The Wisdom
Senior Member
- Oct 20, 2011
- 182
- 56
Milioni 64 ajenge lodge 2!! Na kiwanja amenunua bei gani kwa eneo kama Dodoma?
Hao pia si kuna mgao au asilimia watahitaji kwa kukuletea kazi?.Haina haja ya Frem mkuu,wanaokupa kazi ni event planners,Mc,Dj's.. Tv weka home
Na amemwambia hapo anapata Lodge mbili[emoji1787][emoji1787]Milioni 64 ajenge lodge 2!! Na kiwanja amenunua bei gani kwa eneo kama Dodoma?
Funguka mkuu, bado napokea na kuchakata mawazo kwenye halmashauri ya kichwa changu. So, nichanganulie wazo lako.
Kuna watu wana utani sana na ujenzi 😃Na amemwambia hapo anapata Lodge mbili[emoji1787][emoji1787]
Labda Hostel kama.zile za piramiho za kawaida tu.Kuna watu wana utani sana na ujenzi [emoji2]
Zipo sehemu Kigamboni watu wanalipa rent 500k per month...Tatizo la nyumba unazika pesa na faida inakuja kuonekana baada ya miaka mpka 7,8 na kuendelea mbele hapo unadhani kibongobongo hiyo ni hasara chukulia nyumba ya M50 kali unapangisha 500k kwa mwenzi hapo Ela inarudi baada ya miaka 9 hapo ikiwa imepangishwa non stop na kitu ambacho hakiwezekani pia kodi nimechukulia kodi ya 500k ambayo ni kubwa ila kikawaida ni 200k mpka 300k.
Kama una muda nichekiFunguka mkuu, bado napokea na kuchakata mawazo kwenye halmashauri ya kichwa changu. So, nichanganulie wazo lako.
Kivipi mkuu.Hii sikushauri ndugu crocodile, utaishi maisha magumu kama Dr. Shika
UTT kuna plan ambayo ina interest ya 30% mkuu? Are you sure?Usijaribu biashara hii kichaa, utamnufaisha dereva.
Wekeza UTT mfuko wa wekeza maisha kwa miaka kumi. Kila mwaka utapata interest ya 30% ukiwa umekaa bila kufanya kazi. UTT hautojuta.
Nakubali mkuu, ila hivyo vyote vinaweza kuwa developed. Au haiwezekani? Maana si naweza nikashauriwa idea, nikaichukua na kuifanyia research na kudevelop passion na desire along the way... Then nikatengeneza mission na vision before entering into that business...Biashara ni desire,passion,vision,mission na ambition.Kwa hiyo huwezi kuchaguliwa hivi vitu na mtu
Asante sana mkuuNunua eneo kubwa nje ya mji kama Nala au michese....chimba kisima...M15 inakutosha kabisa na apo umenunua na jenereta incase umeme ukikatika......haya chimba bwawa la samaki(mawili ili ufuge samaki aina mbili na kambale wakiwemo)....weka drip irrigation...jenga kijumba kidogo cha msimamizi..hapo roughly itafika M30....chukua M8 nenda kwa doctor bajaji hapo chukua TVS mpya ...hii itakusaidia kama passive income ili usilie lie njaa..na pia usiguse kiasi kilichobaki kwenye m64 ....kumbuka utakua umebaki na M16, imetulia..hii mpaka ifike miez ,6 utakua umepata akili ya wapi uiwekeze
NB: kwakua umekiri wazi hujawah fanya biashara..wewe huhitaji biashara za kuumiza kichwa kwakua pia usimamizi wako utakua mdogo...
Ukipata hela yeyote kwenye sources zako anza biashara ya kujenga Nyumba za kupangisha au nunua government bonds
😂😂😂Thanks for the insight mkuuYes. Sio biashara ya utani. Na ukiingia uwe na uzoefu wa hasara kidogo au uwe na roho nyepesi
Yaani uweke 2,000,000/= UTT na mwisho wa mwaka upate faida ya 600,000/= kwa riba ya 30% hamna hiyo aisee yaani kwa mwezi faida ya 50,000/= UTT hawajawai kuwa na ukarimu huo.UTT kuna plan ambayo ina interest ya 30% mkuu? Are you sure?
Asante sana mkuuFanya biashara ya agricultural finished products kama mafuta ya alizeti na unga wa mahindi
Kodi Jengo au jenga jengo dogo weka mashine ya kusaga na kupack unga. Uza hapohapo Dodoma
Kuhusu mafuta ya alizeti nunua tu Kibaigwa harafu uza hapo Dodoma .utapata hata tenda vyuoni kwenye ma cafe
Angalizo:biashara yoyote usiiianze na more than 50% of your capital