Ninahama CRDB; ni benki gani inayoweza kuwa mbadala bora kwa Dar es Salaam?

Hata wakati wa Kimei ilikuwa hovyo tu. Tena ilivyoanza pata tenda za serikali kama nmb ndo ikafia huko.
 
Wanakata mpaka kuangalia salio kwa ATM!! Mi naomba makampuni ya simu yangewakata watu wa benki muda wa maongezi kila wanapotizama salio ili wajue uchungu wake.
Nimeamua sasa kuachana CRDB bank kutokana na makato yasiokuwa na Tija yoyote.
 
Equity bank nawakubali kuliko bank zote nchini...naomba tu waongeze matawi na atm ziwe nyingi...wataisoma namba inavoshuka wao watapitisha mishahara lkn hawatakuw na saving ya mtu ..
Tunaomba . ATM Mbezi mwisho
 
Mbona mimi sijawah kuomba ku activate kadi zangu za CRDB na mara zote uwa nazitumia kulipia vitu online.
 
Hahaa, unakuta mtu akishapata mshara wake akitoa matumizi yake yote balance inabaki 50K, nae anakuambia anasave.
Miaka nenda rudi account haijawai gusa 2M
Unataka kumaanisha nini mkuu? Wengi mshahara ukitoka akaunti inasafishwa inabaki na negative au frequency za FM radio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…