoka kwenye nguvu za uvutano wa dunia huwa wanafanyaje? Kwa mfano kwenye ile "MISSION TO PLUTO", iliyochukua miaka kadhaa kwa chombo kufika huko?
Ambacho huwa kinafanywa na NASA ni ku-project spacecraft kwa kutumia velocity of escape! Wanaki-project chombo kwa kutumai force ambayo itakipa velocity ambayo itakiwezesha ku-escpae from the gravitational field of the earth.
Tukirudi sasa kwenye swali lako ni kwamba vimondo ambavyo huwa vinabahatika kutufikia hapa duniani, huwa vimebahatika ku-attain velocity of escape kutoka kwenye gravitational field za sayari ambako vimetokea.
Kumbuka pia kuwa gravitational forces zina vary kutoka sayari moja kwenda sayari nyingine. Kwa hiyo sayari zingine kwenye mfumo wa jua nazo pia zina gravitationa forces zake tofauti na hii ya kwetu tuliyoanyo hapa duniani
Kwa maelezo zaidi kuhusina na gravitational forces kwenye mfumo wa jua, unaweza ksoma hapa
Gravitational Factors Of Our Eight Planets
The gravity of different planets is a function of planetary mass, radius and density. Jupiter has the greatist gravitational force at its surface, and the moon has the weakest. The moon, on the other hand, exerts the strongest gravitational force on Earth because it's the closest body to our planet.sciencing.com Kuhusiana na mwanga, vimondo hivyo huwa vinaakisi mwanga kutoka kwenye nyota zingine kwenye space. Ni kama mwezi huwa tunauona ukiwa unang'aa, ila mwezi hauna mwanga isipokuwa huwa unaakisi mwanga kutoka kwenye nyota zingine
- Mercury: 0.38 g
- Venus: 0.9 g
- Moon: 0.17 g
- Mars: 0.38 g
- Jupiter: 2.53 g
- Saturn: 1.07 g
- Uranus: 0.89 g
- Neptune: 1.14 g
Mkuu nna maswali mawili kulingana na majibu yako;Kwani NASA wanapotuma vyombo kwenda kwenye anga za mbali, vyombo ambavyo huwa vinatoka kwenye nguvu za uvutano wa dunia huwa wanafanyaje? Kwa mfano kwenye ile "MISSION TO PLUTO", iliyochukua miaka kadhaa kwa chombo kufika huko?
Ambacho huwa kinafanywa na NASA ni ku-project spacecraft kwa kutumia velocity of escape! Wanaki-project chombo kwa kutumai force ambayo itakipa velocity ambayo itakiwezesha ku-escpae from the gravitational field of the earth.
Tukirudi sasa kwenye swali lako ni kwamba vimondo ambavyo huwa vinabahatika kutufikia hapa duniani, huwa vimebahatika ku-attain velocity of escape kutoka kwenye gravitational field za sayari ambako vimetokea.
Kumbuka pia kuwa gravitational forces zina vary kutoka sayari moja kwenda sayari nyingine. Kwa hiyo sayari zingine kwenye mfumo wa jua nazo pia zina gravitationa forces zake tofauti na hii ya kwetu tuliyoanyo hapa duniani
Kwa maelezo zaidi kuhusina na gravitational forces kwenye mfumo wa jua, unaweza ksoma hapa
Gravitational Factors Of Our Eight Planets
The gravity of different planets is a function of planetary mass, radius and density. Jupiter has the greatist gravitational force at its surface, and the moon has the weakest. The moon, on the other hand, exerts the strongest gravitational force on Earth because it's the closest body to our planet.sciencing.com Kuhusiana na mwanga, vimondo hivyo huwa vinaakisi mwanga kutoka kwenye nyota zingine kwenye space. Ni kama mwezi huwa tunauona ukiwa unang'aa, ila mwezi hauna mwanga isipokuwa huwa unaakisi mwanga kutoka kwenye nyota zingine
- Mercury: 0.38 g
- Venus: 0.9 g
- Moon: 0.17 g
- Mars: 0.38 g
- Jupiter: 2.53 g
- Saturn: 1.07 g
- Uranus: 0.89 g
- Neptune: 1.14 g
Kuhusu kwamba et kimondo kinatoa mwanga kwa sababu ya kuungua due to friction hyo nshaipinga mkuu!! Ingekuwa ni kweli ndege zingekuwa zinaungua mno zikiwa hewani mkuuUhmm.. kuhusu mwanga nafkiri kamaanisha mwanga ule unaowaka kikiingia katika atmosphere ya dunia: ni kwamba kinaungua kutokana na ile friction...
