Nina Mgogoro kwenye ndoa, kila pesa anayopata Mke wangu anaenda kujenga kwao. Naomba msaada

Nina Mgogoro kwenye ndoa, kila pesa anayopata Mke wangu anaenda kujenga kwao. Naomba msaada

Nimeona wengine wakimtetea mke wengine mume

Iko hivi kipato cha mke na mume ni cha familia au wanandoa sio cha wazazi, ndugu au wanaukoo

Kihalisi pesa yoyote ya familia (ya mke au mume) hasa kiasi kikubwa kabla hakijatoka na kufanyiwa matumizi lazima mume na mke wakae washauriane na kukubaliana

Hii ndio silaha pekee ya kuepuka migogoro ya pesa kwenye ndoa
Jamaa ana mke mbinafsi sana
 
Ungekuwa karibu tupate japo bia mbili mbili. Hapa kikubwa ulee. Maana hata hizo mbimba utaambiwa yako kumbe hamna kitu. Sasa,watu wengine nawashangaa. Una chumba kimoja,mnalala mnapakaana makalio. Dhalau zitakosa? Kila mmoja alale kivyake. Kubinuana,mnapangiana siku. Haijafika,no kutembeleana vyumbani. Ukijisikia,huko wanakukudanganya nako piga
Mkuu mbona kama umeshapiga bia 7?? 😀 😀😀
 
Tafuta hela.
We unaumia na 20M aliyokopa serikalini, si na wewe ukakope benki au kwingineko ili kuwatengezea future watoto wenu?
Kumbuka, pesa zake ni zake. Pesa zako ni zenu.
Msimamo wa kijinga sana huu...
Mimi kama mwanamke nasema pesa ya baba na mama ni ya familia
Kila amount inayopatikana kipaumbele ni familia ndo wengine wanafata.
Ndoa ni taasisi.. kuna hela zinatoka tu kimya kimya,
Ila kuna kiwango kulingana na kipato cha wahusika lazima mshauriane
47M kwenye nyumba ya familia na hela inakatwa kwenye mshahara na nyumba haijaisha ni KUKOSA MAARIFA unless hiyo ni nyumba yake anazuga tu
 
Nipo kwenye ndoa nimekuwa nikisoma tu lakoni naona na mimi limenikuta.

Iko hivi wife na mimi tulifahamiana kijijini. Nilikuwa f6 yeye akiwa f4 leaver. Nilimsaidia akapata chuo cha takwimu akaenda akafanya akapata cheti. Wakati akiwa chuo nliamua kudate nae tukaoana (marriage) nikiwa nafanya kazi na yeye akiwa chuo.

Miaka mitatu baadae tulijaaliwa watoto wazuri. Maisha yaliendelea nikiwa kazini na yeye akiwa ofisi moja masuala ya takwimu nchini.

Mambo ya ndoa yalikuwa safi sana nilii injoi ndoa labda kwa sababu ilikuwa ya kusafiria. Maana yeye mkoa mimi mkoani.

Nilifanikiwa kumuhamishia mkoani kwangu yeye na watoto. Tuliishi vizuri kwa wastani wa miaka 5. Baadae mzazi wake yaani mkwe aka experience wakati mgumu (code). Tukashauriana tumjengee kibanda. Kwa kuwa wapo watoto wakubwa wakaona washirikiane wote. Kwa kuwa wife nde mwenye kipato kizuri akakopa banki 27M lakini nyumba haijaisha.

Kero ikaanza sasa. Kila wakati anataka pesa ya ujenzi kwa mama mkwe. Kumbuka yule ni mzee ile nyumba watakuja kugombana watoto nikamwambia ujenzi hauishi siku moja. Buy time.

Majuzi alipata bingo ofisini kwao 20 Mil ni pesa ya offer ya Serikali yenye riba kidogo.

Lahaulaaa si akaipeleka yote kwenye ule ujenzi.

Wana JF wenzangu, kumbuka si kwamba sisi na watoto wetu hatuna mahitaji, hapa ada, nyumba haijaisha asilimia Mia. Why apeleke 20 kwao? Mwanamke kiumbe wa ajabu sana.

Hivi? Hajui ile nyumba hawataishi watoto wake? Hivi hajui ile nyumba watagombea vidume?

Ndani ni kuchuniana. Najuta sana kuoa mwanamke huyu.

Niko puzzled. Epuka kusomesha mchumba.
Wazee hawapo? Je hao washenga huna habari nao? Vipi kuhusu wazazi wenu? Usimweke mkeo humu ni sawa na wewe kuvua nguo mbele ya mkweo wa kike. Futa hii kitu ulio weka.
 
Hela sio zako,majukumu ya familia niwewe sio mkeo , fanya hivi mtu wangu jitume sisi wanawake sio wakuwategemea
Usifundishe wanao wa kike hii tabia.
Maisha yalivyo changamoto ndo maana mabinti wanadanga kutafuta kulelewa
Na vijana hawaoi sababu majukumu ni mengi wanaishia kuzalisha single mothers

Ndoa ni ushirikiano, mara mia kuoa mama wa nyumbani kuliko mke mfanyakazi asiye na mchango kwa familia
 
Pole mkuu, nakushauri tu muache mkeo ajenge kwao! Na wewe Jenga kwako! Mwanaume hudumia familia yako kwa kuhakikisha wanaishi pahala pazuri na panapofaa!

