Nina shilingi milioni 64, niwekeze kwenye biashara gani kati ya hizi?

Kijiji gani hapo Geita mchele umeshuka hivyo? Sengerema nimepata taarifa una Tsh 80K per gunia.
 
Utakuja mnaemshauri hana mia... Kijana mbongo mwajiriwa mwenye Milioni zoteizo anapatawapi adabu ya kutulia kusoma posti na kujibu watu vizuri!! Labda kama anatarajia kuzipata/kuzikopa
 
Nunua vyombo vya music ukodishe,inalipa sana
 
Build a beautiful house and rent it out kama AirBnB.
 
Utakuja mnaemshauri hana mia... Kijana mbongo mwajiriwa mwenye Milioni zoteizo anapatawapi adabu ya kutulia kusoma posti na kujibu watu vizuri!! Labda kama anatarajia kuzipata/kuzikopa
Akili mgando hizi
 

Mkuu, TMO analipwaje per month?

-Kaveli-
 
Kutofanya biashara unafeli. Pamoja na kuwa na chanzo kikubwa cha mtaji halafu haujawahi kufanya biashara hata kidogo? Badilika mwaka huu. Use your savings to start a business.
 

Biashara ya lodge na hotel need proper management to keep your customer. Ikiwemo ukarabat wa mara kwa mara
 

Ukitaka kujua 64 M ni hela ndogo

Ngoja aingize kwenye biashara

Ukiona mtu katoboa kwenye business muheshimu

Reality on the ground huwa nitofauti na expectations
 

Real estate kwa mil 64, ???guys hizo ni dola 25K tu
 
Umesevu Mil 64 kwa miezi nane kutoka kwenye mshahara. Hii ina maana kama umeweza save million 8 kila mwezi kutoka kwenye mshahara, na uko Dodoma, najiuliza mshahara wako kiasi gani kwa mwezi? Maana mahesabu kawaida unaweza kusave maximum 30% ya mshahara wako kwa mwezi wakati pesa zingine zina matumizi mbali mbali. Unless pia una biasara nje ya mshahara ya kuingiza kipato na hutegemei mshahara kwa kila kitu. Kama umeweza save hiyo pesa kwa muda mfupi, hiyo ni biashara tosha. Anyways, watu tumepishana sana kimapato. Hongera
 

Wazo zuri, hela haitoshi kununua kiwanja goba na kujenga nyumba za ukubwa huo tena standard. Anunue kiwanja kwanza labda, aanze kupandisha mdo mdo...ujenzi wa mbali hatari lakini
 
Kwavile una changamoto ya muda (umeajiriwa na kazi nzuri sharti itunze), usiwaze faida ya haraka ila waza usalama wa pesa na uhakika wa faida, hapo baadae.

Pata kiwanja mjini mjini hapo dodoma, say 10m

Jenga studios (chumba, sebule yenye open kitchen na bafu). Uzuri wa hizi unaweza kusoma hela inaendaje na ukafanya finishing kwa mbili au tatu etc

Kwa 50 million, finishing kali sana ya AC, water heaters, alluminium windows etc... (Japo sijui gharama za ujenzi za dodoma), utatumia si chini ya 35m kwa moja

Ukafanya finishing ya hali ya kati, unaweza kujenga mbili na ukakamilisha hadi komeo na watu wakaingia.
Hata kama kodi utaanza na ndogo, walau hela yako unaiona!
 
Namba 1 au jenga nyumba uweke wapangaji
Faida itayopatikana weka ujenge park ya michezo

Kama umeoa mshirikishe mkeo achague pia
64 m unajenga Nyumba gani na hiyo Hela Kwa rentinya laki 3inarudi lini we kale Bata Mungu anajua destiny yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…