Kwanza kabisa zenj ndio chimbo la vyombo wengi wanachukulia kule,Kuna kila aina vyombo na vizur haswa 👌👌na Bei ni nzuri Sana yani rahisi tu ,nasisi wamama tunapenda vitu vizur vizur hivo soko uhakika kikubwa usiwe na bei kubwa ili uwe na mzunguko mzuri wa kuuza haraka haraka,zenj utachukua vyombo vya udongo na mashine ndogo ndogo za kupikia halafu vyombo vya plastic utazama dar viwanda vya plastic sjui cello etc...ushuru kwasasa sijui upoje Ila sio mkubwa khvo ,zaman tulikua tunachajiwa kwa box na ukienda kuuza faida unapata nzur tu,,pia unaweza kutanguliza mizigo yako kwa kuituma itangulie na boti utaipokea dar.ushuru wakawaida tu kulingana namzgo wako mkubwaje halafu ukienda usivae ili kipedeshee😅😅watajua unahela nenda kisela tu watajua huna hela watakuuzia kwa Bei za muonekano wako😅na ukiwazoea wauzaj kule zenj wanaroho nzur mno watakuuzia kwa Bei rafiki mno ili urud tena...kila la heri