Wilaya ya ilala ndio wapi ,hizo futi ndio mita ngapi kwa ngapiKuna kiwanja kinauzwa wilaya ya ilala Kitonga.. ( tayari kina msingi)
Tayari Kuna shimo la choo lililojengewa.
Vyumba vitatu, sitting room na dyninmg room na choo Cha ndani..
Kuna ramani ya umeme...
Msingi kozi nane kutoka chini full nondo na cement.
Urefu Ni futi 50 kwa 45.
Bei 4m
0784312904
Kitonga iko wapi,kiwanja square meter ngapiNjoo kitonga wilaya ya ilala nakuuzia kiwanja ukubwa 88*45 kwa mil 4
Hapo mapinga kuwa makini kuna utapeli sana hapo mapingaKisemvule
Chanika
Kiluvya
Mapinga
Wewe ungechajua wapi... assume pote umepata viwanja bei almost sawa. Na target yako ni access to Ubungo
Unacho kingine mkuu na bei kiasi GaniHii barabara ya mbezi kinyerezi katikati
Kitonga ipo wilaya ya ilala unaweza kupitia gongo la mboto,chanika au mbagala... square meter 3900Kitonga iko wapi,kiwanja square meter ngapi
Mbez Kimara sehm gan nipe location nije nichukueNjoo mbezi ya kimara utapata
Maeneo ya Mbopo, Mabwepande utapata 20x20 kwa 4,000,000. wasiliana na 0714432979 au 0768181907Mfukoni (actually ni kwenye account ya TigoPesa) nina milioni tano taslimu.
Natafuta kiwanja upande wa kuanzia Ubungo kwenda Goba, Salasala, Tegeta, Madale, hadi Bunju.
Lakin pia Ubungo kwenda Kimara pande zote, Mbezi huko msakuzi, hadi kibamba, Kiluvya.
Kifupi tu nalenga maeneo ambayo ni rahisi kuja na kurudi Ubungo.
Naweza kupata wakuu, kwa bajeti yangu na maeneo nilotaja?
Umepata...?
Nahitaji. Bado kipo?
Specifications:Bado kipo
15m×13.5mWilaya ya ilala ndio wapi ,hizo futi ndio mita ngapi kwa ngapi
Huo ukanda wa kuanzia mbezi,goba,Tegeta yote bunju mpaka bagamoyo ..ukinunua kiwanja uwe makini ....Utapeli nje nje ...wengi wamelizwaHapo mapinga kuwa makini kuna utapeli sana hapo mapinga
Unanunua kiwanja una mil 5, utajenga na nn au utaweka tent uishi humo?Huo ukanda wa kuanzia mbezi,goba,Tegeta yote bunju mpaka bagamoyo ..ukinunua kiwanja uwe makini ....Utapeli nje nje ...wengi wamelizwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Viwanja bado vipo?ACHA KUAHANGAIKA NA NYUMBA ZA KUPANGA.
NJOO KIBAHA KWA MFIPA NIKUPE KIWANJA CHA 20*20 KWA MIL. 2.8
JENGA CHUMBA CHAKO MASTER NA SEBLE UNAANZA MAISHA.TOFARI 1000 NYUMBA IMEKAMILIKA. MCHANGA UKO HAPO HAPO UWANJANI KWAKO. TOFARI 1 UKU NI 850 MPAKA SITE
0789411234
Leta bei zake mkuuuTajiri njoo Kibaha utapata viwanja kwa bei rahisi sana ...Kibaha kongowe viwanja vipo bei nzuri sana ... afu soon barabara wataitanua mpaka chalinze ...fikiria 5years to come ...acha kujibana hapa dsm ..
Sent using Jamii Forums mobile app