Nina milioni 25, naweza kuwekeza kwenye nini ili nipate pesa nzuri kwa muda mfupi?

Kwa biashara za kibongo ni bora kuwa mchuuzi wa mazao! Hela itakuwa safe sana kama una hustle mwenyewe thru the process usimuachie mtu hela akufanyie kazi maana uaminifu wabongo ni sifuri! Kuna jamaa ni mfanyabiashara mkongwe ila alikusanya 12M kwa vijana 10 kwa kila kijana total of 120M kisha akawapiga kumbe alikopea hela nyumba yake aka default ili wasiuze akapeleka hela za machalii akatokomea kusikojulikana
 
Naona watu wengi mnamshauri hivi..yan ukitaka kufanya biashara ya kukopesha unatakiwa uwe Mchawi au Mcha Mungu sana la sivyo wakopeshaji watakusahaulisha madeni yao.
Hahahah uwe na roho ngumu sana hii biashara au uweke mtu mwenye roho ya kikatili kama mtu wa kudai chako on behalf kwa mtu mwenye roho nyepesi kama mimi ntapigwa ntachakaa mapema tu!
 
Hahahah uwe na roho ngumu sana hii biashara au uweke mtu mwenye roho ya kikatili kama mtu wa kudai chako on behalf kwa mtu mwenye roho nyepesi kama mimi ntapigwa ntachakaa mapema tu!
Shida ni Ulozi,mtu anadiriki akuroge upagawe ili asalimike kuwa Mdeni wako
 
Shida ni Ulozi,mtu anadiriki akuroge upagawe ili asalimike kuwa Mdeni wako
Usimkumbuke kabisa ila shida ni kuiendesha ofisi kijamaa! Ukiiendesha kama taasisi hamna mtu atakuroga! Weka watu wafanye kazi on behalf of you kisha wakupe reports
 
Hahahah uwe na roho ngumu sana hii biashara au uweke mtu mwenye roho ya kikatili kama mtu wa kudai chako on behalf kwa mtu mwenye roho nyepesi kama mimi ntapigwa ntachakaa mapema tu!

na ukiipatia ni kabiashara katamu sana.
 
Tamu kama watu hawakurushi hela zako wanarudisha kwa wakati kama mlivyokubaliana! Hii naona nzuri kufanya na wafanyakazi wenzio maofisini ila sio na watu wa mitaani

basi mimi kwangu tofauti sithubutu kumkopesha wa ofisini kwangu maana ni wasumbufuuuuu so sijawahi thubutu maana waliotangulia wanalalamika.

Wengi ninaowakopesha wanaletwa na watu wangu ndugu, friends nk.

wa mtaani hapana, muda wa kwenda kuchukua masufuria ya mtu kisa hela hapana!!

kwa mtu alie na watu waaminifu afanye hii ni biashara nzuri sana
 
Ooh kwa wanaoletwa na watu wako wa karibu hio inapendeza sana! You can make a good business hata sie tunaowakopaga ni marafiki ambao tuna mahusiano nao mazuri!

Basi mi nikajua wafanyakazi ndio safe kuwakopesha kumbe dah ndio hawafai πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…