Nina Milioni 270 TShs, Nifanye Biashara Gani?

Chukua kiasi kidogo cha kuanzia kama milioni 50, wekeza kwenye soko la hisa kwa kununua hisa. Ukiona inalipa ongeza mtaji zaidi utaona faida yake.

Second option, wekeza kwenye ardhi. Unaweza kutafuta nyumba ya maana ukanunua na kuikarabati kidogo halafu unaopangisha makampuni makubwa au wafanyabishara wanaotafutia nyumba watumishi wao unakuwa unalipwa kwa mikataba minono. Achana na wapangaji wa kibongo kila siku kupigana chenga ya kulipa kodi.
 
Mkuu mbona unapiga ngumi hewani? siungemtaja basi huyu mtuhumiwa.
 

Anasumbua watu tu huyo! Mtu mwenye akili yake timamu akifanya research kidogo tu juu ya huyu anajua kwamba ni mtoto wa shule anasumbua watu! Hapa JF watu wanajisahau kwa vile hawaonekani, mtu akipitia post zako kwa umakini zinakuanika kila kitu kuwa wewe ni mtu wa namna gani!
 
Nimeifukunyua hii mada makusudi Hz hela zimetoka wap?
 
Nipm nikuambie mimi binafsi nina kampuni ya mikopo nilikuwa nahitaji business partner aongeze working capital tufanye business
 
You need a good business plan to start with. Na hiyo business plan utaiandika baada ya kujua hitaji lililopo katika jamii. If you are serious I can help you with that. Just put your number and I will contact you.
 
Hata kama thread ni ya uongo ila humu yamepatikana mawazo mazuri sana aisee
 

What this man said is great.
 
Du watu wanapesa lol

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Nikiwa kama mtaalam wa mifugo ningekushauri ufungue hatchery ili utotoleshe vifaranga wa kuku.Ni biashara inayolipa sana.
 
Anzisha small microfinance. Ukimpa mtu 1M kwa mwezi anakurudishia 1.3.
 
I have a very good practical yet medium risk business idea that could work with initial capital of USD 200K. Its unfortunate that in this part of the world, we do not have venture capitalist that looks for potential projects to pump in cash....The best idea is the one that you can work on and put your heart (effort) next to it....
 
270m ukipata kiwanja kama maeneo ya mbezi beach, salasala, makongo cha 900sqm kwa 50m unaweza kujenga bungalow 2 za 3berooms kwa 65m kila moja hadi finishing and then ukaziuza 150m kila moja, so utatengeneza faida kwa mda mfupi na ukiendelea hivyo utakuwa giant wa real estate. nitafute ntakushauri vizuri zaidi.
 
Import is the best...unaweza import electronics from dubai ambaxo huku ni expensive ukasupply at a reasonabld price itakulipa.Eg TV 50 inch LED unanunua for 550 usd mpaka hapa around 800 wewe unauza usd 1300 utauza.Mjini ni over 2000 usd.
 
Kauze sembe

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
UmetishAaaaaa jibu zuri marcopolo
Mbona unajicontradict, Si umesema hujui kufanya biashara?

Swali lako liko kinadharia zaidi kwa sababu jibu lake ni rahisi tu: fanya vilevile ulivyofanya ukapata hizo mil. 270,just do it again and again, it seems to be working quite well...



Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…