Village fooler
JF-Expert Member
- Mar 16, 2020
- 706
- 1,425
Hiyo pesa ni ndogo kulingana na mazingira mkuu na kile anachotaka kufanya mtuYaani aweke million 5 leo baada ya miaka 5 apate 20Million?
Mbona tuhela tudogo sana?
At least ingekuwa million 50 kwenda juu.
Yaani baada ya miaka 10 ndo apate 20m?? Hii yataka moyo!Hiyo pesa huku kwetu unapata shamba ekari 5 baada ya miaka 10 utauza 20m uamuzi ni wako tu mkuu hii Tanzania ni kubwa mnoo si lazima mjazane DSM.
Nyie ndio wale mabinti ambao mnakufa masikini, lets assume una biashara yako ya milioni 5 je una uhakika wa kupata hiyo milioni 15 as a net profit for five years?Yaani aweke million 5 leo baada ya miaka 5 apate 20Million?
Mbona tuhela tudogo sana?
At least ingekuwa million 50 kwenda juu.
20/40 mitaUkubwa gani?
Nyie ndio wale mabinti ambao mnakufa masikini, lets assume una biashara yako ya milioni 5 je una uhakika wa kupata hiyo milioni 15 as a net profit for five years?
Humu ndani nimegundua wengi wenu mnajibu kwa dharau ila kwenye uwanja wa mapambano ni watu wa kawaida mno.
20/40 mita
Kinaonekana vipi?20/40 mita
Hahaha [emoji1787]Mjomba hatakuja juu?
Mapinga na kiluvyaKisemvule
Chanika
Kiluvya
Mapinga
Wewe ungechajua wapi... assume pote umepata viwanja bei almost sawa. Na target yako ni access to Ubungo
Wemgi wanajibu kwa dharau tu but sure wana financial illiteracy andNyie ndio wale mabinti ambao mnakufa masikini, lets assume una biashara yako ya milioni 5 je una uhakika wa kupata hiyo milioni 15 as a net profit for five years?
Humu ndani nimegundua wengi wenu mnajibu kwa dharau ila kwenye uwanja wa mapambano ni watu wa kawaida mno.
1. Kwenye mabinti maskini nitoe kabisa yaani huko sipo kabisa.Nyie ndio wale mabinti ambao mnakufa masikini, lets assume una biashara yako ya milioni 5 je una uhakika wa kupata hiyo milioni 15 as a net profit for five years?
Humu ndani nimegundua wengi wenu mnajibu kwa dharau ila kwenye uwanja wa mapambano ni watu wa kawaida mno.
Unataka tuweke faili lako humu ndani, mbona umekuwa unajipambanua sana, mimi mpambanaji, labda nikuulize hapo ulipo una 10M cash ya kwako wewe binafsi kwenye akaunti yako?1. Kwenye mabinti maskini nitoe kabisa yaani huko sipo kabisa.
2.Hujui nafanya biashara gani ila kwa ufupi tu mie 5m January mpaka December nina 15M.
3.Mimi jembe jembe kweli yaani mpambanaji hatariii huo uwanja wa mapambano unaosema wewe mimi ndo captain sasa.
Watu wengi hawana elimu ya bishara matajiri wote mnaowaona wametapakaa hata huko mikoani, fuatilia imewachukua zaidi ya miaka 20 kusimama hapo walipo.Wemgi wanajibu kwa dharau tu but sure wana financial illiteracy and
🤣🤣🤣🤣🤣 Mimi nina akaunti ya kampuni bwana.Unataka tuweke faili lako humu ndani, mbona umekuwa unajipambanua sana, mimi mpambanaji, labda nikuulize hapo ulipo una 10M cash ya kwako wewe binafsi kwenye akaunti yako?
Unakumbuka?Hahaha [emoji1787]