Nina Milioni 270 TShs, Nifanye Biashara Gani?

Nina Milioni 270 TShs, Nifanye Biashara Gani?

Ekeza katika kununua nyumba na uzipangishe
Nyumba utaijenga kwa Tshs 70Mil, na kupangisha kwa labda Tshs laki 7 kwa mwezi. So itachukua miezi (Tshs 70Mil/Laki 7) = Miezi 100 (miaka 8) kurudisha hela.

We bana ingia kwenye Kilimo kama vipi. Nunua mashamba au hata kodisha mashamba na ulime. mazao kama Mpunga na Ufuta yanalipa sana. Ufuta ukiuzia shambani ni Tshs 2,500/= kwa Kilo, na ukiuzia kwa wachina au wahindi wa kurasini ni Tshs 4,000/= kwa kg. Heka moja yaweza kutoa mpaka magunia 8 au 10, so utakua na hela yako ndefu tu.

Halafu hela kama hizo usizifanyie pupa. Kama ni hela "umepiga" mahali (sorry kama sio) hua zinakuaga na mzuka sana, but kama umezichanga kidogo kidogo utakua umezizoea, so zisikupe presha sana. Ukitulia unaweza ukazizalisha sana.

Otherwise angalia pia na sisi wanaume, wengine ukitupata tuta-act kama "mario", then hela zikaisha.

Ni hayo tu.
 
Mkuu biashara ya sembe inatatizo gani?
Ni lazima itakuhusisha usafiri nchi za wengine hasa asia fika kwenye viwanja vya ndege na ukiwa na hati ya kusafiria ya TZ acha utakavyo ambiwa vua nguo zote na kubinuliwa kila upande hayo ndio matatiozo yake makubwa.
 
Nyumba utaijenga kwa Tshs 70Mil, na kupangisha kwa labda Tshs laki 7 kwa mwezi. So itachukua miezi (Tshs 70Mil/Laki 7) = Miezi 100 (miaka 8) kurudisha hela.

We bana ingia kwenye Kilimo kama vipi. Nunua mashamba au hata kodisha mashamba na ulime. mazao kama Mpunga na Ufuta yanalipa sana. Ufuta ukiuzia shambani ni Tshs 2,500/= kwa Kilo, na ukiuzia kwa wachina au wahindi wa kurasini ni Tshs 4,000/= kwa kg. Heka moja yaweza kutoa mpaka magunia 8 au 10, so utakua na hela yako ndefu tu.

Halafu hela kama hizo usizifanyie pupa. Kama ni hela "umepiga" mahali (sorry kama sio) hua zinakuaga na mzuka sana, but kama umezichanga kidogo kidogo utakua umezizoea, so zisikupe presha sana. Ukitulia unaweza ukazizalisha sana.

Otherwise angalia pia na sisi wanaume, wengine ukitupata tuta-act kama "mario", then hela zikaisha.

Ni hayo tu.

asante sana mheshimiwa ur real a great thinker,,...ntafanyia kazi mawazo yako
 
Huku tuendaka hatutaki biashara wala mambo kufanywa kiushikaji! Madhara yatokanayo na mambo kufanywa kiushikaji na bila kuzingatia safety issues yametosha sasa. Kama mtu unataka kufanya biashara au shughuli yoyote ni lazima uzingatie kanuni na sheria zilizopo ikiwa ni pamoja nakutokuleta madhara kwa watumiaji au mazingira yanayokuzunguka.
Mpe ushauri utakaozingatia haya!

Unaweza kufungua kituo cha mafuta,Tank 3 kama 150m, moja ya diesel, nyingine ya mafuta ya taa na nyingine ya petrol.
pump 3 kama 18m. Jenga Jengo dogo la kiushikaji kama ofisi, nunua sehemu kando ya barabara unaweza tumia kama 20M na 30m kujenga jengo dogo la kiushikaji kwa ajili ya ofisi.Kopa kama 200m nyingine anzia hapo.
 
Ni lazima itakuhusisha usafiri nchi za wengine hasa asia fika kwenye viwanja vya ndege na ukiwa na hati ya kusafiria ya TZ acha utakavyo ambiwa vua nguo zote na kubinuliwa kila upande hayo ndio matatiozo yake makubwa.

hahahhahah aya bana
 
kaka vp? Yaan milioni 270 tu unauliza kua nimezipataje?....hahaha kwel Tz bado saana,,...mbona pesa ya kawaida sana? Na wenye kumiliki Mabilioni nao watasemaje?..,,,au huo ndo urithi wa mawazo uloachiwa na babu yako Nyerere?? ok nna nyumba kadhaa nimerent wazungu kwa dollars maeneo ya mbez na msasan,,...na mbal na hapo nna v mpesa,,...tigopesa na maduka kadhaa mjini,,...ni ayo tu kwa ufupi hope umenielewa

