Nina Mgogoro kwenye ndoa, kila pesa anayopata Mke wangu anaenda kujenga kwao. Naomba msaada

😂😂😂😂
 
Mwanamke kama huyo mbinafsi! Ashindwi kukuwekea sumu ufe kisa mali
 
Ndiyo maana watu wanawashauri muoe wanawake wasio na kaz ili muwadhibiti mtakavyo....sasa wewe mwanamke anatumia pesa zake tayari unataka ziwe zako....aisee kwa manzi wa kibongo ndoa lazima ikushinde
Tatizo ni kuwa jamaa analipa mkopi indirect
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…