1ndazMaterial
Senior Member
- Oct 4, 2018
- 161
- 175
Pole brother muombe sana munguNinaomba kusaidiwa mchango wa mawazo tatizo ni nini mpaka muda huu nimefilisika kabisa. Mwisho ndani ya miaka mitatu nimefilisika maduka 5. Ambayo nilikuwa nalipia kodi laki 5 kwa mwezi.
Nina mkosi gani au ndio majaliwa yangu au mipango ya Mungu ama shetani.
Situmii kilevi na sijawahi kuhonga hata 30000.
Amin ahsantePole brother muombe sana mungu
Ahsante mkuuKomaa na jipange upya. Siku zikikutembela tena utajua cha kufanya maana experience ni mwalimu mzuri sana
Ulishawahi kufanya biashara japo yakuuza karanga?Kwa namna ulivyoandika sidhani kama unauzoefu wa biashara yoyote.Maduka 11 umefilisika kizembe sana moja tu likianzakudorora inabidi ushtuke ,nakuanza kutafuta pancha ilipo uzibe upepo usitoke, tena haraka ukipunguza matumizi kwa asilimia 50 mpaka utakaporejea sawa, sasa maduka 11 yanaisha upo tu,. Basi kuna mawili unanyota ya umaskini huo utajiri ulilazmisha, pili umemkosea Mungu sana, tatu uchawi, kama ni kwaakili yako timamu hayo hayapo maduka 11 yakaisha wewe ni bwege sana,. Nipo kwenye shida ila siwezi kuwa na maduka matano tu alafu nifilisike eti.
Mkuu Pole na napenda nikuambie haya.Ahsante mkuu
Hili ndio chanzo cha yote yaliokufika...muwe munaendesha biashara kwa kufata principle za biashara kwa kutfuta mtu mwenye elimu ya uhasibu akusaidie.Mkuu sikuweza kuweka kumbukumbu izo kipindi hiki cha mwisho wa kufilisika lakin nina historia nzuri tangu nianze biashara mwaka 94 mpaka nilipofilisika mwaka 2016
acha kumdanganya mwenzako isee .. biashara ni mipango na kusimamia hiyo mipango kwa umakini kama hakufanya hivyo au ata wewe hautafanya hivyo utafilisika tu.Pole kwa maswahibu. Nataka kujua ukweli . Je wakati ulioanza harakati zako za kufungua yao maduka11. Ulishawayi kutenga muda kumuomba na kumshukuru munguu imani yako? Je hicho kipato uliokua unazalisha ndani ya biashara zako. Ulishawahi kutenga angalau theluthi yake kurudisha shukran kwa kutoa Sadaka ndani ya nyumba ya mungu iliosimamisha imani yako?
Kama ndio yote ulikua unayatekeleza baci kuna njia za kukurudishia hizo mali ulizopoteza. njoo ntakusaidia utaweza . ila kama hujawahi kumkumbuka baci ujue umeshagongwa mihuri ya safari ya kupotea duniani. Siku zote utakua Binadamu wakupoteza hadi mwisho wa pumzi zako...
Mi nadhani hata utitiri wa ofisi nyingi umekukwamisha.Nilianza na mtaji wangu mwenywe baadae nikakop
Mwaka 94 nilianza duka langu la kaseti za radio zikaja cd nikaweka nikabadili biashara mwaka 99 nikapigisha simu nikabadili biashara mwaka 2002 nikauza simu na accessory mpaka nimefilisika mwaka 2016 niko kwenye maduka ya simu tu. Nilikua nasimamia mwenyewe biashara mpaka 2010 ndio nilianza kuajiri hapo ndio biashara ilinichanganyia sana nikawa nasafiri mwenyewe kodi zote nilikua nalipa vizuri maduka 3 ndio niliyokua nikiyaendesha kwa pamoja mwaka 2010 mpaka 2015 baadae hapo ndio nikafilisika nikafungua jengine na jengine mpaka ikafika hesabu ya maduka 11.
Na hapo ndo unapozidi kupotea. Unapojifanya ww ni bingwa wa fikra na mipango. Mwisho wa siku unajikuta umepoteza kila kitu. Kwa kosa la kumsahau na kumtanguliza mungu kwanza.... Angalia Marekani pexa yao inaongoza ulimwengu mzima ( Soma meneno yalioandikwa ndani ya us $)acha kumdanganya mwenzako isee .. biashara ni mipango na kusimamia hiyo mipango kwa umakini kama hakufanya hivyo au ata wewe hautafanya hivyo utafilisika tu.
Unajua ni Mungu gani wanaye muamini..Na hapo ndo unapozidi kupotea. Unapojifanya ww ni bingwa wa fikra na mipango. Mwisho wa siku unajikuta umepoteza kila kitu. Kwa kosa la kumsahau na kumtanguliza mungu kwanza.... Angalia Marekani pexa yao inaongoza ulimwengu mzima ( Soma meneno yalioandikwa ndani ya us $)
Je kwa upande wako ww binafsi umemuani mungu gani ?Unajua ni Mungu gani wanaye muamini..
Au wewe ukisikia Mungu tu unaweweseka.
-Mungu wao anaruhusu ushoga na usagaji.
-mungu wao anaruhusu mapenzi hadharani na Wala hakuna shida.
-mungu wao anaruhusu uasi na n.k
Siku nyingine dokie kabla ya praise tu..
Nilipokua miaka 9 niliuza biashara ya njugu miwa na mahindi mpaka nimefika miaka 15 nikafungua dukaUlishawahi kufanya biashara japo yakuuza karanga?Kwa namna ulivyoandika sidhani kama unauzoefu wa biashara yoyote.
Wakati mwingine bora unyamaze ujifunze kwa wengine
AllahJe kwa upande wako ww binafsi umemuani mungu gani ?
Mkuu biashara ya simu mpaka leo inalipa kwa mfano simu jumla 15000 unauza 20000Hukusoma vizuri mwenendo wa biashara yako. ulitakiwa ubadilishe mapema biashara au kuongeza huduma nyingine mfano kutoka kuuza simu na vifaa vyake na utoe huduma za kifedha kupitia simu, uza vocha au utengeneze simu hata kwa kumlipa fundi akae hapo. Inafika wakati kila mmoja anamiliki simu je hapo utafanya kweli biashara?