Nina shilingi milioni 64, niwekeze kwenye biashara gani kati ya hizi?

Nina shilingi milioni 64, niwekeze kwenye biashara gani kati ya hizi?

Tatizo la nyumba unazika pesa na faida inakuja kuonekana baada ya miaka mpka 7,8 na kuendelea mbele hapo unadhani kibongobongo hiyo ni hasara chukulia nyumba ya M50 kali unapangisha 500k kwa mwenzi hapo Ela inarudi baada ya miaka 9 hapo ikiwa imepangishwa non stop na kitu ambacho hakiwezekani pia kodi nimechukulia kodi ya 500k ambayo ni kubwa ila kikawaida ni 200k mpka 300k.
Unachokiongea ni kweli kabisa, ila ukiwa smart unaweza ukapata pesa sana kwenye real estate...Unajenga, au unanunua nyumba unaiboresha, unaichukulia mkopo, unaifanyia biashara, alaf unachukulia mkopo mwingine mkubwa zaid kwa kua umeongeza value, then unadevelop property nyingine...hiyo siri wanajua wachache sana na kutengeneza faida wanajua wachache
 
Habari wakuu.

Natumaini mnaendelea vizuri na maandalizi ya sikukuu.

Bila kuwachosha sana, nimeweza ku save jumla ya shilingi milioni 64 hadi sasa, kiasi hiki nimeweza kukisave kuanzia mwezi April mwaka huu kutoka kwenye mshahara wangu. Nipo mkoa wa Dodoma.

So far, nimefikiria kuwekeza katika mojawapo ya mambo yafuatayo:

  1. Ninunue eneo la shamba kubwa maeneo ya Dodoma nje ya mji au Dodoma vijijini kisha nianzishe kama ranchi hivi ya ufugaji wa mbuzi.

    Nimefikiria mbuzi kwa sababu kwa utafiti wangu wa muda mfupi nimeona kuwa mbuzi hawana complications nyingi kulinganisha na wanyama wengine wa kufuga, na pia kuna fursa zaidi kwa mbuzi nchini, na demand ambayo haijawa satisified.

    Lengo la hii ni baadae niweze kuwa na kiwanda kabisa cha kuchinja na kuprocess nyama ya mbuzi, na kuweza hata kuuza ndani na nje ya nchi products za nyama ya mbuzi.

  2. Nifungue park kwa ajili ya michezo ya watoto kwa Dodoma. Moja ya gaps ambazo nimeziona Dodoma ni kukosekana kwa eneo zuri la maana kwa ajili ya michezo ya watoto na watu kupumzika pia.

    Hapa nafikiria ninunue eneo Dodoma then nilitengeneze vizuri na kuweka michezo ya watoto (indoor na outdoor) ya kutosha, pamoja na kutengeneza garden nzuri ya kuvutia kwa ajili ya watu na familia zao kupumzika na kupigia picha.

    Kwa nje kwenye ukuta nawaza pia kuwe na frame kadhaa ambazo nitakodisha kwa watu waweke maduka ya vyakula, vinywaji, na vitu vya watoto.

  3. Nifungue kiwanda cha maji ya kunywa yale ya kwenye dispenser kwa ajili ya matumizi ya majumbani na maofisini. Nimeona gap pia hapa kwa sababu makampuni yaliyopo hapa Dodoma kwa hii huduma hayatoshelezi mahitaji kwa kiasi kikubwa, mara nyingi sana unakuta yanapotea sokoni kwa muda fulani (no consistency of supply).

  4. Ninunue kiwanja saizi ya kati maeneo ambayo sasa hivi ndo yanajengeka (eg Ilazo, NALA) halafu nipige vyumba vya low-cost (behewa style), niweke hapo vyumba kadhaa, then nipangishe nile kodi kila mwezi hata 50K kwa kila room. Baadae kadri ninavyopata mpunga zaidi, niongeze idadi ya vyumba zaidi na zaidi.

    Wenye uzoefu wa biashara na ideas na mnaoifahamu Dodoma, niambieni hapo nianze na ipi kati ya hizo kwa mtaji huu nilionao (milioni 64), au hata idea nyingine ambayo sijaitaja hapo juu.

