Nina Mgogoro kwenye ndoa, kila pesa anayopata Mke wangu anaenda kujenga kwao. Naomba msaada

Nina Mgogoro kwenye ndoa, kila pesa anayopata Mke wangu anaenda kujenga kwao. Naomba msaada

Nimeona wengine wakimtetea mke wengine mume

Iko hivi kipato cha mke na mume ni cha familia au wanandoa sio cha wazazi, ndugu au wanaukoo

Kihalisi pesa yoyote ya familia (ya mke au mume) hasa kiasi kikubwa kabla hakijatoka na kufanyiwa matumizi lazima mume na mke wakae washauriane na kukubaliana

Hii ndio silaha pekee ya kuepuka migogoro ya pesa kwenye ndoa
 
I can't imagine kuishi na mtoto wa mtu for the rest of my life, hell NO. Kwa akili zangu ninavyoziona nikioa sidhani kama ndoa yangu itamaliza mwaka.
ILa mkuu si amepeleka hela yake?? Na huo mkopo kama ataulipa yeye mwenyewe hakuna tatizo.
 
Af,ukute kijijini kwenu kuna kamdada kalikuwa kakikulilia usiku kucha,kanakuja kwenu kusomba maji na kufagia uwanja,ukakaona kanini. Kanaishi maisha ya kifukara,lakini kameridhika kana raha. Wewe umetafuta pisi kali,eti imesoma. Haya,ona sasa. Na bado. Ngoja kesho utaambiwa anataka kwenda saluni,vyupi vimechakaa. Ukitoa ya mboga tu,inaenda saloon wanao wanalala njaa. Dadeki.
 
Kwa sababu wewe unaona ambacho yeye haoni...wewe tulia Tu ...subiri mda ufike ajifunze mwenyewe....
Nenda nae taratibu...ukifika wakati anagombea nyumba na ndugu zake ndo umwambie nilikuonya Sana ...unaona??..

Kwa sasa subiri Tu mda utatoa majibu
Umesema nilichotaka kumwambia mimi

Afanye ku relax

Ni swala la muda tu
 
I can't imagine kuishi na mtoto wa mtu for the rest of my life, hell NO. Kwa akili zangu ninavyoziona nikioa sidhani kama ndoa yangu itamaliza mwaka.
ILa mkuu si amepeleka hela yake?? Na huo mkopo kama ataulipa yeye mwenyewe hakuna tatizo.
Ungekuwa karibu tupate japo bia mbili mbili. Hapa kikubwa ulee. Maana hata hizo mbimba utaambiwa yako kumbe hamna kitu. Sasa,watu wengine nawashangaa. Una chumba kimoja,mnalala mnapakaana makalio. Dhalau zitakosa? Kila mmoja alale kivyake. Kubinuana,mnapangiana siku. Haijafika,no kutembeleana vyumbani. Ukijisikia,huko wanakukudanganya nako piga
 
Let me put my advice in english may be you will understand
She simply does not care about you. I have more than ten years experience, so i know whereof i speak.You need to save yourself from yourself

Life is too short, there is no reason for you to be unhappy with a partner that doesn't want to cooperate when there a hundreds of women that will appreciate and cooperate with you on your goals. Dump her ASAP[emoji23]
 
Hivyo anamnyonya jamaa! Ikitokea wakiachana vya jamaa wagawane pasu kwa pasu
Halafu vya kwake achukue vyote.
Mimi ni mwanamke lkn sipendi tabia ya ubinafsi jinsia yetu waliyonayo!
Kama anataka kujenga kwako angetoa nusu ya pesa ibaki ndani ya ndoa.
Anataka kumtapeli jamaa na ili kulinda status ya kwao mikopo yenyewe miaka kibao mpaka akija kulipa siku zimeenda sana ..

Kama kweny ndoa kila mtu akisema ajenge kwao hakika hapotokuwa na maendeleo kabisa ..
 
Nipo kwenye ndoa nimekuwa nikisoma tu lakoni naona na mimi limenikuta.

Iko hivi wife na mimi tulifahamiana kijijini. Nilikuwa f6 yeye akiwa f4 leaver. Nilimsaidia akapata chuo cha takwimu akaenda akafanya akapata cheti. Wakati akiwa chuo nliamua kudate nae tukaoana (marriage) nikiwa nafanya kazi na yeye akiwa chuo.

Miaka mitatu baadae tulijaaliwa watoto wazuri. Maisha yaliendelea nikiwa kazini na yeye akiwa ofisi moja masuala ya takwimu nchini.

Mambo ya ndoa yalikuwa safi sana nilii injoi ndoa labda kwa sababu ilikuwa ya kusafiria. Maana yeye mkoa mimi mkoani.

Nilifanikiwa kumuhamishia mkoani kwangu yeye na watoto. Tuliishi vizuri kwa wastani wa miaka 5. Baadae mzazi wake yaani mkwe aka experience wakati mgumu (code). Tukashauriana tumjengee kibanda. Kwa kuwa wapo watoto wakubwa wakaona washirikiane wote. Kwa kuwa wife nde mwenye kipato kizuri akakopa banki 27M lakini nyumba haijaisha.

Kero ikaanza sasa. Kila wakati anataka pesa ya ujenzi kwa mama mkwe. Kumbuka yule ni mzee ile nyumba watakuja kugombana watoto nikamwambia ujenzi hauishi siku moja. Buy time.

Majuzi alipata bingo ofisini kwao 20 Mil ni pesa ya offer ya Serikali yenye riba kidogo.

Lahaulaaa si akaipeleka yote kwenye ule ujenzi.

Wana JF wenzangu, kumbuka si kwamba sisi na watoto wetu hatuna mahitaji, hapa ada, nyumba haijaisha asilimia Mia. Why apeleke 20 kwao? Mwanamke kiumbe wa ajabu sana.

Hivi? Hajui ile nyumba hawataishi watoto wake? Hivi hajui ile nyumba watagombea vidume?

Ndani ni kuchuniana. Najuta sana kuoa mwanamke huyu.

Niko puzzled. Epuka kusomesha mchumba.
Tafuta hela.
We unaumia na 20M aliyokopa serikalini, si na wewe ukakope benki au kwingineko ili kuwatengezea future watoto wenu?
Kumbuka, pesa zake ni zake. Pesa zako ni zenu.
 
Back
Top Bottom