Nina shilingi milioni 64, niwekeze kwenye biashara gani kati ya hizi?

Nina shilingi milioni 64, niwekeze kwenye biashara gani kati ya hizi?

Cheki wazo la huyu mdau Naona limo konki pia mno. Ujue biashara Ni eneo, mtaji na msimamizi. Eneo Ni market. Hasahasa msimamizi ndio kila kitu. Sasa wewe upo jobu kaloji kwenye mikoa ambayo Ni municipal like Mpanda. Unakomaa hata na self tano room za Mana. Nadhani kila room unaweka 10-15/20 hukosi milioni kwa mwezi.

Loji iko POA pia uangalizi wake Ni kamera. Chumba Cha show time kuwepo, uza na gandomu ikiwezekana weka dada mzuri mweupe mwenye nyamanyama na sio kimbaumbau, yaani ambaye anafanya mtu anaenda kualalapo.
Wasukuma na wadada weupe kwani mmelogewa?
 
Bro mimi nimejenga nyumba za kupangisha kwa sasa nina wapangaji 12 natamani nitume excel sheet humu uone sema ntakuwa nimewakosea heshima wapangaji wangu kuwaanika ila nimegundua nguvu nilizotumia kujenga hizi nyumba ningejenga Lodge hata mbili haki ya nani ningeishi kibosi kabisa.

Kwa sababu mtu anaeishi kwenye nyumba ya kupanga kwa 150,000 kwa mwezi ujue anaishi kwa 3,000 kwa siku tofauti na lodge. ANYWAY hela zote zinaenda kwenye Ada za watoto nimepata eneo zuri la lodge nafanya masahihisho nitarudi kutoa report humu ikiisha
Mkuu naomba kuona jins ya kuandaa iyo excel ambayo unatumia kuweka rekod ya wapangaj wako, mana nam nina wapangaji weng ila ninakosa namna nzur ya kuweka rekod zao.
 
Asante kwa wazo.
64m napata Fuso la kuanzia? Na je, Fuso moja inaweza nipa return nzuri ya kuonekana? Unaweza nipa insights zaidi?
Mmmm ni nzuri lakini biashara ya magari inahitaji uzoefu sana na usimamizi wa kina, mm nipo dodoma nilikuwa nafanya kazi za mkataba nikasema nikope niweke mkono wapili nikanunu haice ilichonifanya sitakuja kusahau, kwasasa kazi sina na deni limesimama yaani sina pakushika.
 
Wazo langu la Pili

Kama hutojali, Nunua ng'ombe mikoani nenda kawauzie wacomoro huko mkuu wangu kuna faida.

Au nunua kauze kenya huko
Wakenya ni wazurumati Sana wa biashara.watanzania kila uchao wanazurumiwa pesa . Mkenya sio mtu mzuri kwenye business
 
Mmmm ni nzuri lakini biashara ya magari inahitaji uzoefu sana na usimamizi wa kina, mm nipo dodoma nilikuwa nafanya kazi za mkataba nikasema nikope niweke mkono wapili nikanunu haice ilichonifanya sitakuja kusahau, kwasasa kazi sina na deni limesimama yaani sina pakushika.
Ulinunua Hiace used ?
 
Ulinunua Hiace used ?
Used na hiyo hela yako fuso unaloweza kupata ni used, kwa biashara ya gari chakwanza upate mpya, chapili bima kubwa muhimu kupunguza risk, chatatu uwe na mtu wakaribu wakusimamia ndugu awe na dreva kila safari. Ile haice ilinitesa,polis niliwekwa, mahakamani nilienda, nasikuwahi fikiria kama ningefika hizi sehemu.
 
Used na hiyo hela yako fuso unaloweza kupata ni used, kwa biashara ya gari chakwanza upate mpya, chapili bima kubwa muhimu kupunguza risk, chatatu uwe na mtu wakaribu wakusimamia ndugu awe na dreva kila safari. Ile haice ilinitesa,polis niliwekwa, mahakamani nilienda, nasikuwahi fikiria kama ningefika hizi sehemu.
Pole mkuu, kwa hiyo lakujifunza hapo ni kununua mpya sio used za Tz pia usimamizi mzuri, ukifanikiwa hivyo unapata kitu.
 
Daah tupambane sana wanangu yaani nikiona mtu ananiambia ana ml64 kwenye acc daaah najihis kufa tu apa anyway ngoja nikaze sana huu mwaka nione nitafika wapi asee
 
Ila kiukweli umaskini ni mbaya sana sana aseee yaani jmaskin haufai kabisa!!
 
Sema.mwanangu hongera sana kwa kuweza kutengeneza icho kiasi cha peaa hongerano!!
 
Ila bip unaweza kutupa mrejesho wa wazo uliloamua kulifanyia kazi
 
Pole mkuu, kwa hiyo lakujifunza hapo ni kununua mpya sio used za Tz pia usimamizi mzuri, ukifanikiwa hivyo unapata kitu.
Yap na bima kubwa, na uzoefu wa magari ww au msimamizi au mtu uliye mwamini ukiambiwa cutout imekufa ujue ni nn na ikifa inakuwaje,udanganyifu ni mwingi sana.
 
Back
Top Bottom