    Mimi maisha yangu yote nimeajiriwa tu hadi sasa (nina umri wa miaka 35). Sijawahi kufanya buashara hata ya kuingiza shs 500. Nimeona ni bora pia niangalie upande huu wa business pia maana siwezi ajiriwa milele, na pia kama mjuavyo hizi ajira zetu, leo ipo kesho haipo hasa huku private sector.

    Natanguliza shukrani.
Hongera sana.
Kwa maelezo yako inaonekana hauna uzoefu na biashara na unaweza poteza hiyo pesa. Jaribu kufanya hiki
Habari wakuu.

Natumaini mnaendelea vizuri na maandalizi ya sikukuu.

Bila kuwachosha sana, nimeweza ku save jumla ya shilingi milioni 64 hadi sasa, kiasi hiki nimeweza kukisave kuanzia mwezi April mwaka huu kutoka kwenye mshahara wangu. Nipo mkoa wa Dodoma.

So far, nimefikiria kuwekeza katika mojawapo ya mambo yafuatayo:

  1. Ninunue eneo la shamba kubwa maeneo ya Dodoma nje ya mji au Dodoma vijijini kisha nianzishe kama ranchi hivi ya ufugaji wa mbuzi.

    Nimefikiria mbuzi kwa sababu kwa utafiti wangu wa muda mfupi nimeona kuwa mbuzi hawana complications nyingi kulinganisha na wanyama wengine wa kufuga, na pia kuna fursa zaidi kwa mbuzi nchini, na demand ambayo haijawa satisified.

    Lengo la hii ni baadae niweze kuwa na kiwanda kabisa cha kuchinja na kuprocess nyama ya mbuzi, na kuweza hata kuuza ndani na nje ya nchi products za nyama ya mbuzi.

  2. Nifungue park kwa ajili ya michezo ya watoto kwa Dodoma. Moja ya gaps ambazo nimeziona Dodoma ni kukosekana kwa eneo zuri la maana kwa ajili ya michezo ya watoto na watu kupumzika pia.

    Hapa nafikiria ninunue eneo Dodoma then nilitengeneze vizuri na kuweka michezo ya watoto (indoor na outdoor) ya kutosha, pamoja na kutengeneza garden nzuri ya kuvutia kwa ajili ya watu na familia zao kupumzika na kupigia picha.

    Kwa nje kwenye ukuta nawaza pia kuwe na frame kadhaa ambazo nitakodisha kwa watu waweke maduka ya vyakula, vinywaji, na vitu vya watoto.

  3. Nifungue kiwanda cha maji ya kunywa yale ya kwenye dispenser kwa ajili ya matumizi ya majumbani na maofisini. Nimeona gap pia hapa kwa sababu makampuni yaliyopo hapa Dodoma kwa hii huduma hayatoshelezi mahitaji kwa kiasi kikubwa, mara nyingi sana unakuta yanapotea sokoni kwa muda fulani (no consistency of supply).

  4. Ninunue kiwanja saizi ya kati maeneo ambayo sasa hivi ndo yanajengeka (eg Ilazo, NALA) halafu nipige vyumba vya low-cost (behewa style), niweke hapo vyumba kadhaa, then nipangishe nile kodi kila mwezi hata 50K kwa kila room. Baadae kadri ninavyopata mpunga zaidi, niongeze idadi ya vyumba zaidi na zaidi.

    Wenye uzoefu wa biashara na ideas na mnaoifahamu Dodoma, niambieni hapo nianze na ipi kati ya hizo kwa mtaji huu nilionao (milioni 64), au hata idea nyingine ambayo sijaitaja hapo juu.

    Mimi maisha yangu yote nimeajiriwa tu hadi sasa (nina umri wa miaka 35). Sijawahi kufanya buashara hata ya kuingiza shs 500. Nimeona ni bora pia niangalie upande huu wa business pia maana siwezi ajiriwa milele, na pia kama mjuavyo hizi ajira zetu, leo ipo kesho haipo hasa huku private sector.

    Natanguliza shukrani.
 

