Nina Milioni 270 TShs, Nifanye Biashara Gani?

Nina Milioni 270 TShs, Nifanye Biashara Gani?

Chukua kiasi kidogo cha kuanzia kama milioni 50, wekeza kwenye soko la hisa kwa kununua hisa. Ukiona inalipa ongeza mtaji zaidi utaona faida yake.

Second option, wekeza kwenye ardhi. Unaweza kutafuta nyumba ya maana ukanunua na kuikarabati kidogo halafu unaopangisha makampuni makubwa au wafanyabishara wanaotafutia nyumba watumishi wao unakuwa unalipwa kwa mikataba minono. Achana na wapangaji wa kibongo kila siku kupigana chenga ya kulipa kodi.
 
Naamini wewe hauna pesa tena waweza kuwa mpiga mzinga wenzio tu kitaa based on the following: Mosi=umejidai hufanyi biashara lkn unajichetua una tigo,voda pesas business, pili= umepangisha wazungu majumba wapokea dola: Back to the point kama wewe kweli ndiye umeonja fedha kutoka vyanzo hivyo umekomaa usingekuja kutafuta kick mara oooh ----------usipotezee wenzioo muda halafu hasira kama mpiga debe kadhulumiwa 100 lol
Mkuu mbona unapiga ngumi hewani? siungemtaja basi huyu mtuhumiwa.
 
Naamini wewe hauna pesa tena waweza kuwa mpiga mzinga wenzio tu kitaa based on the following: Mosi=umejidai hufanyi biashara lkn unajichetua una tigo,voda pesas business, pili= umepangisha wazungu majumba wapokea dola: Back to the point kama wewe kweli ndiye umeonja fedha kutoka vyanzo hivyo umekomaa usingekuja kutafuta kick mara oooh ----------usipotezee wenzioo muda halafu hasira kama mpiga debe kadhulumiwa 100 lol

Anasumbua watu tu huyo! Mtu mwenye akili yake timamu akifanya research kidogo tu juu ya huyu anajua kwamba ni mtoto wa shule anasumbua watu! Hapa JF watu wanajisahau kwa vile hawaonekani, mtu akipitia post zako kwa umakini zinakuanika kila kitu kuwa wewe ni mtu wa namna gani!
 
Nimeifukunyua hii mada makusudi Hz hela zimetoka wap?
 
Nipm nikuambie mimi binafsi nina kampuni ya mikopo nilikuwa nahitaji business partner aongeze working capital tufanye business
 
You need a good business plan to start with. Na hiyo business plan utaiandika baada ya kujua hitaji lililopo katika jamii. If you are serious I can help you with that. Just put your number and I will contact you.
Salaams Wapendwa wangu,,....!!

Poleni kwa majukum na mikiki mikiki ya hapa na pale katika jitihada za kutafuta rizki,,...!!

Sina mengi ila nahitaji ushauri wenu wenye busara,,....!!

Mimi ni mwanamke mwenye umri kati ya miaka (20-30),,...sina uzoefu sana wa biashara ila nimeajiriwa kwenye kampuni flani ya Wafaransa+Wataliano ni Sharing Company,,...!!

Katika harakati za kutafuta Pesa nina kiasi kidogo cha Milioni 270 za KITANZANIA yakwangu Binafsi ambayo nafikiria nii ingize kwenye Biashara huku nikiwa naendelea kupiga kazi kama kawaida,,...!!

Sasa naombeni mnishauri nifanye biashara gani ambayo itamudu kiasi icho cha pesa na kunii ingizia faida,,...??

N.B. Sina uzoefu katika Biashara
ahsanteni,,....Eid Njema,,...!!
 
Hata kama thread ni ya uongo ila humu yamepatikana mawazo mazuri sana aisee
 
Quick and simple advice mdogo wangu, chukua pesa yako kafungue fixed account endelea kupiga kazi mpaka pale utakapokuwa tayari kufanya biashara. Au kanunue fixed asset kama nyumba tena nakusistizia siyo kiwanja. Nasema hivyo sababu ya hizi sentensi zako mbili "Binafsi ambayo nafikiria nii ingize kwenye Biashara huku nikiwa naendelea kupiga kazi kama kawaida,,...!!

Sasa naombeni mnishauri nifanye biashara gani ambayo itamudu kiasi icho cha pesa na kunii ingizia faida"


Lakini pia kumbuka biashara inahitaji hashiki, shauku na matamanio ya kile kitu unachokwenda kufanya ili hata pale utakapoangua hivi vitu vitatu vitakushawishi uamke na ujipanguse na kuanza tena vita upya. Pia inataka kujitoa lakini usipokuwa makini hiyo 270 milioni utazitia mtaroni mdogo wangu halafu utajuta. Mwisho, huu ushauri wangu utakuwa hauna maana kwenye biashara yoyote ile kama wewe mwenyewe hauna shauku navyo hivyo vitu vine nilivyosisitizia hapo juu. Mshauri wa biashara atakushauri jinsi ya kufanya biashara lakini si aina gani ya kuafanya hii yote sababu biashara inaanzia moyoni mdogo wangu.

What this man said is great.
 
Du watu wanapesa lol

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Nikiwa kama mtaalam wa mifugo ningekushauri ufungue hatchery ili utotoleshe vifaranga wa kuku.Ni biashara inayolipa sana.
 
Anzisha small microfinance. Ukimpa mtu 1M kwa mwezi anakurudishia 1.3.
 
I have a very good practical yet medium risk business idea that could work with initial capital of USD 200K. Its unfortunate that in this part of the world, we do not have venture capitalist that looks for potential projects to pump in cash....The best idea is the one that you can work on and put your heart (effort) next to it....
 
270m ukipata kiwanja kama maeneo ya mbezi beach, salasala, makongo cha 900sqm kwa 50m unaweza kujenga bungalow 2 za 3berooms kwa 65m kila moja hadi finishing and then ukaziuza 150m kila moja, so utatengeneza faida kwa mda mfupi na ukiendelea hivyo utakuwa giant wa real estate. nitafute ntakushauri vizuri zaidi.
 
Import is the best...unaweza import electronics from dubai ambaxo huku ni expensive ukasupply at a reasonabld price itakulipa.Eg TV 50 inch LED unanunua for 550 usd mpaka hapa around 800 wewe unauza usd 1300 utauza.Mjini ni over 2000 usd.
 
Kauze sembe

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
UmetishAaaaaa jibu zuri marcopolo
Mbona unajicontradict, Si umesema hujui kufanya biashara?

Swali lako liko kinadharia zaidi kwa sababu jibu lake ni rahisi tu: fanya vilevile ulivyofanya ukapata hizo mil. 270,just do it again and again, it seems to be working quite well...



Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom