Nina Mgogoro kwenye ndoa, kila pesa anayopata Mke wangu anaenda kujenga kwao. Naomba msaada

Nina Mgogoro kwenye ndoa, kila pesa anayopata Mke wangu anaenda kujenga kwao. Naomba msaada

Mkuu mkopo huwa hatujengei kabisa. Ila hii ya kutapika kamasi umenichekesha asee🤣🤣🤣
Unajenga tuu,,Mbona watu wanatengeneza na kujenga biashara zao hata nchi inakopa Kwa ajili ya maendeleo katika sekta mbalimbali na ni nchi zote duniani zina mikopo pia
Mkuu mkopo huwa hatujengei kabisa. Ila hii ya kutapika kamasi umenichekesha asee🤣🤣🤣
 
Masikitiko yangu ni kwamba, wanaume mkioa tu au mwanzo wa mapenzi huwa mnazidiwa akili na wanawake, wanawake wengi ni manipulators, usipotembea na akili zako kila sehemu umeliwa!

Inashangaza mtu anaolewa akiwa mke, baada ya ndoa yeye ndiye anageuka mume 🗑️🚮

Kwenye ndoa kuna majukumu ya mke, na ya mume kifedha, shughuli yeyote ya kimaendeleo inayohitaji nguvu kubwa ya kifedha inatakiwa kufanywa na wote, unless kuna wanaume wanajijua kabisa wamewazidi wake zao kipato zaidi ya mara 5 wanaamua mke asichangie chochote. Mathalani mume analipwa 5M , mke analipwa 600k.

Huwa mnawahiwa wapi? Kwasababu kama hamkuwahiwa msingekaa muone tofauti na kusingekuwa na Malalamiko, malalamiko yanakuja baada ya utambuzi kuja.
 
Kuna uzi niliuona humu unahamasisha vijana waoe yatima 😁 nadhani hii ndo sababu kuu, Mwanamke hupambana kupajenga kwao kwa kuwa anajua kwamba siku ukizingua yeye ana pa kwenda kupolea hivyo haoni kama anapoteza bali anaweka akiba.... Ndo maana watoto wa kiume huonekana kama hupasahau nyumbani hata kuacha kuhudumu ila sivyo bali mwanaume hanaga msamiati wala wazo la kurudi nyuma kama mwanamke kwamba kuna siku nyumbani kwao patamsaidia zaidi ya kutengeneza himaya yake.
 
Unajenga tuu,,Mbona watu wanatengeneza na kujenga biashara zao hata nchi inakopa Kwa ajili ya maendeleo katika sekta mbalimbali na ni nchi zote duniani zina mikopo pia
Mkuu wewe unazungumzia watu wanaofanya biashara ya real estates which lazima afanye ujenzi ili biashara iende. Mimi nimemzungumzia mtu binafsi hana haja ya kukopa halafu akajenge utapoteza pesa bure na ujenzi hautaisha kama kilichotokea kwa mke wa jamaa
 
Nipo kwenye ndoa nimekuwa nikisoma tu lakini naona na mimi limenikuta.

Iko hivi wife na mimi tulifahamiana kijijini. Nilikuwa f6 yeye akiwa f4 leaver. Nilimsaidia akapata chuo cha takwimu akaenda akafanya akapata cheti. Wakati akiwa chuo nliamua kudate nae tukaoana (marriage) nikiwa nafanya kazi na yeye akiwa chuo.

Miaka mitatu baadae tulijaaliwa watoto wazuri. Maisha yaliendelea nikiwa kazini na yeye akiwa ofisi moja masuala ya takwimu nchini.

Mambo ya ndoa yalikuwa safi sana nilii injoi ndoa labda kwa sababu ilikuwa ya kusafiria. Maana yeye mkoa mimi mkoani.

Nilifanikiwa kumuhamishia mkoani kwangu yeye na watoto. Tuliishi vizuri kwa wastani wa miaka 5. Baadae mzazi wake yaani mkwe aka experience wakati mgumu (code). Tukashauriana tumjengee kibanda. Kwa kuwa wapo watoto wakubwa wakaona washirikiane wote. Kwa kuwa wife nde mwenye kipato kizuri akakopa banki 27M lakini nyumba haijaisha.

Kero ikaanza sasa. Kila wakati anataka pesa ya ujenzi kwa mama mkwe. Kumbuka yule ni mzee ile nyumba watakuja kugombana watoto nikamwambia ujenzi hauishi siku moja. Buy time.

