Ninajua kila mtu anajua kinachoendelea kule Los Angeles ila sijui ni wangapi wanajua chanzo cha ule moto unaouangamiza mji wa uzuri wa Dunia

Ninajua kila mtu anajua kinachoendelea kule Los Angeles ila sijui ni wangapi wanajua chanzo cha ule moto unaouangamiza mji wa uzuri wa Dunia

Sasa hivi wanafyeka mahekta ya misitu kwa kuyang'oa na kuchimba kimo kirefu kwenda chini ili moto ukifika usivuke mbele lakini kinachotokea ni kwamba kila wakichimba moto ukifika kwenye mtaro waliouwekea mpaka inatokea cheche moja inapaa angani inavuka mpaka inashukia ghorofa linaambukiza miti na ghorofa nyingine mji unaangamia
 
Mungu gani? Kusemasema tu "Mungu" bila ya kum define hakuna maana yoyote.

Kuhusu Mungu mjuzi wa yote, mwwnye uwezo wote na uoendo wote,Mungu huyo, kwa sifa zake hizo, hatakiwi kuunguza nyumba hata moja, sembuse zote hizi.

Moto huu unaonesha Mungu huyo hayupo, hauoneshi Mungu huyo yupo.
This ix obviously confused
 
Ilikuwa hivi:

Kulikuwa na event ya super stars🌟 ktk mji wa Los Angeles,
Wakiwa katikati ya sherehe wakaanzisha mchezo wa kupiga kura kwa watu wenye thamani ktk jamii yao,

Majina yaliyoorodheshwa ni 1.Cast&Crew(wacheza filamu wa Hollywood na washiriki)
2.thamani ya mama ,
3.Lopez
4.MUNGU.

Ktk matokeo ya uchaguzi wao matokeo yalikuwa hivi:
Cast&Crew= kura 11
Thamani ya mama=Kura 3
Lopez =Kura 1
MUNGU=walimpa kura 0,

Msimamizi wa uchaguzi akasema matokeo hayo hayashangazi kwani mji wao ni Godless town,
Walipotoka nje wakatengeneza bango kubwa lenye maandishi "God get out in this city"
kesho yake ndo mji ukaanza kulipuka,
Ukumbuke msitu wa Amazon ulioko Brazil ambao ndio msitu mkubwa zaidi duniani ulipoungua miaka 4 iliyopita ni Marekani ndiyo iliyosaidia kuuzima lkn huu wa kwao umewashinda.
Marekani ndiye baba wa technology ulimwenguni,ukizungumza Helocopter,ndege,kemikali na kila sayansi unaizungumzia Marekani

Sasa hivi wanafyeka mahekta ya misitu kwa kuyang'oa na kuchimba kimo kirefu kwenda chini ili moto ukifika usivuke mbele lakini kinachotokea ni kwamba kila wakichimba moto ukifika kwenye mtaro waliouwekea mpaka inatokea cheche moja inapaa angani inavuka mpaka inashukia ghorofa linaambukiza miti na ghorofa nyingine mji unaangamia

Mamia ya ndege na helcopter za zimamoto ziko angani Calfornia zikimwaga kemikali za kuzima moto lkn moto umegoma kuzimika, hakuna matumaini, majumba ya wasanii mabilionea wa Holly Wood yanaangamia

Holly Wood ndiko kuna makazi ya thamani kuliko miji yote ulimwenguni, kidunia Hollywood inatambuliwa kama makao makuu ya uzur wa dunia lkn saa hii panaelekea kuwa jangwa gumu, wafuatiliaji wa sinema za Hollywood mlioko humu jiji lenu/mazingira yenu pendwa ya Hollywood linaangamia,

Ule moto hautozimwa na technology,
Utazimwa na Toba ya makuhani,

Nimeyasema haya ili kutoa tahadhari tujiweke mbali na vikundi vyenye mizaha juu ya MUNGU MKUU, ukiona kiashiria chochote cha mzaha kwa BWANA kemea kwa nguvu, wasipokuelewa kata connection na hicho kikundi hata kama kina maslahi makubwa kiasi gani,

BWANA MUNGU hadhihakiwi!View attachment 3205068
Kiranga uliza swali ujibiwe na Mshana Jr
 
Kwa hivyo huyo Mungu ana endeshwa kwa emotions na feelings?

Akiona anadhihakiwa anapandisha hasira kulipiza kisasi kwa viumbe wake mwenyewe.

Akiona anatukuzwa na kuabudiwa ndio anafurahi.

Basi huyo Mungu hana tofauti na wanadamu maana ana endeshwa kwa mihemko ya kihisia.
 
Mungu ndiye Mkuu wa Vyote.
Mungu mkuu wa vyote, Kwa nini anapata mihemko ya hasira kwa viumbe wake mwenyewe alio waumba?

Kama huyo Mungu alikuwa anajua hapaswi kudhihakiwa, Kwa nini aliumba binadamu wenye uwezo wa kumdhihaki?

Kama huyo Mungu alikuwa anajua hapaswi kudhihakiwa, Alishindwaje kuumba binadamu wema tu watakao mtii na kumtukuza siku zote na wakati wote?

Mungu gani ana endeshwa kwa mihemko ya kihisia?

Akidhihakiwa anapandisha hasira, Akitukuzwa anafurahi.

Sasa huyo Mungu ana tofauti gani na binadamu?
 
Nabii wa wawasabato nae alishaona
Chicago na Los Angeles

Matukio ambayo yangetukia hivi karibuni huko Chicago na miji mingine mikubwa pia yalipita mbele yangu. Uovu ulipoongezeka na uwezo wa kulinda wa Mungu ulipoondolewa kulikuwa na pepo za uharibifu na tufani. Majengo yaliharibiwa kwa moto na kutikiswa na matetemeko ya ardhi....

Muda fulani baada ya haya nilionyeshwa kwamba maono ya majengo huko Chicago na rasimu ya njia za watu wetu kuzisimamisha, na uharibifu wake, ilikuwa somo la kitu kwa watu wetu, likiwaonya wasiwekeze kwa kiasi kikubwa mali zao katika mali. katika Chicago, au jiji lingine lolote, isipokuwa majaliwa ya Mungu yafungue njia kwa hakika na kuonyesha waziwazi wajibu wa kujenga au kununua inapobidi katika kutoa maelezo ya onyo. Tahadhari kama hiyo ilitolewa kuhusu ujenzi huko Los Angeles. Mara kwa mara nimeagizwa kwamba hatupaswi kuwekeza njia katika ujenzi wa majengo ya gharama kubwa katika miji-Mkusanyiko wa Paulson wa Ellen G. White Letters, 50 (1906).
 
Nilitamani Moto huo Uchome kila Kitu Hapo
Hizi ni chuki zako na mihemko yako binafsi kwa taifa la Marekani.

Halafu nyienyie ndio wa kwanza kupenda iPhones zao.

Na hata teknolojia unayoitumia sasa hivi imetoka kwa mmarekani Huyo huyo.

Kwanzia Google unayotumia, WhatsApp unayotumia, Instagram, Facebook, You tube n.k. Vyote ni vya mmarekani.

Ninyi pamoja na hizo imani zenu za Mungu, miungu, shetani, uchawi na ushirikina hakuna lolote mlilofanya kuleta maendeleo makubwa duniani.

Mmebaki na husda na chuki kwa wamarekani.
 
Hao washenzi wamelaaniwa aisee.

Ila upinde kwa namna fulani ni tatizo la akili
 
Back
Top Bottom