Moise Aimar
JF-Expert Member
- Sep 26, 2012
- 216
- 406
Ukioa bikra ukishaitoa tu anaweza anza kugawa tenaNdio maana siku zote uwa nasema MWANAUME KAMA UNATAKA KUOA OA BIKRA
Mwanamke nuksi aliongea na nyoka na mpaka leo hatujui aliongea nae nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukioa bikra ukishaitoa tu anaweza anza kugawa tenaNdio maana siku zote uwa nasema MWANAUME KAMA UNATAKA KUOA OA BIKRA
Bora huyo ambae amekuja mpya na Ganda lake kuliko huyo mtumba maana na yeye ataendelea kutumiwa hata ukiwa naeUkioa bikra ukishaitoa tu anaweza anza kugawa tena
Mwanamke nuksi aliongea na nyoka na mpaka leo hatujui aliongea nae nini
Atapata anachokitakaYaaani kama anatafuta kazini
Ukioa bikra ukishaitoa tu anaweza anza kugawa tena
Mwanamke nuksi aliongea na nyoka na mpaka leo hatujui aliongea nae
kumbe wewe ni binti
okSoma story vizuri itakua ni kama vile yeye ndo alikuwa anasimuliwa
Thinking maturity bado kidogo,tutakushauri ukikua au utakapotenganisha hisia,uhalisia na pesaNina wanaume wawili na wote wanataka kunioa. Labda nikufafanulie kidogo, kaka. Niko kwenye mahusiano na wanaume wawili: mmoja ni kijana kama mimi, ana miaka 27, na mimi nina miaka 24. Anaishi kwao, na baba yake ni mtu mwenye pesa sana, hivyo anampa kila kitu. Hata kufanya kazi hataki, kwani ameshapewa nyumba na mama yake na mama yake anataka sana niolewe na kijana wake.
Ameniahidi kuwa nikiolewa naye atanipa mtaji na kunifungulia biashara ili niisimamie. Huyu kaka sina mahusiano naye sana — ni mama yake tu aliyenipenda sana na akasema anataka niolewe na kijana wake. Alituunganisha na mwanaume huyu, naye alivutiwa na mimi, akaahidi kunipa kila kitu.
Mwanaume wa pili ni mtu mzima kidogo, ana miaka 34. Yeye ni mfanyakazi wa serikalini, na kipato chake ni cha kawaida tu. Anaishi maisha ya kawaida, hana nyumba ya kwake; amepanga, lakini anaishi vizuri. Tumekuwa kwenye mahusiano kwa miaka 3, na sasa anataka kuja kwetu kunioa.
Shida ni kwamba ndugu zangu hawataki kumsikia kabisa. Wanasema kuwa nikiolewa naye, watanitenga, yaani ni kama wanataka niokoe familia. Nampenda huyu mtu wangu, lakini nikifikiria maisha yake na mshahara wa laki 8, naona kama hatutaishi vizuri. Naomba unisaidie, kaka, nisije kufanya uamuzi mbaya!
Una wachumba wawili au una wanaume wawili?Nina wanaume wawili na wote wanataka kunioa. Labda nikufafanulie kidogo, kaka. Niko kwenye mahusiano na wanaume wawili: mmoja ni kijana kama mimi, ana miaka 27, na mimi nina miaka 24. Anaishi kwao, na baba yake ni mtu mwenye pesa sana, hivyo anampa kila kitu. Hata kufanya kazi hataki, kwani ameshapewa nyumba na mama yake na mama yake anataka sana niolewe na kijana wake.
Ameniahidi kuwa nikiolewa naye atanipa mtaji na kunifungulia biashara ili niisimamie. Huyu kaka sina mahusiano naye sana — ni mama yake tu aliyenipenda sana na akasema anataka niolewe na kijana wake. Alituunganisha na mwanaume huyu, naye alivutiwa na mimi, akaahidi kunipa kila kitu.
Mwanaume wa pili ni mtu mzima kidogo, ana miaka 34. Yeye ni mfanyakazi wa serikalini, na kipato chake ni cha kawaida tu. Anaishi maisha ya kawaida, hana nyumba ya kwake; amepanga, lakini anaishi vizuri. Tumekuwa kwenye mahusiano kwa miaka 3, na sasa anataka kuja kwetu kunioa.
Shida ni kwamba ndugu zangu hawataki kumsikia kabisa. Wanasema kuwa nikiolewa naye, watanitenga, yaani ni kama wanataka niokoe familia. Nampenda huyu mtu wangu, lakini nikifikiria maisha yake na mshahara wa laki 8, naona kama hatutaishi vizuri. Naomba unisaidie, kaka, nisije kufanya uamuzi mbaya!
you will get what you are finding...Another neck carrying an empty head...😶
We ndo unamfaa ili umkomoe vizuri.Mie jamani Nina hela ila mbahili so hakuna mwanamke atafurahi kuwa nami kwenye ndoa
Ataniwekea sumu kwa chakula Bure.We ndo unamfaa ili umkomoe vizuri.
