Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
You need SMART goal settings, yaani Bora wa 5m anataka apate 1m ili awe na 6m kuliko mwenye 150,000 anataka apate 3m ndani ya siku 15 napenda kufundisha elimu ya ujasiriamali ila humu niwajuwaji sanaNina 5m nifanye nini ndani ya mwezi nipate 6m?
Kasome maelezo yangu vizuri.kwa hyo wanakupa 137k bila kuangalia purity? mkuu unambwelambwela sana, huna uliposhika, mara 147k mara 137k, tushike lipi? we ni tapel kiazi.
You need SMART goal settings, yaani Bora wa 5m anataka apate 1m ili awe na 6m kuliko mwenye 150,000 anataka apate 3m ndani ya siku 15 napenda kufundisha elimu ya ujasiriamali ila humu niwajuwaji sana
maelezo yako ni ya kitapeli kuwatamanisha watu ili uwapige. Unaendesha gari gani ili nifananishe na hyo faida ya 57k/g unayosema huwa unatengenezaToa maelezo kama mimi tapeli.
Wapi maelezo yangu yanaonesha kama mimi tapeli!?
Muulize nimemuomba hela yake!?
Kama hauna exposure ni wewe.
Mimi nafundisha Kwa practical skillsTatizo lako wewe unataka kufundisha kwa notice, ubao na chaki, mimi nimemfundisha kwa statement.
Ameamua kutuzingua,nasisi tunamzinguaKwa 150k kwa mwez atapata 12000
maelezo yako ni ya kitapei, kutamanisha watu ili uwapigeKasome maelezo yangu vizuri.
Pia nimekusamehe kwa kuniita tapeli.
Soma kwa uelewa,hakuna ambacho nimeandika hakijajitosheleza, baada ya hii quote sitakujibu tena.
Ukiwa na 5m unaweza pata 1m Kwa mwezi lakini ukiwa na 150,000 haina uhakika kupata 3m ama 2,750,000 ndani siku 15You need SMART goal settings, yaani Bora wa 5m anataka apate 1m ili awe na 6m kuliko mwenye 150,000 anataka apate 3m ndani ya siku 15 napenda kufundisha elimu ya ujasiriamali ila humu niwajuwaji sana
Mie nitakupa maelezo utafanya we mwenyewe na ukitaka nitakuunganisha na watu ufanye nao mie nikiwa out of picture.
Maana jamaa kashaanza kukutisha kuwa labda naweza kuwa tapeli au vipi.
Kilimo cha nini hiko cha siku 15, labda mchicha.Sijasoma comment. Ila nna uhakika watu 10 washasema tafuta odds ..
Edit:
Replies zilizomshauri abet/aviator au kuongelea kubet zipo 12.
Waliosema akalime: 0
Waliosema aanzishe biashara: 0
Wengi wapewe.
Kanunue hisa TBL.
You dull head , stupid and broke
You ll always stuck there
Eti ananunua gram kwa 90k anauza kwa 147k😃, Kila mtu angekua kota, kota Kila gram akila sana anakula buku 6-8 hapo ajiandae na kuwakopa wenye makarasha la sivyo atakaa porini na hela zake na hatalamba mzigo wowoteacha kumdanganya mwenzako wewe..
Nunua hati fungani za UTT,
Kanunue hisa TBL.
Mkikutana na wauza Sembe anakwambia hiyo mia hamsini yako itie kibiriti peleka hili Zogo China ukirudi una nyumba sita kumbe muhuni anakupeleka ukanyongwe tu...kwa hizi tamaa kufanya biashara hatarishi ni dakika yeyote tu..