Japokuwa umeonyesha chembe ya dhihaka lakini sitosita kukushauri,

Kulingana na maelezo yako ya awali yanaonyesha wazi kuwa pesa hiyo kwako ndio pesa nyingi zaidi uliyowahi kuishika na mazingira ya upataji yalitia shaka kidogo uwezo wakowakuimiliki,

Vema, ushauri wangu nikuwa, endelea kuwekeza hapo kwenye biashara ya nyumba na upangishaji, vilevile biashara ya M-Pesa nk,

Ukitoka nje ya hapo siamini kama utafanikiwa,

Kwa mtanzania wa kawaida milioni 270 ni pesa nyingi sana, usishangae ndugu!

Mungu akutangulie,
 
Huku tuendaka hatutaki biashara wala mambo kufanywa kiushikaji! Madhara yatokanayo na mambo kufanywa kiushikaji na bila kuzingatia safety issues yametosha sasa. Kama mtu unataka kufanya biashara au shughuli yoyote ni lazima uzingatie kanuni na sheria zilizopo ikiwa ni pamoja nakutokuleta madhara kwa watumiaji au mazingira yanayokuzunguka.
Mpe ushauri utakaozingatia haya!

asante mkuu
 
Japokuwa umeonyesha chembe ya dhihaka lakini sitosita kukushauri,

Kulingana na maelezo yako ya awali yanaonyesha wazi kuwa pesa hiyo kwako ndio pesa nyingi zaidi uliyowahi kuishika na mazingira ya upataji yalitia shaka kidogo uwezo wakowakuimiliki,

Vema, ushauri wangu nikuwa, endelea kuwekeza hapo kwenye biashara ya nyumba na upangishaji, vilevile biashara ya M-Pesa nk,

Ukitoka nje ya hapo siamini kama utafanikiwa,

Kwa mtanzania wa kawaida milioni 270 ni pesa nyingi sana, usishangae ndugu!

Mungu akutangulie,

samahan kama nilikukwaza mheshimiwa but nilijitahidi kunyumbulisha ili uweze kunielewa,,....ubarikiwe milele....shukran sana
 
Renegade,,....asante sana Mheshimiwa naheshimu mawazo yako
 
Last edited by a moderator:
Quick and simple advice mdogo wangu, chukua pesa yako kafungue fixed account endelea kupiga kazi mpaka pale utakapokuwa tayari kufanya biashara. Au kanunue fixed asset kama nyumba tena nakusistizia siyo kiwanja. Nasema hivyo sababu ya hizi sentensi zako mbili "Binafsi ambayo nafikiria nii ingize kwenye Biashara huku nikiwa naendelea kupiga kazi kama kawaida,,...!!

Sasa naombeni mnishauri nifanye biashara gani ambayo itamudu kiasi icho cha pesa na kunii ingizia faida"


Lakini pia kumbuka biashara inahitaji hashiki, shauku na matamanio ya kile kitu unachokwenda kufanya ili hata pale utakapoangua hivi vitu vitatu vitakushawishi uamke na ujipanguse na kuanza tena vita upya. Pia inataka kujitoa lakini usipokuwa makini hiyo 270 milioni utazitia mtaroni mdogo wangu halafu utajuta. Mwisho, huu ushauri wangu utakuwa hauna maana kwenye biashara yoyote ile kama wewe mwenyewe hauna shauku navyo hivyo vitu vine nilivyosisitizia hapo juu. Mshauri wa biashara atakushauri jinsi ya kufanya biashara lakini si aina gani ya kuafanya hii yote sababu biashara inaanzia moyoni mdogo wangu.
umetoa ushauri mzuri sana, haki tena hata mm ningemshauri ivyo.biashara ni kutoka moyoni,wala cyo kushauliwa.big up kwa ushauri wako mzuri.wengi huwa hata Mimi wananiuliza swali km hilo.na jibu langu ni km ulo mpa huyo Dada.w/end njema.
 
Chuki zako kwangu.....hazisaidii kitu.....ckujui hunijui.........lol piga kazi usikalie chuki na majungu
 
@EW GM's,,......ahsante saaana kwa mawazo yako mazur na yenye busara mheshimiwa,,...ntayafanyia kazi......shukran sana
 
michosho,,....ahsante sana mheshimiwa,,...naheshim mawazo yako
 
Last edited by a moderator:
@Ewgms asante sana mheshimiwa......nakubaliana nawewe......ubarikiwe
 
Back
Top Bottom