Nina shilingi milioni 64, niwekeze kwenye biashara gani kati ya hizi?

Zipo sehemu Kigamboni watu wanalipa rent 500k per month...
 
Fanya biashara ya agricultural finished products kama mafuta ya alizeti na unga wa mahindi

Kodi Jengo au jenga jengo dogo weka mashine ya kusaga na kupack unga. Uza hapohapo Dodoma


Kuhusu mafuta ya alizeti nunua tu Kibaigwa harafu uza hapo Dodoma .utapata hata tenda vyuoni kwenye ma cafe


Angalizo:biashara yoyote usiiianze na more than 50% of your capital
 
Usijaribu biashara hii kichaa, utamnufaisha dereva.
Wekeza UTT mfuko wa wekeza maisha kwa miaka kumi. Kila mwaka utapata interest ya 30% ukiwa umekaa bila kufanya kazi. UTT hautojuta.
UTT kuna plan ambayo ina interest ya 30% mkuu? Are you sure?
 
Biashara ni desire,passion,vision,mission na ambition.Kwa hiyo huwezi kuchaguliwa hivi vitu na mtu
Nakubali mkuu, ila hivyo vyote vinaweza kuwa developed. Au haiwezekani? Maana si naweza nikashauriwa idea, nikaichukua na kuifanyia research na kudevelop passion na desire along the way... Then nikatengeneza mission na vision before entering into that business...
Au haiwezekani?
 
Asante sana mkuu
 
UTT kuna plan ambayo ina interest ya 30% mkuu? Are you sure?
Yaani uweke 2,000,000/= UTT na mwisho wa mwaka upate faida ya 600,000/= kwa riba ya 30% hamna hiyo aisee yaani kwa mwezi faida ya 50,000/= UTT hawajawai kuwa na ukarimu huo.

Watu wangeamisha hela zao benki waweke UTT wapate hizo faida huku wamekaa nyumbani, yaani 10,000,000/= upewe faida ya 3,000,000/= kutoka UTT hamna hiyo
 
Asante sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…