Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,265
- 201,451
Kwahiyo hapa jamaa akubali kuwa chini?Kaa na mwenzio muyazungumze ,umepaniki mapema sana .Hakuna mahusiano yasiyo na changamoto na ukiona yamedumu ujue kuna mmoja amekubali kuwa chini .
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Huyu aliyeko huku angetafuta pengine na kusepa mazima ingekuwa sadi sana... Changamoto is anaweza kutafuta pengine na bado akabaki kwako---Anaenda kupigisha huko na kurudi ndani kwakoYap tukiongelea ndoa tukaona haieleweki tunatafuta pengine
Poor mindset. Kwani ni lazima jamaa awe na huyo mwanamke.. si amuache aende zakeBonge la point funga biashara zote ulizomfungulia. Usimsomeshe tena mpaka mtakapofunga ndoa kama ikitokea.
Kill her financially and academically
Mchunguze basi ,ukijihakikishia kuwa anachepuka muache aendelee na mambo yakeKumuamini mtu ni process na hata hivyo sikupata muda zaidi ya miezi mi 3 kuishi nae...
SawaMchunguze basi ,ukijihakikishia kuwa anachepuka muache aendelee na mambo yake
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Wewe unaona ni sawa anavyofanya?How?why amfanyie hivo mtoto wa watu?siyo utu
Kill her financially. She will come back home
Bonge la point funga biashara zote ulizomfungulia. Usimsomeshe tena mpaka mtakapofunga ndoa kama ikitokea.
Kill her financially and academically
Nimekuelewa chiefhuyo mwanamke hashindwi kukuwekea sumu ufe il akainjoy na uyo mpumbav mwenzake, kama kaweza kukuchit akiwa na mtot mdogo hivyoz jiulize kipnd hana mtoto je? ama mtot akiwa mkubwa je? , uaminifu =0 hapo jombaa.
humu kila siku watu wanaleta mathread ya kutoshirikiana na wanawake ambao si wake kufanya maendeleo na kuwawezesha, lkn ninyi hamsikii, yakiwakuta ndyo mnarudi humu tena mkilia lia kutaka msaada.
kuwa mwanaume mwenye maamuzi na msimamo mkali, mueleze ukwel kuwa kama kapata mtu, bas wacha waendelee wew utamsaidia tu kulea mtoto, and take your time, find more money then catch the cute girl with smart behaviour na umuoe ukiona muda ushafika, acha tamaa za kumng'ang'ania mtu mwenye meno32 ambaye hujui moyon mwake anawaza kitu gani.
hiz tabia za kumganda ganda mtoto wawatu kama ruba hiz ndzo znasababisha hawa wanawake wanapandisha dharau na matendo ya mauwaji ktk mapenzi hayakomi sabbu ya kuendekeza upumbv wa kugandana gandana kama kupe, jifunze kumuacha aende, acha ujinga bro, huyo atakutesa sana ukimuweka ndani.
mark hii koment yangu, ipo siku utarud humu ukimlaani na , kuomba ushaur, lkn will be too late... fanya maamuzi sasa, mwanamke msaliti ktk mapenz yaliyofikia level yenu huyo ni sawa na mchawi anaeloga boti izame majini ilihali nayeye yumo ndani ya iyo boti,.mfuate mpe last warning, akishindwa fukuza huyo hakufai...
penzi bado laendelea aseeKumbuka mna mtoto ohoo... muoe weka ndani
huyo mwanamke hashindwi kukuwekea sumu ufe il akainjoy na uyo mpumbav mwenzake, kama kaweza kukuchit akiwa na mtot mdogo hivyoz jiulize kipnd hana mtoto je? ama mtot akiwa mkubwa je? , uaminifu =0 hapo jombaa.
humu kila siku watu wanaleta mathread ya kutoshirikiana na wanawake ambao si wake kufanya maendeleo na kuwawezesha, lkn ninyi hamsikii, yakiwakuta ndyo mnarudi humu tena mkilia lia kutaka msaada.
kuwa mwanaume mwenye maamuzi na msimamo mkali, mueleze ukwel kuwa kama kapata mtu, bas wacha waendelee wew utamsaidia tu kulea mtoto, and take your time, find more money then catch the cute girl with smart behaviour na umuoe ukiona muda ushafika, acha tamaa za kumng'ang'ania mtu mwenye meno32 ambaye hujui moyon mwake anawaza kitu gani.
hiz tabia za kumganda ganda mtoto wawatu kama ruba hiz ndzo znasababisha hawa wanawake wanapandisha dharau na matendo ya mauwaji ktk mapenzi hayakomi sabbu ya kuendekeza upumbv wa kugandana gandana kama kupe, jifunze kumuacha aende, acha ujinga bro, huyo atakutesa sana ukimuweka ndani.
mark hii koment yangu, ipo siku utarud humu ukimlaani na , kuomba ushaur, lkn will be too late... fanya maamuzi sasa, mwanamke msaliti ktk mapenz yaliyofikia level yenu huyo ni sawa na mchawi anaeloga boti izame majini ilihali nayeye yumo ndani ya iyo boti,.mfuate mpe last warning, akishindwa fukuza huyo hakufai...
