Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
kwenye maswala ya space mm. ni tomaso
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UongoHivo vinaitwa vimondo, havijawahi kuanguka toka huko mawinguni. Bali vimeundwa na wanadamu kwa kushirikiana na viumbe toka sayari za huko nje ya dunia kwa ajili ya kupata nguvu za kiroho.
Lile jiwe lipo Makka ni mojawapo ya mawe hayo (shrines)
Duh!Hivo vinaitwa vimondo, havijawahi kuanguka toka huko mawinguni. Bali vimeundwa na wanadamu kwa kushirikiana na viumbe toka sayari za huko nje ya dunia kwa ajili ya kupata nguvu za kiroho.
Lile jiwe lipo Makka ni mojawapo ya mawe hayo (shrines)
May be, labda niulize.NASA bado ni kinara mkuu
Mkuu [emoji113][emoji113][emoji1787][emoji1787][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Nani aliyepiga hii picha na alikuwa wap?
Swali lako linanijengea mantiki kwamba kwenye elimu ya anga tunapigwa sanaVimondo ni magimba yanayomeguka kutoka kwenye Sayari na yakishameguka huingia kwenye anga la Dunia yetu na hatimae hudondokea kwenye uso wa Dunia yetu!
Swali ni je hiki kipate kinawezaje kueskepu kutoka kwenye Sayari wakati Kuna grevitational force?
Najaribu kujiuliza na kuchukua mfano kipande cha Dunia hakiwezi kutoka kwenye uso wa Dunia na kuelekea kwenye anga maana Kuna gravitational imekishikiria!
Kwenye Sayari inawezekaneje kipande kimeguke na kieskepu kwenye hiyo Sayari?
Swali jingne: Kimondo kikiwa kinakuja kwenye uso wa Dunia huwa vina mwanga mkubwa Sana, lakin kikifika chini huzimika kabisa na mwanga huo hupotea kabisa, na kinakuwa ni jiwe tu Kama yalivyo mengine. Swali je huo mwanga kwanini hupotea?
Kwanini vimondo Mara nyingi hutua katika uso wa Dunia mida ya usiku?
Energy = mass*(speed)² xaxa kumbuka vimondo vinaenda kwa speed kubwa sana na n very massive laki pia ndege Kuna energy inatoa lkn frequency za io energy sio za kweny visible light range pia ndege zmechongoka mbele kupunguza friction ileMbna ndege zkiwa juu hazipat hyo friction na kuungua ???
Nadharia ni nyingi kuliko facts za uhalisiaKivip mkuu?