Majuzi alipata bingo ofisini kwao 20 Mil ni pesa ya offer ya Serikali yenye riba kidogo.

Lahaulaaa si akaipeleka yote kwenye ule ujenzi.

Wana JF wenzangu, kumbuka si kwamba sisi na watoto wetu hatuna mahitaji, hapa ada, nyumba haijaisha asilimia Mia. Why apeleke 20 kwao? Mwanamke kiumbe wa ajabu sana.

Hivi? Hajui ile nyumba hawataishi watoto wake? Hivi hajui ile nyumba watagombea vidume?

Ndani ni kuchuniana. Najuta sana kuoa mwanamke huyu.

Niko puzzled. Epuka kusomesha mchumba.
Duuh bado mpo wafuga ngedere hongera sana
 
Hivi? Hajui ile nyumba hawataishi watoto wake? Hivi hajui ile nyumba watagombea vidume?

Ndani ni kuchuniana. Najuta sana kuoa mwanamke huyu.
Mbona hakuna mgogoro hapo? Usikuze tatizo, Mambo ya familia ni ya Kwako ACHA kutaka mwanamke akusaidie.

Ndugu yangu, Kuna migogoro inatishaa
 
Kunywa maji kwanza upunguze presha maana maneno yanakutoka hata kilichoandikwa hujaelewa.

1. Acha kukariri mimi wala sio mwanaume ni mama tena mwenye watoto wengi wa kiume na wa kike.

2. Baba ni nguzo ya kiuchumi ya familia among other things, lakini mfumo wa maisha umebadilika baba huyo huyo alipe ada, anunue chakula, ajenge nyumba, awekeze kwaajili ya watoto, akupe mama hela ya mahitaji ya kike, bado hamjatoka out wazazi na muda mwingine kama familia.... bado majukumu ya kijamii ya hapa na pale.

Muda huo mama upo tu MY MONEY IS MY MONEY huyo baba si atatembea anaongea njiani?

Na atajikuta anaishia kubangaiza, ila penye ushirikiano na mgawanyo wa majukumu hata kufikia uhuru wa kifedha ni rahisi, watoto wenu hawatokua na haja ya kusaidiana majukumu na wake zao maana familia imeshatoka huko.

3. Mtoto ni zao la starehe siku hizi vijana hawaoi kwa sababu mbalimbali lakini sababu moja wapo ni ndoa kuwa kama mzigo majukumu ni mengi so bora mtu apige mechi za hapa na pale mimba ikitokea anakula kona au anatoa tu matunzo

Nawahurumia vijana wanaojitafuta na wanatoka familia za kawaida, kuoa itawachukua muda sana maana nayo imekua ni uwanja wa vita na kujiongezea majukumu
You are so bright headed hongera sana ❤️❤️❤️
 
Mkuu wewe unazungumzia watu wanaofanya biashara ya real estates which lazima afanye ujenzi ili biashara iende. Mimi nimemzungumzia mtu binafsi hana haja ya kukopa halafu akajenge utapoteza pesa bure na ujenzi hautaisha kama kilichotokea kwa mke wa jamaa
Una uhakika ujenzi hautaisha Kwa huyo mkewe??,,sababu amekopa??au ni fikra,,Maono,,na mitazamo yako ya kwamba kila anae kopa kwa ajili ya kujenga hamalizi kujenga??
 
Nimeona wengine wakimtetea mke wengine mume

Iko hivi kipato cha mke na mume ni cha familia au wanandoa sio cha wazazi, ndugu au wanaukoo

Kihalisi pesa yoyote ya familia (ya mke au mume) hasa kiasi kikubwa kabla hakijatoka na kufanyiwa matumizi lazima mume na mke wakae washauriane na kukubaliana

Hii ndio silaha pekee ya kuepuka migogoro ya pesa kwenye ndoa
Kipato kipi wakati wanaume wengi huanza na ndugu zake na mke anakuwa wa mwisho na mwisho wasiku utasikia nimejenga mimi na ndugu zake wakiwa juu kuliko mke
 
Most of the things in life are fundamentally social construct, societies are different, different families, different cultures, different mentors. My friend una haki zote za kulalamika na una haki zote za kujutia.

Unless people don't subscribe to religious marriages. I see things from a wider perspective marriage being a unification.

I hate marriage and I will never marry never shall I even dream or dare imagine of it.

