Nina Tsh 150,000 tu, nifanye nini ndani ya siku kumi na tano nipate Tsh 3,000,000?

Nina Tsh 150,000 tu, nifanye nini ndani ya siku kumi na tano nipate Tsh 3,000,000?

Gram 56 per week siyo kitoto mkuu kwa mfumo huo?......Afu hiyo bei ya mwaka gani au Mgodi gani 90k@1gram
Hapo inabidi udhamini maduara na uwakope wenye makarasha, kupata 56g per week inabidi uwe taita, alafu mpuuze huyo maana hakuna mahali utauziwa dhahabu ukapate faida ya 57k kwa Kila gram
 
Wakuu habari zenu ni matumain yangu mko salama salmini

Sasa wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza apo nashida ya pesa kama 3million na natakiwa kuipata ndani ya kipindi cha siku 15 ila nikijiangalia mfukoni ninamiliki Tsh 150,000/= tu je kuna namna naweza kufanya ili niifikie iyo pesaa

My location : Dar es salaam
Mimi ningekua wewe hiyo 150K ningedeposit kwa broker nitrade forex leo kuna news kubwa sana ya GBP Interest Rate Decision hiyo 3M unayotafuta naipata leo saa 8.
Usipitwe na hii chance coz am gonna kill the broker ila usichukulie kirahisi tu kama kunywa maji unatakiwa uwe mastermind kwelikweli kama una roho na akili ndogo kaa mbali unaweza ukalia bila kupenda
 
Mimi ningekua wewe hiyo 150K ningedeposit kwa broker nitrade forex leo kuna news kubwa sana ya GBP Interest Rate Decision hiyo 3M unayotafuta naipata leo saa 8.
Usipitwe na hii chance coz am gonna kill the broker ila usichukulie kirahisi tu kama kunywa maji unatakiwa uwe mastermind kwelikweli kama una roho na akili ndogo kaa mbali unaweza ukalia bila kupenda
150k apate 3M saa 8 Leo? Sisemi kama haiwezekani ila it's a very risky execution, hapo chance ya kupoteza Hio 150k ni more than 90%
 
Hapo inabidi udhamini maduara na uwakope wenye makarasha, kupata 56g per week inabidi uwe taita, alafu mpuuze huyo maana hakuna mahali utauziwa dhahabu ukapate faida ya 57k kwa Kila gram
🤣 anadhani ni kitu rahisi tu
 
mkuu hata dakika 10 haifiki, jamaa mmoja magomeni saa 8 usiku alikuwa na m7 asubuhi ana zero balance. NAWAHESHIMU SANA MAPILOT WA AVIATOR
Hivyo vitu acha vinipitie mbali.
Kuna jamaa juzi nimemkuta kawekwa Kati na madogo wanamfundisha hiyo kitu ndani ya dakika 2 kapigwa buku5
Akaniomba jero angalau anunue fungu la mchicha apeleke home familia ikale.
Nikamwambia aibuke tu Gheto Kuna bustani pale ajichumie tu mboga na nyanya!!
Akasema harudii tena
 
Hapo sokoni au shimoni!?
Pia hiyo dhahabu karat ngapi!?
Gram 1 hapo imeuzwa kwa 195+k.
Hivi wewe mbona una kichwa kigumu hivyo kuelewa???? Hapo ni mgodini kabisa hivi hauna hata namba za wachimbaji uwaulize wanauzaje kwasasa
 
Hivi wewe mbona una kichwa kigumu hivyo kuelewa???? Hapo ni mgodini kabisa hivi hauna hata namba za wachimbaji uwaulize wanauzaje kwasasa
Basi ni huko mie nipo Tanga bei ya juu zaidi ya gram moja ya karat 18 ni 110k.
Na nimeuliza Morogoro ni vivyo hivyo.
Huwenda inayouza wewe ina karat za juu zaidi na sijui huyo unayemuuzia anaenda kuuza wapi maana hiyo uliomuuzia ndio bei yenyewe ya sokoni.
 
Mi nimefanya sana biashara ya machimboni ndo maana jamaa hata nimeamua kumpotezea tu, unachosema ndo uhalisia, faida per gram ni elfu 6 mpaka 8, that's it, ila faida ya elf 57 sasa Kila mtu si angeenda tu kuuzia sokoni....


Alafu unamshauri mtu aende machimboni na laki 3 akawe kota/digala kweli???😃😃😃 Hata mtaji wa gram 2 Hana? Aisee
Mbona unachanganya mada mzee!?
Huyo wa laki 3 unajua mie nilitaka kumshauri kipi!?
Uliefanya kazi machimboni sio wewe tu mzee.
Mimi tangia 2019 nimekua katika hizo biashara mpaka 2023 ndio nimesimama.
Mwisho mwaka jana huku Mashewa Muheza watu walikua wakichimba gram 1 90k-95k.
Nidanganye ili iweje ili kwa faida ya nani mzee!?
 
