Ninahisi mpenzi wangu ana mwanaume mwingine

bila shaka wew hujakutana na matatizo, ndyomaana unarahisisha tu, pia wew ni mwanamke that's why huelewi matatizo yanayowakumba wanaume, pale mnapozngua, kuish kwa akil na mwanamke mojawapo ni kumuacha aende, ili kila mtu abaki na amani...WAJINGA HUANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA
 
Wanawake mnajitahidi kuteteana kwenye huu uzi
Mkuu wadada wengi nowdays ni akili kisoda[emoji16] hata huyo wa jina la mama D unaona hapo kama anaongea vitu vya maana kumbe behind her back ni pimbi tu.

Inshort wadada wa sasa wote ni mapimbi.

Ushauri kwa braza....
Ukipata ushahidi alicheat zaba vibao atakuja kuelewa baadae(hawa inabidi sometime tuwatreat kama watoto maana akili zao visoda) ila akikaza shingo piga chini wadada siku hizi ni kama chai tu[emoji16][emoji16]
 
mpaka kufikia hapo piga chini huyo mwanamke huyo sio mwanamke wa kufanya nae maisha, cha pili mshukuru sana dalali amekustuwa mapema.
 
Yap tukiongelea ndoa tukaona haieleweki tunatafuta pengine
NB: huyu mwana-mama nimefanya nae vitu vingi sana hata kipindi na mpiga tarehe anafaham hasa nini nilikua nafanya, nilivyofanya na naendelea kufanya .
Ukiisoma hiyo statement btn the line utaona sio kwamba jamaa haeleweki kuhusu ndoa ila anatengeneza mazingira hata wakiingia kwenye ndoa wawe wako sawa. Shida huyu mwanamke anatamani harusi sio ndoa maana kwa kufikia hapo mpaka wana mtoto mwenye zaidi ya mwaka tayari hiyo ni ndoa
 
Umepiga kisu kwenye mfupa
 
Bro acha tu yani swala la ndoa alianza kulizungumzia miezi mitatu tu tangu tukutane ...
 
Ila we jamaa ulofungua thread nikuulize swali, huyo mkeo unamuogopa?
Nijibu kwanza.
 
Four years later, tena after kumzalisha ndo unakuja kutuuliza silly questions?

I hope she finds a man who prima facie knows that she is definitely the one and makes her his wife.

Wewe endelea kutafuta anaeaminika.
Unadhani ndoa ni ya kufanyia majaribio? Kwani kuzaa watoto ndio nini? Yaani niteseke na ndoa kwa kuona mke wangu analiwa nje kisa watoto? Wanaume lazima tujue tabia kwanza tujiridhishe
 
Wanaume tu wabinasfi sana:

1. Miaka 4 ya mahusiano.
2. Umemzalisha - anaweza asiwe wako.
3. Amedai ndoa sana.
4. Ameenda tafuta chumba mwenyewe!

Yeye mwanamke angoja tu utakuja muoa? Kweli? Kweli? Hana kosa huyo mwanamke hata Kama analiwa!
Bado haviwezi kuwa kigezo cha kuliwa nje! Ndoa sio majaribio!
 
Ndoa sio majaribio! Hakuna mwanaume yupo tayari kuoa tabia chafu!
 
Kumbuka mna mtoto ohoo... muoe weka ndani
USIMDANGANYE.


JAMAA UAITHUBUTU KUMUOA HUYO DEMU ET KISA UMRIDHISHE.

USIMUOE ET KISA MMEZAA NAYE MTOTO


ACHA MARA MOJA.


POTEZEAA.

MAADAM KESHAKUPA MTOTO.....NIAMIN ATAKUJA SIKU MOJA AKILIA NA KUKUBEMBELEZA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Piga chini malaya huyo mkuu....Demu usipokua na imani nae wakati wa uchumba usimuoe,nasisitiza USIMUOE!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…