Nina Tsh 150,000 tu, nifanye nini ndani ya siku kumi na tano nipate Tsh 3,000,000?

we ni tapeli, kenge mkubwa ww? kwanza hapaitwi merera ni melela, na sio mangaye ni mangae, soko la kimataifa ndo upeleke gram 56 kwa week? mkuu we ni tapeli kiazi, ndo maana unakimbia, umeama kwenye 57k mapka 25k faida/g?
 
Zidisha mara 20 tu mkuu, inapatikana
 
we ni tapeli, kenge mkubwa ww? kwanza hapaitwi merera ni melela, na sio mangaye ni mangae, soko la kimataifa ndo upeleke gram 56 kwa week? mkuu we ni tapeli kiazi, ndo maana unakimbia, umeama kwenye 57k mapka 25k faida/g?
We ni kichaa kweliπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.
Umeanza KUREKEBISHA UANDISHI kwa kukosa hoja!?
Mangaye au Mangae,Merera au Melela ina utofauti gani!??
Hizo ni kauli tu namna ya kutamka.
Wengine Dumila wanakwambia Dumira.
Nimekutolea mifano ya dhahabu tofauti na nimekanusha WEWE MUONGO HUWEZI UKASEMA ETI GRAM MOJA IKUPATIE FAIDA YA 2K.
NDIO MAANA NIKAKUTOLEA MFANO WA FAIDA YA CHINI KABISA KUWA NI 25K.
Hiyo 25k ni faida ya chini kabisa.

All at all sikutaka hela ya mtu na sikumwambia mtu afanye biashara na mimi.
Watu wametaka maelezo nimewapa wakitaka wayafanyie kazi wasipotaka wasiyafanyie kazi is upto them.
UNANIITA TAPELI KUNA MTU NILIMWAMBIA ANIPE PESA!??

Kuniita kwako tapeli hakuniumizi nimekusamehe kwa kukosa kwako exposure.
 
we ni tapeli, kenge mkubwa ww? kwanza hapaitwi merera ni melela, na sio mangaye ni mangae, soko la kimataifa ndo upeleke gram 56 kwa week? mkuu we ni tapeli kiazi, ndo maana unakimbia, umeama kwenye 57k mapka 25k faida/g?
Pia haujui kipi unataka maana hata unachoelezwa na unachojibu huelewi.
 
kwa hyo wanakupa 137k bila kuangalia purity? mkuu unambwelambwela sana, huna uliposhika, mara 147k mara 137k, tushike lipi? we ni tapel kiazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…