mkuu huyo jamaa ni tapeli, ni anacheza na maneno tu uhalisia haupo, hv mkuu ununue kilo moja ya dhahabu kwa 90m uende sokoni upate faida ya 57m hv kwa akili yako inaingia akilin hata kama hujui kuhusu hyo biashara. nakuapia mkuu hakuna digala anapata faida ya zaid ya 10k/g kwenye dhahabu, tena hapo kacheza michezo michafu kama kutemper na scale etc. dhahabu ingekuwa na faida kubwa kama jamaa anavodai tusingekuwa kunapishana na madigala kwa mama lishe kufuata ugali dagaa mkuu. 57k/g faida? over my dead body, tena unafanya uchuuzi sio hata kuwa umedhamini duara? which is too risky, kupoteza hela ni kugusa tu.
Umeshindwa kutengeneza faida hiyo ni wewe
Ulichoshindwa wewe sio alichoshindwa mwenzako.
Na nimekutapeli nini mpaka uniite tapeli!?
NARUDIA TENA MIMI NIMEFANYA HIYO BIASHARA FAIDA NDOGO YA MWISHO NILOIPATA NI 25K KWA KILA GRAM.
NA DHAHABU NILIZOZIPATA MIMI NI 10-18KARAT.
Kila mtu ana namna yake ya kupata mzigo man.
Unavyotafuta mzigo wewe sio navyotafuta mimi,usitake kuaminisha watu unachokijua wewe ndio hiko hiko.
Humu ndani kila mtu anaongea anachokifahamu,nidanganye ili iweje!?
 
Gram 56 per week siyo kitoto mkuu kwa mfumo huo?......Afu hiyo bei ya mwaka gani au Mgodi gani 90k@1gram
Nimempa wazo mkuu kama ataweza aende,nimempa wazo kulingana na fedha yake.
Mbona Dumila Mgumu watu kwa wiki wanaondoka na gram 100 kaka!?
Nawauliza wao wanapataje!?
Mtu anakupa njia kaka ila hawezi akalipa mfumo yeye anafanyaje ila njia atakupa.
Kwa karat 18 bei ni 90k-110k.
Hilo nimeuliza sasa hivi watu wa Morogoro Matombo.
 
Hapo inabidi udhamini maduara na uwakope wenye makarasha, kupata 56g per week inabidi uwe taita, alafu mpuuze huyo maana hakuna mahali utauziwa dhahabu ukapate faida ya 57k kwa Kila gram
Mie nimempa jamaa wazo,wakati ukisema hivyo wewe pale ofisi ya tume ya madini Morogoro kuna mwananyama kwa wiki anakata kibali cha kusafirisha dhahabu gram sio chini ya 200 kwenda Dar es Salaam.
Jiulize yeye anapataje!?
Umeshatembea migodi yote mpaka useme kuunda faida hiyo haiwezekani!?
Usiongee kwa unachokijua wewe tu mzee.
 
Mie nimempa jamaa wazo,wakati ukisema hivyo wewe pale ofisi ya tume ya madini Morogoro kuna mwananyama kwa wiki anakata kibali cha kusafirisha dhahabu gram sio chini ya 200 kwenda Dar es Salaam.
Jiulize yeye anapataje!?
Umeshatembea migodi yote mpaka useme kuunda faida hiyo haiwezekani!?
Usiongee kwa unachokijua wewe tu mzee.
Narudia tena hakuna mgodi wowote unaweza nunua dhahabu kwa tofauti ya elf 57 na Bei iliyopo sokoni, hakuna mchimbaji yoyote atakukamulia dhahabu akuuzie wewe ukapate faida ya 57 kwa Kila gram!! Wewe unayekomaa leta mfano halisi wa Bei ya shimoni na Bei ya sokoni itofautiane 57k, sema ni mgodi huo
 
Kama unaweza ingia katika uchuuzo wa dhahabu,kwa 5m utapata gram 56 kwa 90k@ gram.

Ukienda sokoni gram moja ni 147k inamaana kwa gram 56 utatengeneza 8.08 milions ukitoa mtaji faida itakua 3.2 milions.

Kila wiki fanya safari moja migodini inamaana kwa mwezi utakua umetengeneza faida ya milion 7-8.5 ukitoa na gharama za usafiri na kodi.

Hapo 5milions itakua iko nje kama mtaji na utakua umetengeneza 7-8 millions kwa mwezi.

Kama utaweza uchuuzi wa madini ya dhahabu.
Hii ni njia rahisi ya jamaa kupoteza hela zake.
 
Hii ni njia rahisi ya jamaa kupoteza hela zake.
Ukiona mtu anakuita kwenye biashara ya kutengeneza milion 8 kwa mwezi kwa kutumia mtaji wa milioni 5, afu yeye hafanyi Hio biashara anakuambia anafanya ishu zingine kwa sasa, shtuka sana!!!
 
Mkuu kama unataka uelekezwe sema mimi nimefanya hiyo biashara na leseni ninayo,unachobisha wewe nini!?
Unataka kuelekezwa!?
Sema tukuelekeze.
Mkuu naomba utoe somo kidogo kwa faida ya wengine, yaani mchako mzima wa kupata leseni na jinsi ya kufanya uwekezaji huo kiujumla.
 
Kosugi unataka kuaminisha watu kua wewe umeacha Hio biashara ya kupata turnover ya milioni 96 kwa mwaka(milion 8 Kila mwezi) Kama faida, kwa kutumia milioni 5 tu kama mtaji unafanya ishu zingine kwa sasa?
 
Back
Top Bottom