Acha na hela ya mkeo maana SIYO YAKO

Mimi nilikopa fedha nikajazia ujenzi wa nyumba anayojenga mume wangu maana ni familia moja, matokeo yake amekuja kunitemgenezea maneno ya kashfa machafu yasiyo faa!

Mkopo ukiisha, nachukua mwingine na NITAJENGA KWETU ili siku tukiachana niende kwetu kwa raha! Wanaume mna matatizo sana ACHA MKEO AJENGE KWAO, wewe Jenga KWAKO.

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Yaani mnaoana ili mje kuachana??
 
Wewe unaGombana na mkeo kwa jambo la kijinga sana,unataka asijenge kwao!? Ishini na wake zenu kwa akili,mimi mke wangu juzi kakopa milioni 10 akaenda kukarabati nyumbani kwao ilikhali sisi tuko katika nyumba ya kupanga.
Pigia mstari neno ishini nao kwa akili.


mkuuu jambo lako nilikubwa kulipo la mleta mada.
 
Kinachofuata ni kuchapiwa maana atakua hana hela nyingine zaidi ya madeni hapo ndio wale wenye hela watamchapa cze sana,my suggestion is either break hio relationship ulee watoto wako na ukiona anakaza muachie but fungua actor them wakianza shule uwapeleke
 
Nipo kwenye ndoa nimekuwa nikisoma tu lakoni naona na mimi limenikuta.

Iko hivi wife na mimi tulifahamiana kijijini. Nilikuwa f6 yeye akiwa f4 leaver. Nilimsaidia akapata chuo cha takwimu akaenda akafanya akapata cheti. Wakati akiwa chuo nliamua kudate nae tukaoana (marriage) nikiwa nafanya kazi na yeye akiwa chuo.

Miaka mitatu baadae tulijaaliwa watoto wazuri. Maisha yaliendelea nikiwa kazini na yeye akiwa ofisi moja masuala ya takwimu nchini.

Mambo ya ndoa yalikuwa safi sana nilii injoi ndoa labda kwa sababu ilikuwa ya kusafiria. Maana yeye mkoa mimi mkoani.

Nilifanikiwa kumuhamishia mkoani kwangu yeye na watoto. Tuliishi vizuri kwa wastani wa miaka 5. Baadae mzazi wake yaani mkwe aka experience wakati mgumu (code). Tukashauriana tumjengee kibanda. Kwa kuwa wapo watoto wakubwa wakaona washirikiane wote. Kwa kuwa wife nde mwenye kipato kizuri akakopa banki 27M lakini nyumba haijaisha.

Kero ikaanza sasa. Kila wakati anataka pesa ya ujenzi kwa mama mkwe. Kumbuka yule ni mzee ile nyumba watakuja kugombana watoto nikamwambia ujenzi hauishi siku moja. Buy time.

Majuzi alipata bingo ofisini kwao 20 Mil ni pesa ya offer ya Serikali yenye riba kidogo.

Lahaulaaa si akaipeleka yote kwenye ule ujenzi.

Wana JF wenzangu, kumbuka si kwamba sisi na watoto wetu hatuna mahitaji, hapa ada, nyumba haijaisha asilimia Mia. Why apeleke 20 kwao? Mwanamke kiumbe wa ajabu sana.

Hivi? Hajui ile nyumba hawataishi watoto wake? Hivi hajui ile nyumba watagombea vidume?

Ndani ni kuchuniana. Najuta sana kuoa mwanamke huyu.

Niko puzzled. Epuka kusomesha mchumba.
Nenda chumbaniw mwambie Mungu akuondolee uchungu wa fedha ulizomsomeshea!! halafu muombe akuondolee fikra za mkeo ana mshahara yaani iwe kama hujui ana kazi na mshahara hiyo itafungua milango mipya ya kipato kwako!!

Muiache ajenge na akishajenga akamaliza jiandae kwa dharau na maringo coz atakua ametimiza malengo yake,Kuna changamoto ya kuishi na mwanamke alietimiza.malengo yake baada ya kupata msaada wako coz huona kuwa chini ya mwanamme ni mzigo mzito!!

Usiwekeze fikra.kwake!

Ishi kivyako na mtazamo binafsi!!!

Ndoa Haina formula yeyote anaweza kuzingua !!
 
Ndiyo maana watu wanawashauri muoe wanawake wasio na kaz ili muwadhibiti mtakavyo....sasa wewe mwanamke anatumia pesa zake tayari unataka ziwe zako....aisee kwa manzi wa kibongo ndoa lazima ikushinde
Unafikiri ndio.ukioa wa hivyo utamkontrol!?

Atakuigizia tu muda ukifika atakuonyesha upande wa pili!!

Nakuambia siri wanawake wasomi huzitafuta ndoa kwa nguvu sana na huzipata wakishazipata ndio utashangazwa na sarakasi zao zao!!!
 
Back
Top Bottom