Nina maswali fikirishi kuhusu nadharia ya vimondo

Nina maswali fikirishi kuhusu nadharia ya vimondo

Hivo vinaitwa vimondo, havijawahi kuanguka toka huko mawinguni. Bali vimeundwa na wanadamu kwa kushirikiana na viumbe toka sayari za huko nje ya dunia kwa ajili ya kupata nguvu za kiroho.

Lile jiwe lipo Makka ni mojawapo ya mawe hayo (shrines)
 
Hivo vinaitwa vimondo, havijawahi kuanguka toka huko mawinguni. Bali vimeundwa na wanadamu kwa kushirikiana na viumbe toka sayari za huko nje ya dunia kwa ajili ya kupata nguvu za kiroho.

Lile jiwe lipo Makka ni mojawapo ya mawe hayo (shrines)
Uongo
 
Hivo vinaitwa vimondo, havijawahi kuanguka toka huko mawinguni. Bali vimeundwa na wanadamu kwa kushirikiana na viumbe toka sayari za huko nje ya dunia kwa ajili ya kupata nguvu za kiroho.

Lile jiwe lipo Makka ni mojawapo ya mawe hayo (shrines)
Duh!
 
Kati ya nasa na elon nani mkali wa anga.. Is like kuna usiri mkubwa sana hawa wawili wana shindana..
 
Dunia hujiendesha ktk nature yake.. Na action and reaction are = and opposite. Tume deform many nature za hii dunia.. Sasa,, majanga mbali mbali tunayoyapata ama ya asili au la, hayo yoote yatakuwa yanatokea ili dunia irudi katika uhalisia wake..
Mfano leo hii ukikata miti yote duniani,, baa la njaa litaingia, watakufa watu wengi, wanyama, na mimea, maji yatapotea na kukauka, mwisho wa siku, watabaki wachache sana, na wale waliokufa watageuka kuwa organic manures,, then uoto wa asili utaanza kuchipukia and at the end dunia itarudi ktk uhalisia wake..
That is energy can neither be created nor destroy, but it can transform from one form into another...
 
NASA bado ni kinara mkuu
May be, labda niulize.
Ktk soma soma yangu,, utafit wa anga za mbali mara nyingi unafanyika kwa kutumia vyombo maalum vinavyorushwa kwwnga huko.. But so, far nimesoma mahali, satelites nyingi (especially za nasa), zikitumwa huko, ama hazirudi au zikirud hazina uwezo wa kwenda huko tena.. Lakin huyu jamaa elon ametengeneza za kwake zenye uwezo wa kwenda zikarudi na kwenda tena na kurud na kwenda.... Na so far, nasa ni wa zamani, ila jamaa sasaiv utafit wake wa sayar ya mars imekuwa mkubwa na umeshika kasi sana. Imepelekea adi naskia serikal ya USA imewekeza sana kwenye sayansi ya jamaa billions of money
 
Vimondo ni magimba yanayomeguka kutoka kwenye Sayari na yakishameguka huingia kwenye anga la Dunia yetu na hatimae hudondokea kwenye uso wa Dunia yetu!

Swali ni je hiki kipate kinawezaje kueskepu kutoka kwenye Sayari wakati Kuna grevitational force?

Najaribu kujiuliza na kuchukua mfano kipande cha Dunia hakiwezi kutoka kwenye uso wa Dunia na kuelekea kwenye anga maana Kuna gravitational imekishikiria!

Kwenye Sayari inawezekaneje kipande kimeguke na kieskepu kwenye hiyo Sayari?

Swali jingne: Kimondo kikiwa kinakuja kwenye uso wa Dunia huwa vina mwanga mkubwa Sana, lakin kikifika chini huzimika kabisa na mwanga huo hupotea kabisa, na kinakuwa ni jiwe tu Kama yalivyo mengine. Swali je huo mwanga kwanini hupotea?

Kwanini vimondo Mara nyingi hutua katika uso wa Dunia mida ya usiku?
Swali lako linanijengea mantiki kwamba kwenye elimu ya anga tunapigwa sana
 
Kwa physics yangu ndogo kimondo kinavotembea kinakua na friction kubwa hiyo husababisha kutolewa kwa energy kubwa inform of heat and visible light
 
Kwa physics yangu ndogo kimondo kinavotembea kinakua na friction kubwa hiyo husababisha kutolewa kwa energy kubwa inform of heat and visible light
Mbna ndege zkiwa juu hazipat hyo friction na kuungua ???
 
Mbna ndege zkiwa juu hazipat hyo friction na kuungua ???
Energy = mass*(speed)² xaxa kumbuka vimondo vinaenda kwa speed kubwa sana na n very massive laki pia ndege Kuna energy inatoa lkn frequency za io energy sio za kweny visible light range pia ndege zmechongoka mbele kupunguza friction ile
 
Back
Top Bottom