ngongoti2000
JF-Expert Member
- Nov 20, 2017
- 2,236
- 2,142
Kama ulikuwa auhongi au kutumia pombe lazima ufilisikeNinaomba kusaidiwa mchango wa mawazo tatizo ni nini mpaka muda huu nimefilisika kabisa. Mwisho ndani ya miaka mitatu nimefilisika maduka 5. Ambayo nilikuwa nalipia kodi laki 5 kwa mwezi.
Nina mkosi gani au ndio majaliwa yangu au mipango ya Mungu ama shetani.
Situmii kilevi na sijawahi kuhonga hata 30000.
Kitaalam tunaita portfolio diversification.Kwa nilichojifunza kwenye biashara izi kipindi biashara imekunyookea jaribu kuwaza biashara mpya au uwekezaji mpya wengi waljofanya ivyoo wamesavaivu sana pindi biashara zikiyumba au kufilisika mf Una maduka na biashara imechangaya embu wekeza kwenye hisa au mashamba au mifugoo usiwekeze tena kwenye Duka au Una mifugo na Duka embu wekeza tena kwenye nyumba za kupangisha au udalali kubadili uelekeo WA shughuli zako unasaidia sna niliona Kwa mjimba wangu alikuwa na Duka kama 3 apo buguruni za mbao na hardware Ila vilipotea kama utani kilichomsaidia ni mashamba na mifugoo
Halafu ameshafilisika ndio atageukia wanawake, wamkatae aje mmu kulalamika kuwa wanawake wana dharau😁Huhongi ndio maana unafilisika. Hizo pesa huwa mnatafuta kwaajili yetu halafu wewe unabania utegemee usifilisike!!
Umeona eeh!! Hawajui sisi ni chachu ya mafanikio yao.Halafu ameshafilisika ndio atageukia wanawake, wamkatae aje mmu kulalamika kuwa wanawake wana dharau[emoji16]
AminYaani makosa ninayoyaona hapo ni mengi mno, yaani natamani nikukalishe chini nikupe somo la biashara. Lakini pole tumia muda huu kutafakari ulipoanguka, fanya hivi
1.chukua kalamu na daftari anza kuandika kila kosa unalofikiri ulilifanya kwenye biashara yako mpaka ukafilisika alafu kwa kila kosa andika suluhisho lake ni lipi.... usijaribu kuanza upya bila kujua ulipokosea na utatuzi wake la sivyo utaanguka tena.
2. Kumbuka mara ya kwanza kabisa ulipoanza biashara ulianza vipi mpaka ukaweza kutoka.
3. Sasa angalia ni biashara gani ukiifanya sasa hivi itakusaidia hata kama ni ya mtaji mdogo. Anza nayo tena.
4. Usihof kuhusu swala la umri miaka 45 ni mdogo sana hasa kwa sisi waafrika. Namfahamu mtu ambaye ana miaka 67 na bado anafungua biashara mpya kila siku.
5. Anza upya ila angalia usirudie makosa
5una mtoto au watoto
Sasa uliwapataje na umesema hukuwa na muda na wanawake?
Uyo alikua mke wangu wa halalSasa uliwapataje na umesema hukuwa na muda na wanawake?
Alikuwa? Kwamba mmeachana?Uyo alikua mke wangu wa halal
Ndio ndoa ilivunjika baada mambo kuharibikaAlikuwa? Kwamba mmeachana?
Pole sana.Ndio ndoa ilivunjika baada mambo kuharibika
Awamu ile nilisema ngoja nijaribu biashara. nikafungua duka la kawaida la jumla lilifilisika kabisa na kuniachia baadhi ya madeni.Awamu ile tulifilisika kwa nguvu, awamu hii ni automatically unajikuta nje ya mfumo, nasubri ushauri na mimi
Ndo maana umefilisika maana hakuna backup yoyote uliyokuwa unapata kutoka upande wa stress.Nilikua bizy sana sikuwa na muda wa wanawake
mimi naomba kazi ya Shop Manager. Hayo maduka yatainuka tena kwa kasi ya ajabu.Ninaomba kusaidiwa mchango wa mawazo tatizo ni nini mpaka muda huu nimefilisika kabisa. Mwisho ndani ya miaka mitatu nimefilisika maduka 5. Ambayo nilikuwa nalipia kodi laki 5 kwa mwezi.
Nina mkosi gani au ndio majaliwa yangu au mipango ya Mungu ama shetani.
Situmii kilevi na sijawahi kuhonga hata 30000.
Ulikuwa unafanya biashara gani kwenye hayo maduka yako na kuanzia 1994 hadi 2016 ulikuwa ukijihusisha na biashara gani na wapi? Kwa kujua hayo machache, naweza kujua wapi nianzie kwa ajili ya kukupa ushauri wangu.Mkuu sikuweza kuweka kumbukumbu izo kipindi hiki cha mwisho wa kufilisika lakin nina historia nzuri tangu nianze biashara mwaka 94 mpaka nilipofilisika mwaka 2016