mik van vex
Senior Member
- Jan 13, 2018
- 101
- 170
Wasukuma na wadada weupe kwani mmelogewa?Cheki wazo la huyu mdau Naona limo konki pia mno. Ujue biashara Ni eneo, mtaji na msimamizi. Eneo Ni market. Hasahasa msimamizi ndio kila kitu. Sasa wewe upo jobu kaloji kwenye mikoa ambayo Ni municipal like Mpanda. Unakomaa hata na self tano room za Mana. Nadhani kila room unaweka 10-15/20 hukosi milioni kwa mwezi.
Loji iko POA pia uangalizi wake Ni kamera. Chumba Cha show time kuwepo, uza na gandomu ikiwezekana weka dada mzuri mweupe mwenye nyamanyama na sio kimbaumbau, yaani ambaye anafanya mtu anaenda kualalapo.
Una operate in deterministic MINDEST. So siwezi ku argue na weweWasukuma na wadada weupe kwani mmelogewa?
Hii inakuaje kaka naomba nijuze plsKAlibu kwenye bidhara yetu ya kuleta viazi ulaya mwanza kutoka kenya njombe na bukoba bila kusaau manyara mtaji ni milion 15 tu
Kwa kweli ...Kuna watu mna mishahara mikubwa!
Mkuu naomba kuona jins ya kuandaa iyo excel ambayo unatumia kuweka rekod ya wapangaj wako, mana nam nina wapangaji weng ila ninakosa namna nzur ya kuweka rekod zao.Bro mimi nimejenga nyumba za kupangisha kwa sasa nina wapangaji 12 natamani nitume excel sheet humu uone sema ntakuwa nimewakosea heshima wapangaji wangu kuwaanika ila nimegundua nguvu nilizotumia kujenga hizi nyumba ningejenga Lodge hata mbili haki ya nani ningeishi kibosi kabisa.
Kwa sababu mtu anaeishi kwenye nyumba ya kupanga kwa 150,000 kwa mwezi ujue anaishi kwa 3,000 kwa siku tofauti na lodge. ANYWAY hela zote zinaenda kwenye Ada za watoto nimepata eneo zuri la lodge nafanya masahihisho nitarudi kutoa report humu ikiisha
Tusaidie break down ya gharama za kuanzisha kituo ili na sote tujifunzeUnabisha nin mkuu wakati miniko nakituo Cha mafuta
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Mmmm ni nzuri lakini biashara ya magari inahitaji uzoefu sana na usimamizi wa kina, mm nipo dodoma nilikuwa nafanya kazi za mkataba nikasema nikope niweke mkono wapili nikanunu haice ilichonifanya sitakuja kusahau, kwasasa kazi sina na deni limesimama yaani sina pakushika.Asante kwa wazo.
64m napata Fuso la kuanzia? Na je, Fuso moja inaweza nipa return nzuri ya kuonekana? Unaweza nipa insights zaidi?
Wakenya ni wazurumati Sana wa biashara.watanzania kila uchao wanazurumiwa pesa . Mkenya sio mtu mzuri kwenye businessWazo langu la Pili
Kama hutojali, Nunua ng'ombe mikoani nenda kawauzie wacomoro huko mkuu wangu kuna faida.
Au nunua kauze kenya huko
Toa uzoefu wako mkuu, nini kilitokea ? Ulikuwa na gari gani ? Ulinunua mpya na kwa kiasi gani ?Gari sikushauri tena hiyo ya mizigo? Utafilisika fastaa yalishanikuta
Ulinunua Hiace used ?Mmmm ni nzuri lakini biashara ya magari inahitaji uzoefu sana na usimamizi wa kina, mm nipo dodoma nilikuwa nafanya kazi za mkataba nikasema nikope niweke mkono wapili nikanunu haice ilichonifanya sitakuja kusahau, kwasasa kazi sina na deni limesimama yaani sina pakushika.
Used na hiyo hela yako fuso unaloweza kupata ni used, kwa biashara ya gari chakwanza upate mpya, chapili bima kubwa muhimu kupunguza risk, chatatu uwe na mtu wakaribu wakusimamia ndugu awe na dreva kila safari. Ile haice ilinitesa,polis niliwekwa, mahakamani nilienda, nasikuwahi fikiria kama ningefika hizi sehemu.Ulinunua Hiace used ?
Pole mkuu, kwa hiyo lakujifunza hapo ni kununua mpya sio used za Tz pia usimamizi mzuri, ukifanikiwa hivyo unapata kitu.Used na hiyo hela yako fuso unaloweza kupata ni used, kwa biashara ya gari chakwanza upate mpya, chapili bima kubwa muhimu kupunguza risk, chatatu uwe na mtu wakaribu wakusimamia ndugu awe na dreva kila safari. Ile haice ilinitesa,polis niliwekwa, mahakamani nilienda, nasikuwahi fikiria kama ningefika hizi sehemu.
[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna watu mna mishahara mikubwa!
Umeongea kitu Cha maana Sana aiseeJenga Lodge!!! Hiyo hela inatosha Sana, Tena hata lodge mbili, ulifanya hivyo matunda utayaona mapema sana.
Yap na bima kubwa, na uzoefu wa magari ww au msimamizi au mtu uliye mwamini ukiambiwa cutout imekufa ujue ni nn na ikifa inakuwaje,udanganyifu ni mwingi sana.Pole mkuu, kwa hiyo lakujifunza hapo ni kununua mpya sio used za Tz pia usimamizi mzuri, ukifanikiwa hivyo unapata kitu.
HI unaenda au unaagiza poli unakuja kuuza hapa mjini bei ya jumla unauzia kwenye loliHii inakuaje kaka naomba nijuze pls