Nina shilingi milioni 64, niwekeze kwenye biashara gani kati ya hizi?

Nina shilingi milioni 64, niwekeze kwenye biashara gani kati ya hizi?

Yaani uweke 2,000,000/= UTT na mwisho wa mwaka upate faida ya 600,000/= kwa riba ya 30% hamna hiyo aisee yaani kwa mwezi faida ya 50,000/= UTT hawajawai kuwa na ukarimu huo.

Watu wangeamisha hela zao benki waweke UTT wapate hizo faida huku wamekaa nyumbani, yaani 10,000,000/= upewe faida ya 3,000,000/= kutoka UTT hamna hiyo
Na mimi nimeshangaa, sijawahi kuona hiyo rate ya 30%. Watu wote wangepeleka mahela huko.
 
Hao pia si kuna mgao au asilimia watahitaji kwa kukuletea kazi?.
Hapana mkuu. Hiyo ni biashara, unakuta hao labda ni MC ana kazi sehemu na ana PAS ila hana TV na ukumbi hauna, so ili aweze kupiga kazi vizuri lazima akodi TV.
 
Sure mkuu
UTT kuna plan ambayo ina interest ya 30% mkuu? Are you sure?
Nina uhakika ila siyo plan ya muda mfupi, ni ya miaka kumi na kuendelea.
Mfuko huu unaitwa Wekeza maisha .Mimi nipo humo mkuu.
Pia upo mwingine wanatoa 12-14% kwa mwaka.
 
Yaani uweke 2,000,000/= UTT na mwisho wa mwaka upate faida ya 600,000/= kwa riba ya 30% hamna hiyo aisee yaani kwa mwezi faida ya 50,000/= UTT hawajawai kuwa na ukarimu huo.

Watu wangeamisha hela zao benki waweke UTT wapate hizo faida huku wamekaa nyumbani, yaani 10,000,000/= upewe faida ya 3,000,000/= kutoka UTT hamna hiyo
Mkuu usibishe kitu usichokijua
Wapigie UTT watakuelekeza.
Wengi hawawekezi huko kwa kuwa ni mkataba wa miaka isiyopungua kumi.
Pia Wana mfuko mwingine unaitwa Liquid wanatoa faida ya 12-14% kwa mwaka.
 
Habarini wakuu. Natumaini mnaendelea vizuri na maandalizi ya sikukuu.

Bila kuwachosha sana, nimeweza ku save jumla ya shilingi milioni 64 hadi sasa, kiasi hiki nimeweza kukisave kuanzia mwezi April mwaka huu kutoka kwenye mshahara wangu. Nipo mkoa wa Dodoma.

So far, nimefikiria kuwekeza katika mojawapo ya mambo yafuatayo:

1. Ninunue eneo la shamba kubwa maeneo ya Dodoma nje ya mji au Dodoma vijijini kisha nianzishe kama ranchi hivi ya ufugaji wa mbuzi.

Nimefikiria mbuzi kwa sababu kwa utafiti wangu wa muda mfupi nimeona kuwa mbuzi hawana complications nyingi kulinganisha na wanyama wengine wa kufuga, na pia kuna fursa zaidi kwa mbuzi nchini, na demand ambayo haijawa satsified.

Lengo la hii ni baadae niweze kuwa na kiwanda kabisa cha kuchinja na kuprocess nyama ya mbuzi, na kuweza hata kuuza ndani na nje ya nchi products za nyama ya mbuzi.

2. Nifungue park kwa ajili ya michezo ya watoto kwa Dodoma. Moja ya gaps ambazo nimeziona Dodoma ni kukosekana kwa eneo zuri la maana kwa ajili ya michezo ya watoto na watu kupumzika pia.

Hapa nafikiria ninunue eneo Dodoma then nilitengeneze vizuri na kuweka michezo ya watoto (indoor na outdoor) ya kutosha, pamoja na kutengeneza garden nzuri ya kuvutia kwa ajili ya watu na familia zao kupumzika na kupigia picha.