Sent using Jamii Forums mobile app
Nini kinasababisha hivyo Vimondo vipate escape velocity,then viescepu from their planets???Mkuu nna maswali mawili kulingana na majibu yako;
a/
I)Nini kinasababisha hivyo Vimondo vipate escape velocity,then viescepu from their planets???
II)Nin kinasababisha gravitation "g" zivari kutoka Sayari moja na nyingne ??? Hili swali ukilijibu litatufanya tuelewe vizuri kuhusu astronomy, nakuomba ujibu mwenyewe uache habari za kuniambia kuwa niende nkasome Google,maana tunapeane elimu hapahapa
b) Vimondo umeeleza kuwa huwa vinatoa mwanga vilivyopokea kutoka kwenye Jua ndo maana vinaonekana vinatoa mwanga vikiwa vinaanguka!!! Swali Ni je kwanin Vimondo hivi vikifika chini huwa havitoi mwanga?? Mfano hai Ni kile Kimondo Cha Mbozi-Songwe,huwa hakitoi mwanga wakat wa ucku!! Maana kingekuwa kinaakis mwanga wa Jua ucku kingekuwa kinatoa mwanga!! Hapa unamaelezo gan mkuu??
Ndege hazina hio speed yakutosha kutengeneza friction kali mpaka ikaungua. Kuna ndege nafkiri ndio inashikilia rekodi ya kua fastest manned aircraft, yenyew limit yake ya speed ni joto.. inakimbia mpaka inakaribia kuungua (kama vimondo).Kuhusu kwamba et kimondo kinatoa mwanga kwa sababu ya kuungua due to friction hyo nshaipinga mkuu!! Ingekuwa ni kweli ndege zingekuwa zinaungua mno zikiwa hewani mkuu
Yea. Na kimondo kudondoka ni nadra. Asilimia kubwa vinaungua na kuishilia hukohuko juu... kikidondoka inakua either hakikua na speed ya kutosha au kilikua kikubwa sana ivo hakikuungua chote kikaishilia..Nini kinasababisha hivyo Vimondo vipate escape velocity,then viescepu from their planets???
Tuseme maporomoko yakitokea Morogoro, unaweza ukauliza kwa nini yametokea?. Ni instability kwenye surcface za sayari ambako huwa vinameguka, ambayo siwezi kujua hiyo instability huwa inasababishwa na nini. Ili kitu kiweze kumeguka sehemu kilipokuwa, lazima kutokee instability mahali pale kilipokuwa awali.
Nin kinasababisha gravitation "g" zivari kutoka Sayari moja na nyingne ??
Speed of revolutiion of planets while orbiting the sun. kawaida "g" huwa ni product ambayo iko related to mass of the planets and orbital distance of the planet. Planets ziko umbali tofauti kutoka kwenye jua na zina uzito (mass) tofauti. Hiki ndicho kinachangia "g" iweze ku- vary from one planet to another
Vimondo umeeleza kuwa huwa vinatoa mwanga vilivyopokea kutoka kwenye Jua ndo maana vinaonekana vinatoa mwanga vikiwa vinaanguka!!!
Ukienda kwenye mwezi, huwezi kuuona mwezi ukiwa unatoa mwanga mithili ya ule amabo huwa unauona pindi unapokuwa upo duniani, kwa hiyo frame of reference ndiyo inapelekea vionekana vina mwanga
Still, kuna contribution ya frictional force kwenye mwanga wa kimondo kinachotembea hewani. Something in motion (in air) must have an opposig drug force, the consequences of which is the production of heat which may be observed as light energy by an observer in another frame of reference.
Hapa natumia knowledge yangu perce na sijajaribu kufanya reference kutoka sehemu nyingine. I'm sorry if I may be wrong!
Kwa comment hii tu, nachelea kusema wanaojihangaisha kukujibu hawana kazi zingine za kufanya, wangeacha kujisumbua kisha wewe utoe majibu ya maswali yako mwenyewe na labda wao waanze kukuuliza maswali weweKuhusu kwamba et kimondo kinatoa mwanga kwa sababu ya kuungua due to friction hyo nshaipinga mkuu!! Ingekuwa ni kweli ndege zingekuwa zinaungua mno zikiwa hewani mkuu