Attachments

Kwenye business it's all about ROI(Return of investment) Kuna aina ya biashara return yake after investment ni kubwa na risk yake inaweza kuwa calculated. Biashara zozote ambazo wewe ndio unapanga Bei huwa tamu saana na ndio Zina return nono.

Ukituliza akili Kama una 64mil unaweza kudouble capital yako after a short time na risk Yake sio kubwa kihivyo, Kwa Sasa Kuna kitu huko majuu kinaitwa liquidation pallets yaani ni zile old stocks au returned item Kutoka kwa wateja kwa sababu ya rangi au size yake imekuwa tofauti na mtu aliyoagiza.

Ukienda UK, US, Dubai, Australia... Unakuta mzigo godown unaambiwa uchague fungu la item unalotaka... Kuna mzigo wa Air condition pekee, Tower fan pekee, Mapasi ya steamer, Oven microwave e.t.c ...mzigo wa fungu la million 30 unaweza kupewa kwa million 2 tu na pia risk yake sio kubwa sababu unaziona Air conditioner zako na technically hazioozi Wala kuexpire.

Ukifikisha bongo hapa ukaanza kuuza kwa jumla kwenye Duka kubwa au warehouse yako kwa bei ya fasta kwa wauzaji wa jumla na rejareja wa kariako au hata fina consumer unaweza wauzia pia.

Ukikutana na mataikuni wa Hii business wakakuonyesha Namna ya kucrack codes za wakamua mapato ndio fasta unabadilishiwa jina unaitwa Freemason.

I'm talking from my experience..been there, done that.

Hii business wanaifanya wasudan, wanaigeria, Somalians Sana Sana wenye exposure na network.

Pitia link Hii hapa ujifunze zaidi


Mwongozo kidogo kwenye hili mkuu .
 
Habari wakuu.

Natumaini mnaendelea vizuri na maandalizi ya sikukuu.

Bila kuwachosha sana, nimeweza ku save jumla ya shilingi milioni 64 hadi sasa, kiasi hiki nimeweza kukisave kuanzia mwezi April mwaka huu kutoka kwenye mshahara wangu. Nipo mkoa wa Dodoma.

So far, nimefikiria kuwekeza katika mojawapo ya mambo yafuatayo:

  1. Ninunue eneo la shamba kubwa maeneo ya Dodoma nje ya mji au Dodoma vijijini kisha nianzishe kama ranchi hivi ya ufugaji wa mbuzi.

    Nimefikiria mbuzi kwa sababu kwa utafiti wangu wa muda mfupi nimeona kuwa mbuzi hawana complications nyingi kulinganisha na wanyama wengine wa kufuga, na pia kuna fursa zaidi kwa mbuzi nchini, na demand ambayo haijawa satisified.

    Lengo la hii ni baadae niweze kuwa na kiwanda kabisa cha kuchinja na kuprocess nyama ya mbuzi, na kuweza hata kuuza ndani na nje ya nchi products za nyama ya mbuzi.

  2. Nifungue park kwa ajili ya michezo ya watoto kwa Dodoma. Moja ya gaps ambazo nimeziona Dodoma ni kukosekana kwa eneo zuri la maana kwa ajili ya michezo ya watoto na watu kupumzika pia.

    Hapa nafikiria ninunue eneo Dodoma then nilitengeneze vizuri na kuweka michezo ya watoto (indoor na outdoor) ya kutosha, pamoja na kutengeneza garden nzuri ya kuvutia kwa ajili ya watu na familia zao kupumzika na kupigia picha.

    Kwa nje kwenye ukuta nawaza pia kuwe na frame kadhaa ambazo nitakodisha kwa watu waweke maduka ya vyakula, vinywaji, na vitu vya watoto.

  3. Nifungue kiwanda cha maji ya kunywa yale ya kwenye dispenser kwa ajili ya matumizi ya majumbani na maofisini. Nimeona gap pia hapa kwa sababu makampuni yaliyopo hapa Dodoma kwa hii huduma hayatoshelezi mahitaji kwa kiasi kikubwa, mara nyingi sana unakuta yanapotea sokoni kwa muda fulani (no consistency of supply).