Kumbe ndo maana yule jamaa alifikisha 400 akili zenu finyuuuuuNina wanaume wawili na wote wanataka kunioa. Labda nikufafanulie kidogo, kaka. Niko kwenye mahusiano na wanaume wawili: mmoja ni kijana kama mimi, ana miaka 27, na mimi nina miaka 24. Anaishi kwao, na baba yake ni mtu mwenye pesa sana, hivyo anampa kila kitu. Hata kufanya kazi hataki, kwani ameshapewa nyumba na mama yake na mama yake anataka sana niolewe na kijana wake.
Ameniahidi kuwa nikiolewa naye atanipa mtaji na kunifungulia biashara ili niisimamie. Huyu kaka sina mahusiano naye sana — ni mama yake tu aliyenipenda sana na akasema anataka niolewe na kijana wake. Alituunganisha na mwanaume huyu, naye alivutiwa na mimi, akaahidi kunipa kila kitu.
Mwanaume wa pili ni mtu mzima kidogo, ana miaka 34. Yeye ni mfanyakazi wa serikalini, na kipato chake ni cha kawaida tu. Anaishi maisha ya kawaida, hana nyumba ya kwake; amepanga, lakini anaishi vizuri. Tumekuwa kwenye mahusiano kwa miaka 3, na sasa anataka kuja kwetu kunioa.
Shida ni kwamba ndugu zangu hawataki kumsikia kabisa. Wanasema kuwa nikiolewa naye, watanitenga, yaani ni kama wanataka niokoe familia. Nampenda huyu mtu wangu, lakini nikifikiria maisha yake na mshahara wa laki 8, naona kama hatutaishi vizuri. Naomba unisaidie, kaka, nisije kufanya uamuzi mbaya!
Olewa na huyo mtu mzima,hivyo vitisho vya ndugu zako,visikusumbue hawaolewi wao unaolewa wewe,kuhusu mali na pesa mtatafuta woteNina wanaume wawili na wote wanataka kunioa. Labda nikufafanulie kidogo, kaka. Niko kwenye mahusiano na wanaume wawili: mmoja ni kijana kama mimi, ana miaka 27, na mimi nina miaka 24. Anaishi kwao, na baba yake ni mtu mwenye pesa sana, hivyo anampa kila kitu. Hata kufanya kazi hataki, kwani ameshapewa nyumba na mama yake na mama yake anataka sana niolewe na kijana wake.
Ameniahidi kuwa nikiolewa naye atanipa mtaji na kunifungulia biashara ili niisimamie. Huyu kaka sina mahusiano naye sana — ni mama yake tu aliyenipenda sana na akasema anataka niolewe na kijana wake. Alituunganisha na mwanaume huyu, naye alivutiwa na mimi, akaahidi kunipa kila kitu.
Mwanaume wa pili ni mtu mzima kidogo, ana miaka 34. Yeye ni mfanyakazi wa serikalini, na kipato chake ni cha kawaida tu. Anaishi maisha ya kawaida, hana nyumba ya kwake; amepanga, lakini anaishi vizuri. Tumekuwa kwenye mahusiano kwa miaka 3, na sasa anataka kuja kwetu kunioa.
Shida ni kwamba ndugu zangu hawataki kumsikia kabisa. Wanasema kuwa nikiolewa naye, watanitenga, yaani ni kama wanataka niokoe familia. Nampenda huyu mtu wangu, lakini nikifikiria maisha yake na mshahara wa laki 8, naona kama hatutaishi vizuri. Naomba unisaidie, kaka, nisije kufanya uamuzi mbaya!
Basi tumwache tu awe wa wote.Ataniwekea sumu kwa chakula Bure.
Huo huo mshahara wa 800k mkiutumia vizuri na maelewano yakawepo mbona mtatoboa tu...Nina wanaume wawili na wote wanataka kunioa. Labda nikufafanulie kidogo, kaka. Niko kwenye mahusiano na wanaume wawili: mmoja ni kijana kama mimi, ana miaka 27, na mimi nina miaka 24. Anaishi kwao, na baba yake ni mtu mwenye pesa sana, hivyo anampa kila kitu. Hata kufanya kazi hataki, kwani ameshapewa nyumba na mama yake na mama yake anataka sana niolewe na kijana wake.
Ameniahidi kuwa nikiolewa naye atanipa mtaji na kunifungulia biashara ili niisimamie. Huyu kaka sina mahusiano naye sana — ni mama yake tu aliyenipenda sana na akasema anataka niolewe na kijana wake. Alituunganisha na mwanaume huyu, naye alivutiwa na mimi, akaahidi kunipa kila kitu.
Mwanaume wa pili ni mtu mzima kidogo, ana miaka 34. Yeye ni mfanyakazi wa serikalini, na kipato chake ni cha kawaida tu. Anaishi maisha ya kawaida, hana nyumba ya kwake; amepanga, lakini anaishi vizuri. Tumekuwa kwenye mahusiano kwa miaka 3, na sasa anataka kuja kwetu kunioa.
Shida ni kwamba ndugu zangu hawataki kumsikia kabisa. Wanasema kuwa nikiolewa naye, watanitenga, yaani ni kama wanataka niokoe familia. Nampenda huyu mtu wangu, lakini nikifikiria maisha yake na mshahara wa laki 8, naona kama hatutaishi vizuri. Naomba unisaidie, kaka, nisije kufanya uamuzi mbaya!
😂😂😂HII STYLE YA WANAUME KUJIFANYA WANAWAKE INAWASAIDIA NINI?