Nimekuelewa chief
Hisia zinaumiza zaidi
Kabisa afadhali awe na uhakikaUnawezajikuta unatumia nguvu nyingi sehemu ambayo ulihitaji akili kidogo tuu
Penzi lipi tenapenzi bado laendelea asee
Wala mimi sina roho mbayaMtoa riziki ni Mungu; na Mungu sio Athumani
Ila Una roho mbaya sana Bingwa Mara 4 kha!
Huna haja ya kufanya yote hayo funzadume inawezekana rizki yako imeishia hapo. Mwache aende upokee mwingine
Wanawake na wazazi wenye watoto wa kike tumewaelewa
Bado tu huamini kama analiwa.Mimi Sisyphus leo, nimeliona joto la jiwe ... mtu nilimuamini ameanza rasmi kuonyesha MAKUCHA yake ... ni miaka minne sasa niko na huyo mwanamke, ni muda mrefu sasa mwenzangu alikua anaomba ndoa mara nyingi sana..nimejaribu kumuelewesha asubiri tujipange kwanza (na najipanga kweli sio uhuni) .. maana tushamleta na mtu duniani, naona sasa muda wa uvimilivu wake umaenza kufika kikomo ....
Story inaanzia kati, leo alienda kutafuta chumba mana kuna short course alikua anataka kusomea kwahiyi ikambidi akatafute chumba sasa amefika dalali akamwambia asubiri mama mwenye nyumba arudi kwahiyo itambidi akae masaa matatu kumsubiri... akanipa taarifa mimi nikaona hakuna logic ya kumsubirisha mana anakoishi(siishinae) amecha mtoto ( 1.9 year) basi bwana nikampigia dalali , dalali akaanza kuropoka “ ooh bro msiondoke mana mkiondoka hiki chumba mtakikosa” ... la haula ikabidi ni muulize nisiondoke na nani, akajibu “ we si yule jamaa mumewe ambae uko nae” bila kufikiri mara mbili nikajibu hapana mimi ni mumewe ila sipo huko.
Dalali akaanza kuuma uma maneno mwisho akasema aaah basi ngoja kidogo nitaku-check ... nikamuambia embu subiri nipe maelezo kidogo huyo mwanamama amekuja na nani? ... kwa sababu alishaanza ikabidi aseme amekuja na jamaa akamtambulisha ni mumewe ( mimi nilipo ikabidi nikae chini kwanza ) ... lakini dalali akaendelea itakua basi boda... nikamwambia sawa fatilia hilo swala la mama mwenye nyumba kwanza.
Nikatulia kwanza alafu nikamtafuta vipi mwenzangu leo umeenda na nani? Mara ooh sijaenda na mtu mara oohh ni boda ndiye niliyemtambulisha mume wangu ... kwa kifupi taarifa aliyonipa dalali ni kwamba walienda wawili na aliwaacha wawili ukiacha boda.
Ikanibidi nimuulize vizuri boda ndio unamtambulisha mumeo ,? ( ...ghafla akaanza ule mchezo wao anakurudishia maswali kwani wewe huniamiani blah blah).
Baada ya haya ikabidi nianze ku-analyse wapi nilikosa umakini mpka nikashindwa kuona hili kwa hupitia uwezo wa roho mt. nikaanza kuona vingi nilivyokua sitilii maananini kwanza AMEACHA KUSISITIZIA NDOA , pili amepunguza wivu na anakaribia kuacha kabisa , tatu amekua na majibu ya mkato na kujifanya anajiamini( now days ana-vihela mana kuna-business nilimpa akaweza ku-make kwa kipindi kifupi).
Nne .. kuna mambo anayafanya mwenyewe mwenyewe na hua tunashirikishana kila kitu ila nimeanza kuona gap upande wa pili
NB: huyu mwana-mama nimefanya nae vitu vingi sana hata kipindi na mpiga tarehe anafaham hasa nini nilikua nafanya, nilivyofanya na naendelea kufanya . MAAZIMIO shetani amenijia na ujumbe wa kumpiga chini mapema maana nilivyokua nafanya nafanya kwa ajili yetu sote isingekua hivyo mi ningeenda zangu SHULE KITAAMBO nikabukue zangu masters ya masimulizi...
WAJAMENI ...nipeni ushauri mana shetani ananizonga na mawazo yake... ni chukue hatua gani easy way , hard way Au mixing