  4. Ninunue kiwanja saizi ya kati maeneo ambayo sasa hivi ndo yanajengeka (eg Ilazo, NALA) halafu nipige vyumba vya low-cost (behewa style), niweke hapo vyumba kadhaa, then nipangishe nile kodi kila mwezi hata 50K kwa kila room. Baadae kadri ninavyopata mpunga zaidi, niongeze idadi ya vyumba zaidi na zaidi.

    Wenye uzoefu wa biashara na ideas na mnaoifahamu Dodoma, niambieni hapo nianze na ipi kati ya hizo kwa mtaji huu nilionao (milioni 64), au hata idea nyingine ambayo sijaitaja hapo juu.

    Mimi maisha yangu yote nimeajiriwa tu hadi sasa (nina umri wa miaka 35). Sijawahi kufanya buashara hata ya kuingiza shs 500. Nimeona ni bora pia niangalie upande huu wa business pia maana siwezi ajiriwa milele, na pia kama mjuavyo hizi ajira zetu, leo ipo kesho haipo hasa huku private sector.

    Natanguliza shukrani.
Fungua social media accounts za gossips na kuchafua watu

Ni rahisi sana

ILA morally ni wrong
 
Unachokiongea ni kweli kabisa, ila ukiwa smart unaweza ukapata pesa sana kwenye real estate...Unajenga, au unanunua nyumba unaiboresha, unaichukulia mkopo, unaifanyia biashara, alaf unachukulia mkopo mwingine mkubwa zaid kwa kua umeongeza value, then unadevelop property nyingine...hiyo siri wanajua wachache sana na kutengeneza faida wanajua wachache
Hii wazungu na wahindi wanazifanya sana nje boss
Tena wengine wanavizia nyumba za minada
Kwa nyumbani ni vizuri kutafuta nyumba za concrete block ya bei nzuri halafu unatafuta fundi mzuri hata rafiki unaibadili na kuweka kila kitu, unaipiga bei
Mwisho unakuwa kwenye ladder in Real estate
 
Kuna mtu anakodisha lodge yake 1,000,000/= kwa mwezi, Ina vyumba 6 kila chumba ni 10,000 kwa short time.
Roughly chumba kimoja unaweza kukiuza mara tatu Kwa siku
10000X3=30,000 hii ni bei ya chumba kimoja
Ukichukua vyumba 6X30,000= 180,000/=
Kila siku utapata zaidi ya 180,000X siku 30
Utapata 5,400,000/= haya ni mapato ya kawaida Kwa mwezi mmoja.
Ukitoa ile Kodi million moja na gharama nyengine hukosi 3 million profit
 
Kuna mtu anakodisha lodge yake 1,000,000/= kwa mwezi, Ina vyumba 6 kila chumba ni 10,000 kwa short time.
Roughly chumba kimoja unaweza kukiuza mara tatu Kwa siku
10000X3=30,000 hii ni bei ya chumba kimoja
Ukichukua vyumba 6X30,000= 180,000/=
Kila siku utapata zaidi ya 180,000X siku 30
Utapata 5,400,000/= haya ni mapato ya kawaida Kwa mwezi mmoja.
Ukitoa ile Kodi million moja na gharama nyengine hukosi 3 million profit
Location ni wapi?
 
Nunua tractor ukalimie watu mashamba utakuja kunishukuru baadae
 
Kuna mtu anakodisha lodge yake 1,000,000/= kwa mwezi, Ina vyumba 6 kila chumba ni 10,000 kwa short time.
Roughly chumba kimoja unaweza kukiuza mara tatu Kwa siku
10000X3=30,000 hii ni bei ya chumba kimoja
Ukichukua vyumba 6X30,000= 180,000/=
Kila siku utapata zaidi ya 180,000X siku 30
Utapata 5,400,000/= haya ni mapato ya kawaida Kwa mwezi mmoja.
Ukitoa ile Kodi million moja na gharama nyengine hukosi 3 million profit
Biashara za kwenye karatasi ni rahisi sana.
 
Biashara ya mazao...NunuaJenga kipindi wanavuna mfano mahindi,Michele,Karanga nk.Hifadhi kisha uza Kwa bei inapopanda.Nunua mazao ya 20m tu utapata hadi 60 baada ya miezi 6
 
Back
Top Bottom