Kwa nje kwenye ukuta nawaza pia kuwe na frame kadhaa ambazo nitakodisha kwa watu waweke maduka ya vyakula, vinywaji, na vitu vya watoto.

3. Nifungue kiwanda cha maji ya kunywa yale ya kwenye dispenser kwa ajili ya matumizi ya majumbani na maofisini. Nimeona gap pia hapa kwa sababu makampuni yaliyopo hapa Dodoma kwa hii huduma hayatoshelezi mahitaji kwa kiasi kikubwa, mara nyingi sana unakuta yanapotea sokoni kwa muda fulani (no consistency of supply).

4. Ninunue kiwanja saizi ya kati maeneo ambayo sasa hivi ndo yanajengeka (eg Ilazo, NALA) halafu nipige vyumba vya low-cost (behewa style), niweke hapo vyumba kadhaa, then nipangishe nile kodi kila mwezi hata 50K kwa kila room. Baadae kadri ninavyopata mpunga zaidi, niongeze idadi ya vyumba zaidi na zaidi.

Wenye uzoefu wa biashara na ideas na mnaoifahamu Dodoma, niambieni hapo nianze na ipi kati ya hizo kwa mtaji huu nilionao (milioni 64), au hata idea nyingine ambayo sijaitaja hapo juu.

Mimi maisha yangu yote nimeajiriwa tu hadi sasa (nina umri wa miaka 35). Sijawahi kufanya buashara hata ya kuingiza shs 500. Nimeona ni bora pia niangalie upande huu wa business pia maana siwezi ajiriwa milele, na pia kama mjuavyo hizi ajira zetu, leo ipo kesho haipo hasa huku private sector.

Natanguliza shukrani.
Jenga vibanda-umiza vya kuonesha mpira kila wilaya mpaka Zanzibar. Utakuja kunishukuru.
 
Sure mkuu
Nina uhakika ila siyo plan ya muda mfupi, ni ya miaka kumi na kuendelea.
Mfuko huu unaitwa Wekeza maisha .Mimi nipo humo mkuu.
Pia upo mwingine wanatoa 12-14% kwa mwaka.
Hiyo 30% ni kwa mwaka (per annum), sio kwa mwezi, right?
 
Asante kwa wazo lako zuri. Ila ideally pia nilitaka kitu ambacho baada ya muda kikisimama kiweze kunipatia kipato kitakachoniwezesha kuishi bila hata hii kazi yangu ya sasa. Unajua mkuu hizi kazi zetu ni za mkataba maana ni miradi ya kilindi cha miaka kadhaa.
Kwa mazingira hayo nakushauri kufanya kitu ambacho unaujuzi nacho, hii itakusaidia usiyumbe kwa sababu ya kutokuwa na uzoefu. Tena uache kazi ili ufanye mradi wako la sivyo jipe muda zaidi huku ukitafuta biashara yenye risk ndogo ila faida kidogo zaidi
 
Habarini wakuu. Natumaini mnaendelea vizuri na maandalizi ya sikukuu.

Bila kuwachosha sana, nimeweza ku save jumla ya shilingi milioni 64 hadi sasa, kiasi hiki nimeweza kukisave kuanzia mwezi April mwaka huu kutoka kwenye mshahara wangu. Nipo mkoa wa Dodoma.

So far, nimefikiria kuwekeza katika mojawapo ya mambo yafuatayo:

1. Ninunue eneo la shamba kubwa maeneo ya Dodoma nje ya mji au Dodoma vijijini kisha nianzishe kama ranchi hivi ya ufugaji wa mbuzi.

Nimefikiria mbuzi kwa sababu kwa utafiti wangu wa muda mfupi nimeona kuwa mbuzi hawana complications nyingi kulinganisha na wanyama wengine wa kufuga, na pia kuna fursa zaidi kwa mbuzi nchini, na demand ambayo haijawa satsified.

