😂😂😂😂Pesa yake? Unamaanisha nini?
Hiyo mikopo ya Milioni 27 & milioni 20 mumewe anahusika haswa hivyo ni lazima ashirikishwe.
Ngoja mkeo ashindwe kulipa hiyo mikopo ndio utajua hujui....
Kimsingi hiyo hela lazima wakubaliane kabla ya kukopa na matumizi yake.....
Ukijifanya mpuuzi wa kutofuatilia mienendo ya mikopo ya mkeo, jua tu huna tofauti na Mangungo wa Msovero aliyeuziwa mbuzi kwenye gunia....
Mwaka jana tu jirani yangu karibia afe kwa presha; Katoka zake kwenye mihangaiko kakutana na bango kubwa nyumbani kwake; Nyumba hii inauzwa!!! kumbe mkeo alikopa....
Ni kweli kabisa....nakutawala kabisaKitu kibaya cha mwanamke ni hivi, ukimuacha akafanya kila kitu pasipo kuhoji atachukulia mambo ni kawaida na atakuja kukuletea mwanaume ndani akijua utasema nini
Duuh hii pointi kweliKwa sababu wewe unaona ambacho yeye haoni...wewe tulia Tu ...subiri mda ufike ajifunze mwenyewe.
Nenda nae taratibu...ukifika wakati anagombea nyumba na ndugu zake ndo umwambie nilikuonya Sana unaona?
Kwa sasa subiri Tu mda utatoa majibu
Sasa ila usije ukawa kama hao wenzako basi😂😂😂weee,nisijefukuzishwa haka kakibarua....samahani nina kaz mkuu
Kama unapesa za kunitunza....niambie niache kaz basSasa ila usije ukawa kama hao wenzako basi
😳kagamee?Duuh hii pointi kweli
Leo kanipigia simu mjomba,,kule visa free any moment nikale kitimoto😳kagamee?
Mjomba?😂😂Leo kanipigia simu mjomba,,kuke visa free any moment nikale kitimoto
Pesa za kukutunza ninazo ila kazi Baki nayo maana maisha safari ndefu babyKama unapesa za kunitunza....niambie niache kaz bas
Mwanamke kama huyo mbinafsi! Ashindwi kukuwekea sumu ufe kisa maliMambo ya financial yasikuumize sana bro, nilijua amekucheat kumbe ishu ni kwamba mambo ya pesa yake acha awe na uhuru na pesa yake, vinginevyo naona mnaenda kuachana kisa fedha
Ukitaka ugomvi ulizia matumizi na fedha ya mwanamke hata kama unafanya kila kitu wewe, pambana mzee acha kuwa na moyo soft hivyo,
Yeah sisi wanyambo na watusi na wahutu na wanyankole na wanyolo na waganda na warundi na wahangaza na wanyamulenge watusi ni wajomba.🤣🤣🤣Mjomba?😂😂
Anha,sawa....ila sijazoea kuitwa baby..humu wananiita single mom😘Pesa za kukutunza ninazo ila kazi Baki nayo maana maisha safari ndefu baby
Anha,hapo nimekuelewa nduguYeah sisi wanyambo na watusi na wahutu na wanyankole na wanyolo na waganda na warundi na wahangaza na wanyamulenge watusi ni wajomba.🤣🤣🤣
Pamoja sana ndugu.Anha,hapo nimekuelewa ndugu
Sasa ndiyo hivyo nishapenda ua na bogaAnha,sawa....ila sijazoea kuitwa baby..humu wananiita single mom😘
😂😂😂ikamponza....mtunze mkeo ndugu....akitunzwa nje bas ndani moto utawakaPamoja sana ndugu.
🤣🤣🤣😂 jamaa alioa kisa hijab duuu
Hayo ndiyo mambo sasa mchumba😘Sasa ndiyo hivyo nishapenda ua na boga
Yeah baby shata shataHayo ndiyo mambo sasa mchumba😘
Tatizo ni kuwa jamaa analipa mkopi indirectNdiyo maana watu wanawashauri muoe wanawake wasio na kaz ili muwadhibiti mtakavyo....sasa wewe mwanamke anatumia pesa zake tayari unataka ziwe zako....aisee kwa manzi wa kibongo ndoa lazima ikushinde
Yaan daaTatizo ni kuwa jamaa analipa mkopi indirect