Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Mkuu solo kubwa si ni Zanzibar at I!!!Kulima hayo maharage sio tatizo kubwa..wasiwasi ni uhakika wa hilo soko.
Kuna wahamasishaji walikuja na ushauri wa ufugaji wa sungura pamoja na ahadi za kuwanunua wote, watu tukajituma na sungura wakafunguka kama kawaida yao.
Mwisho wa siku wanunuzi waliingia mitini.
Ilibidi tujifunze kula sungura.
Sikujua mkuu.Mkuu solo kubwa si ni Zanzibar at I!!!
Mwaka 2015 kuna mdada anaishi Uk akatutaftia soko la mchicha...bas kwenye group la watu 200 tukakubaliana kkla mtu alime eka 2...huwez amin zile eka ilionekana ni chache mnooo kusafirisha....so kuexport mzigo nje sio shughyli za kitoto...lazima uwe fresh sana kifedha!Ila sio Tani mkuu Ni Kama gunia kadhaa wanaweza kukutafutia
Mkuu kama kweli yupo serious Na pia hao wazungu. Hauwezi kutumia picha tu kama kigezo.Hujaona picha mzee
Pole sana Mkuu.Kulima hayo maharage sio tatizo kubwa..wasiwasi ni uhakika wa hilo soko.
Kuna wahamasishaji walikuja na ushauri wa ufugaji wa sungura pamoja na ahadi za kuwanunua wote, watu tukajituma na sungura wakafunguka kama kawaida yao.
Mwisho wa siku wanunuzi waliingia mitini.
Ilibidi tujifunze kula sungura.
Nimepost na picha yake hapo mkuu..Mkuu,
Umesema kwamba wanataka tani kwa tani ya Maharage lakini ujasema ni ya aina gani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] duhhhhKuna jamaa alikuwa anakuja kijijini kwetu uku sumbawanga kununua paka.paka wakawa fursa kila akija anakuja na bei ya juu.paka wakaadimika ikabidi vijana waanze kuwatafuta vijiji vya jirani.nako paka wakaisha nakumbuka alipokuja tena alikuja na oda ya paka 10000.kwa ofa ya sh.80000 kila paka mmoja.vijana wakazunguka vijiji karibu 7 paka wanapatikana 2 Mara 3.akatokea Mzee mmoja akasema Kuna bibi mmoja anafuga paka na yupo kwenye pori fulan HV kila paka ni anauza 50000 .watu ni kuvamia pori na kwenda kununua paka.wakarudi na paka kijijini kumsubiria mnunuzi.ni takribani siku ya tatu mnunuzi hajatokea kumbe mnunuzi alikuwa anakuja kununua na kuwatunza kijiji kilichopo kando ya pori...sa HV watu wapo wanazurura na mapaka mtaani paka ni wengi.
Weka jina?Nimepost na picha yake hapo mkuu..
Siyo kila kitu ni utapeli mkuu, wanaofanya biashaara za kimataifa wanajua, kabla hujaanza kununua mzigo kuna agreement mnaingia na mengine mengi mkuu...Hata utapeli huwa unapita njia hizo hizo.. Hizo karanga isije kuwa ilikuwa ni kipengere tu!
Mkuu.Siyo kila kitu ni utapeli mkuu, wanaofanya biashaara za kimataifa wanajua, kabla hujaanza kununua mzigo kuna agreement mnaingia na mengine mengi mkuu...
Wewe inawezeka ni mshamba hata 419 scam hujawai kuisikia!!Yaani utatapeliwa vipi maharage au mahindi au mchele mpaka unamuona mtu tapeli
si ni yeye ndio mwenye hela wewe una mzigo wa kuuza
Au wewe ndio tapeli uuze mawe kwenye magunia..
Pumbaaaaafu.......