Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The best adviceWhat i can say ni kwamba, Pesa nzuri hutaipata kwa muda mfupi, otherwise ufanye biashara Haramu...
Pesa nzuri zinahitaji mipangilio mizuri, kutokata tamaa, uvumilivu na kujipanga sio shortcut za chapchap.
Unaishi wapiBro amka, hakuna nyumba utakayojenga kwa 15m then ukauza 55m labda hapo uuze kiwanja ambapo kipo hot kinoma,,
ArushaUnaishi wapi
Mkuu wawezA nipa mchanganuo ama ukawà mshauri kwa biashara hii mkuu.inaonekana kama una wazoWekeza kwenye spare za magari. Anza na zile ndogondogo zinazohitajika wakati wa service za magari....sparkplugs, air and oil filters, oils, coolant....mdogo mdogo utaanza kuongeza heavy spare parts.....oil filter kwa mfano ya toyota maduka ya jumla utanunua kwa bei isiyozidi sh 4000. Rejareja utauza kwa sh 10,000
Njoo tufanye biashara ya pamoja, nafaka na Dagaa,...wewe usihangaike na usimamizi...wewe leta pesa yako tu Mimi nitafanya kila kitu,...,nitakuwa nakupa 7% kila mwezi,kama faida ya mtaji utakaoweka kwenye biashara.Iwe hiyo million 25, mill 10,au zaidi...yaan kiasi chochote cha mtaji utakaoweka ,nitakupa hiyo faida kwa mwezi.Nina milioni 25, naweza wekeza kwenye nini ili nipate pesa nzuri kwa muda mfupi?
Wadau mawazo yenu Tafadhali.
Mchango wa mdau
Pia soma: Biashara gani zinazoingiza mamilioni kwa muda mfupi?
Hizi hisabati huwa zinaonekana nzuri sana lakini uhalisia haupo hivyo.Nunua Bajaj 2 milioni 6 tafuta nyumba ya kupanga na fenicha na mtoto mzuri wa kimachame au Siha.
Kila siku Bajaj unaletewa 20k
20,000 x 2 x 365=14,600,000.
Nyimbo zake ziko Netflix huko, siyo huko mikito na modundo.com😀😀Ndugu yangu aliuza nyumba ya urithi Mikocheni, akaenda kununua nyumba Sinza, akafungua studio ya kurekodi muziki, Hadi leo sijawahi kusikia redioni wimbo kutoka studio yake, sijui zinapigwa kwenye space station anga za mbali?!?!¿‽‽🤔🤔🤔
Mtu mwenye uwezo wa kuw ana milioni 25 hawezi kusema hana namna ya kuitumia. Unless kauza mashamba ya babu huko Segera tanga.Chukua 10 zungusha 15 kanunue bond ama fixed account itakulipa. Hiyo kumi fanya biashara ya kuuza nafaka. Ukicheza na 25 ambayo naamini ni ya mirathi ya mzee wako laana itakuwa katika paji la uso wako.
Hiyo pesa mmeuza nyumba mpo wanne mmekula 25 each. Ndugu kama unaweza wekeza kwenye real estate ya Chamazi 15M unajenga nyumba unauza 55M. Zaidi ya hapo italia ni pesa ndogo sana hiyo.
Kama huna wazo la biashara na ungependa hela yako iku3 fanya biashara ya kukopesha kwa riba, Kwa mtaji huo 25M utakua unakusanya 5K kwa siku, hivyo kwa mwezi moja unaingia 15M na mtaji wako uko vil3 vil3, Cha msingi ufuate taratibu za kufanya biashara ya fedha.
Yaani hapa ni unanunua na kuuza.wekeza kidogo (sio mzigo wote) kwenye biashara ya magari (kulenga)!
ni fani imevamiwa sana ila ukimpata mzoefu, maisha yatasonga!