Kwenye business it's all about ROI(Return of investment) Kuna aina ya biashara return yake after investment ni kubwa na risk yake inaweza kuwa calculated. Biashara zozote ambazo wewe ndio unapanga Bei huwa tamu saana na ndio Zina return nono.
Ukituliza akili Kama una 64mil unaweza kudouble capital yako after a short time na risk Yake sio kubwa kihivyo, Kwa Sasa Kuna kitu huko majuu kinaitwa liquidation pallets yaani ni zile old stocks au returned item Kutoka kwa wateja kwa sababu ya rangi au size yake imekuwa tofauti na mtu aliyoagiza.
Ukienda UK, US, Dubai, Australia... Unakuta mzigo godown unaambiwa uchague fungu la item unalotaka... Kuna mzigo wa Air condition pekee, Tower fan pekee, Mapasi ya steamer, Oven microwave e.t.c ...mzigo wa fungu la million 30 unaweza kupewa kwa million 2 tu na pia risk yake sio kubwa sababu unaziona Air conditioner zako na technically hazioozi Wala kuexpire.
Ukifikisha bongo hapa ukaanza kuuza kwa jumla kwenye Duka kubwa au warehouse yako kwa bei ya fasta kwa wauzaji wa jumla na rejareja wa kariako au hata fina consumer unaweza wauzia pia.
Ukikutana na mataikuni wa Hii business wakakuonyesha Namna ya kucrack codes za wakamua mapato ndio fasta unabadilishiwa jina unaitwa Freemason.
I'm talking from my experience..been there, done that.
Hii business wanaifanya wasudan, wanaigeria, Somalians Sana Sana wenye exposure na network.
Pitia link Hii hapa ujifunze zaidi