Thabit Karim
JF-Expert Member
- Sep 3, 2012
- 393
- 735
Ajira yako ni unavuta zaidi ya m8 kwa mwezi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo jamaa alikaa usa 15 years ila wenzetu wana bahatiKuna rafiki yangu Mganda jana nilikuwa naongea naye akanisimulia hii stori ya huyu jamaa.
Amefikiria nje ya box
Umemuona ni balaaNimecheki jamaa video zake kwa Youtube channel yake, jamaa yuko njema aisee. Ila alianza na mtaji wa kutosha pia, na alikua na vision kubwa. Ameni inspire sana.
Bongo sheria zao zimekaa kimajungu.Huyo jamaa alikaa usa 15 years ila wenzetu wana bahati
Sisi kurudi bongo ni tumekuwa wahamiaji
Yaani diaspora tunaonewa na sheria zetu hazieleweki
JK alisema njooni muwekeze huku Lukuvi akasema hamuwezi kusogea kwenye ardhi
Kila mmoja na sheria zake tz sio katiba
Ila jamaa amejitahidi sana na amekaa mbali na watu kuogopa maradhi ya milipuko kwa mifugo
Bora nienda huko kuwekeza kwa kweli
Na bongo ni matembezi tu
Ukisikia serikali ya kinafiki ndio hiiBongo sheria zao zimekaa kimajungu.
Wanataka abroad waende wao tu kufanya ziara na kurudi wakienda wengine wanaumiaUkisikia serikali ya kinafiki ndio hii
Mkuu bado uko Dubai?Hili pia ni wazo bora ambalo lilisahaulika.
Yaani ukiachana na biashara ya real estate hii ni biashara namba 2 yenye faida kubwa na risk yake ni ndogo.
Sema hii ya mbuzi ingekulipa fasta pamoja ungeobgeza kondoo. Ajiri mtu umjengee nyumba full suit ama slope aishipo na familia take kabisa. Unamuwekea na ng'ombe wa kuwa anakunywa maziwa. Baadaye utafungia gps baadhi ya mbuzi ama unamnunulia simu unakuwa unamu track. Umlipe vizuri. Chukua mtu mzima tokea kkwenu ama unayemfahamu a to z. Omba ushauri wa mtu gani kwa mzazi wako. Funga kamera mifugo wakiwa wanaingia unawachekimuwekee na Sola.
Kama umepata Lori kubwa chonga na mizinga wekamo. Ama Kama vipi chukua ardhi inayofaa zabibu na zenyewe hazina uangalizi. Nyumba wanazikimbilia Mana Ni low risk and low return. Risk and profit ziko direct proportion. Sasa nature ya human being hatupendi risk and kitu chenye uncertainties outcome. Tunapenda chenye certainty outcome na ndio Mana biashara nyingi Ni copy and paste
Ni nature pia ya binadamu kuona negative na sio positive. Yaani iko hivi author mwenye 5*star review Kama 1000 akipata 1* review nakuambia atawewesekaje mkuu atajiona Kama Hana thamani. Ama wewe Ni kipa daka ama okoa goli 99 lile 100 ufungwe ndilo watu watakumbuka na wataku disi kuwa hufai kuwa kipa wao.Awekemo au sio [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hardware =100%64 milioni ni pesa nyingi, ila utakapoiingiza kwenye uwekezaji itaonekana ndogo. Ukiwekeza kwenye lodge kama ulivyoshauriwa hiyo pesa itaisha kabla ya kumaliza. Lodge yenye vyumba 12 hiyo pesa haitoshi. Ni kuanzia 100+
Kwenye magari, Fuso hizi kwa sasa zinazolipa sio zile single. Kuna zile double dif au almaarufu tandam hiyo pesa haitoshi. Tandamu moja kwa sasa ni zaidi 100+
Hardware hapa ndio naweza kukushauri. Maana kwa sasa ujenzi kwa mkoa wa dodoma umeshika kasi. Hiyo pesa unaweza kuanza nayo. Na kwa kuwa umeweza kuseve 64 mln kwa mwaka 1. Basi mshahara wako unakupa nafasi ya banki kukuamini na kukukopesha. Angalao uanze na 100mln.
Anza na Mabati geji 28, 30,32, nondo size zote cement za makampuni yote. Dsm Tanga na Dangote. misumari size zote. Mbao na mazagazaga mengine. Baada ya mwaka m1 huo mtaji utakuwa umedouble kama sio mara mbili yake.
Hakuna sekta inayoinua kama sekta ya ujenzi.
8m ni 2/3 ya kipato changu cha mwezi. Huwa nasave hiyo amount kila mwezi kabla ya matumizi yoyote automatically.Ajira yako ni unavuta zaidi ya m8 kwa mwezi?
Kama huwezi simamia mwenyewe, baso jenga nyumba pangishaWife kusimamia ni ngumu kiukweli. Hapo kwenye usimamizi ni changamoto hasa. Na kama hii idea ya ufugaji wa MBUZI inahitaji usimamizi wa karibu hasa, ndio kinachonirudisha nyuma kwenye hii idea.
Hii inafanya kazi piaMipango ya namna hii haiongeleki jf ww kama vipi tafta bar moja safi kaa agiza beer zako 5 alaf angalia angalia mtu mzima mmoja wa heshma mualike mpige maji alaf anzisha stor sasa utaona asubuhi kama hauamki na plan nzuri
Afike Kherson kabisa.Kwa mshahara wako ingia bank chukua loan watakupa Mil 300 hivi.. Nenda Ukraine ukale bata kidogo mkuu