Lengo la hii ni baadae niweze kuwa na kiwanda kabisa cha kuchinja na kuprocess nyama ya mbuzi, na kuweza hata kuuza ndani na nje ya nchi products za nyama ya mbuzi.

2. Nifungue park kwa ajili ya michezo ya watoto kwa Dodoma. Moja ya gaps ambazo nimeziona Dodoma ni kukosekana kwa eneo zuri la maana kwa ajili ya michezo ya watoto na watu kupumzika pia.

Hapa nafikiria ninunue eneo Dodoma then nilitengeneze vizuri na kuweka michezo ya watoto (indoor na outdoor) ya kutosha, pamoja na kutengeneza garden nzuri ya kuvutia kwa ajili ya watu na familia zao kupumzika na kupigia picha.

Kwa nje kwenye ukuta nawaza pia kuwe na frame kadhaa ambazo nitakodisha kwa watu waweke maduka ya vyakula, vinywaji, na vitu vya watoto.

3. Nifungue kiwanda cha maji ya kunywa yale ya kwenye dispenser kwa ajili ya matumizi ya majumbani na maofisini. Nimeona gap pia hapa kwa sababu makampuni yaliyopo hapa Dodoma kwa hii huduma hayatoshelezi mahitaji kwa kiasi kikubwa, mara nyingi sana unakuta yanapotea sokoni kwa muda fulani (no consistency of supply).

4. Ninunue kiwanja saizi ya kati maeneo ambayo sasa hivi ndo yanajengeka (eg Ilazo, NALA) halafu nipige vyumba vya low-cost (behewa style), niweke hapo vyumba kadhaa, then nipangishe nile kodi kila mwezi hata 50K kwa kila room. Baadae kadri ninavyopata mpunga zaidi, niongeze idadi ya vyumba zaidi na zaidi.

Wenye uzoefu wa biashara na ideas na mnaoifahamu Dodoma, niambieni hapo nianze na ipi kati ya hizo kwa mtaji huu nilionao (milioni 64), au hata idea nyingine ambayo sijaitaja hapo juu.

Mimi maisha yangu yote nimeajiriwa tu hadi sasa (nina umri wa miaka 35). Sijawahi kufanya buashara hata ya kuingiza shs 500. Nimeona ni bora pia niangalie upande huu wa business pia maana siwezi ajiriwa milele, na pia kama mjuavyo hizi ajira zetu, leo ipo kesho haipo hasa huku private sector.

Natanguliza shukrani.
Idea ya sehem ya kupumzka wtt naona iko vizur
 
Sure mkuu
Nina uhakika ila siyo plan ya muda mfupi, ni ya miaka kumi na kuendelea.
Mfuko huu unaitwa Wekeza maisha .Mimi nipo humo mkuu.
Pia upo mwingine wanatoa 12-14% kwa mwaka.
Okaay mkuu, thanks for the insight
 
Sio kwa mwezi mkuu
Kwa mwaka na pia ukiwekeza pesa zako uzitoe si chini ya miaka kumi
Mkuu hakuna kitu kama hicho cha kutoa 30% interest per year..ingekuwa hivyo hata bank wangewekeza UTT au tungechukua mikopo bank tukawekeza UTT na kuilipa bila shida. BOT yenyewe wanatoa 12.56% kwa bond ndefu ya 25yrs sasa hao UTT ndio wawe vizuri kuliko BOT?Big NO
 
Kwa mazingira hayo nakushauri kufanya kitu ambacho unaujuzi nacho, hii itakusaidia usiyumbe kwa sababu ya kutokuwa na uzoefu. Tena uache kazi ili ufanye mradi wako la sivyo jipe muda zaidi huku ukitafuta biashara yenye risk ndogo ila faida kidogo zaidi
Thanks mkuu
 
Back
Top Bottom