She got the formula now she has got a bigger and vibrant self esteem ahead of you, she has had a successful take over with vividly example
 
Jana mtu kaja na code mpya hapa JF kuwa oweni YATIMA ..mtamshukuru baadae
Hata kuolewa na YATIMA ni nzuri maana hao dada zao ndiyo wazalishwa hovyo hovyo tu kisa kaka zao watawasidia kulea huku wanawasumbua wake zao ili waonekane wabaya,
 
Nipo kwenye ndoa nimekuwa nikisoma tu lakini naona na mimi limenikuta.

Iko hivi wife na mimi tulifahamiana kijijini. Nilikuwa f6 yeye akiwa f4 leaver. Nilimsaidia akapata chuo cha takwimu akaenda akafanya akapata cheti. Wakati akiwa chuo nliamua kudate nae tukaoana (marriage) nikiwa nafanya kazi na yeye akiwa chuo.

Miaka mitatu baadae tulijaaliwa watoto wazuri. Maisha yaliendelea nikiwa kazini na yeye akiwa ofisi moja masuala ya takwimu nchini.

Mambo ya ndoa yalikuwa safi sana nilii injoi ndoa labda kwa sababu ilikuwa ya kusafiria. Maana yeye mkoa mimi mkoani.

Nilifanikiwa kumuhamishia mkoani kwangu yeye na watoto. Tuliishi vizuri kwa wastani wa miaka 5. Baadae mzazi wake yaani mkwe aka experience wakati mgumu (code). Tukashauriana tumjengee kibanda. Kwa kuwa wapo watoto wakubwa wakaona washirikiane wote. Kwa kuwa wife nde mwenye kipato kizuri akakopa banki 27M lakini nyumba haijaisha.

Kero ikaanza sasa. Kila wakati anataka pesa ya ujenzi kwa mama mkwe. Kumbuka yule ni mzee ile nyumba watakuja kugombana watoto nikamwambia ujenzi hauishi siku moja. Buy time.

Majuzi alipata bingo ofisini kwao 20 Mil ni pesa ya offer ya Serikali yenye riba kidogo.

Lahaulaaa si akaipeleka yote kwenye ule ujenzi.

Wana JF wenzangu, kumbuka si kwamba sisi na watoto wetu hatuna mahitaji, hapa ada, nyumba haijaisha asilimia Mia. Why apeleke 20 kwao? Mwanamke kiumbe wa ajabu sana.

Hivi? Hajui ile nyumba hawataishi watoto wake? Hivi hajui ile nyumba watagombea vidume?

Ndani ni kuchuniana. Najuta sana kuoa mwanamke huyu.

Niko puzzled. Epuka kusomesha mchumba.
Naogopa hata kutoa ushauri

Nikikumba BAN ya 2016 mpaka Leo hawanifungulia naumia mno

Ila hivi kwanini unakuwa bwege namna hiyo?

Huwa mmerogwa na Nani?

Yani hili jambo ka kutaka ushauri humu?

Sema chukua hii

.....Sometimes problems is needed for developments....

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Usifundishe wanao wa kike hii tabia.
Maisha yalivyo changamoto ndo maana mabinti wanadanga kutafuta kulelewa
Na vijana hawaoi sababu majukumu ni mengi wanaishia kuzalisha single mothers

Ndoa ni ushirikiano, mara mia kuoa mama wa nyumbani kuliko mke mfanyakazi asiye na mchango kwa familia
Mama wa nyumbani ndiyo wanakuja kunyanyasika na watoto wa mawifi na mama zao kwa kujitanua mjomba ndiye mwenye kazi mkewe mama wanyumbani.
 
Nami nakuunga mkono ktk hili nashangaa kuona wanaomuunga mkono mwanamke.
Kwa hili wanaume tumebaki wachache. Sikatai mwanamke kutuma fedha kwao lakini si kwa kiasi kikubwa kama alivyotuma mke wa mtoa mada.
Kwangu binafsi siwezi kukaa na mwanamke wa namna hiyo ni bora na kutokuwa na mke
Chilumendo cha wapi hiki
 
wanawake sio watu wakuwaamini..Dead woman is the one to be trusted.

Women can change anytime.
kwenye hii dunia ni vitu vitatu vinabadilika wakati wowote

1.wanawake
2. Wanasiasa
3. Hali ya hewa
Duu umewachoka haswa wanawake
 
Back
Top Bottom