Nina wanaume wawili na wote wanataka kunioa

Chai za idd wa Facebook kumbe jamii forum wa copy and paste wako wengi aiseee
 
Nakuusia Mimi mwana jf ya kwamba
Epuka kitu kinaitwa big difference kwenye relationship
Yan kwenu inaonekana hamna uwezo eti ukaolewe mwenye uwezo wa pesa my dear friend u will suffer
So jitahidi ku minimize hyo big difference nenda kwa mwamba hyo mwenye hali ya kawaida
 
Piga goti muombe Mungu akufunulie yupi wa kuoana naye husije ukaingia mahala pabaya sana omba pia funga juu ya ilo jambo lako muulize Mungu yeye ndo anachunguza mioyo kwa hiyo yeye ni mwaminifu atakufahamisha kwa ndoto ila omba yeye ndo msemaji mkuu akisema huyu hafai ni hafai kweli kweli kwa ushauri wa ndoa na mausiahano naomba unipm nitakuombea
 
Na akiaambiwa wote hawafai atakubali!? Maana Mungu yeye ndiyo anajua ukweli wote ule!!
 
Olewa na anaekuzidi miaka kumi huko mbele mtaendana tu maana mwanamke huwahi kuzeeka, kuhusu kipato kitapendeza huko mbele ana kheri aliye kwenye ajira kuliko anaetegemea wazazi utajuta mbeleni
 
Wanaume wawili na wote unawapa Mbususu...Wewe ni kamalaya
 
Hii story kama Ina ukweli Ina maana manzi anapigwa (Monday na Tuesday) Yan tuite ndo three some🤣

Kiufupi. Pumbafu Tatu Nampa Huyu binti afu bado hajajua anataka nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…