Ninajua kila mtu anajua kinachoendelea kule Los Angeles ila sijui ni wangapi wanajua chanzo cha ule moto unaouangamiza mji wa uzuri wa Dunia

Ninajua kila mtu anajua kinachoendelea kule Los Angeles ila sijui ni wangapi wanajua chanzo cha ule moto unaouangamiza mji wa uzuri wa Dunia

Kwa mara nyingine
Mungu gani? Kusemasema tu "Mungu" bila ya kum define hakuna maana yoyote.

Kuhusu Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote,Mungu huyo, kwa sifa zake hizo, hatakiwi kuunguza nyumba hata moja, sembuse zote hizi.

Moto huu unaonesha Mungu huyo hayupo, hauoneshi Mungu huyo yupo.
 
Ilikuwa hivi:

Kulikuwa na event ya super stars🌟 ktk mji wa Los Angeles,
Wakiwa katikati ya sherehe wakaanzisha mchezo wa kupiga kura kwa watu wenye thamani ktk jamii yao,

Majina yaliyoorodheshwa ni 1.Cast&Crew(wacheza filamu wa Hollywood na washiriki)
2.thamani ya mama ,
3.Lopez
4.MUNGU.

Ktk matokeo ya uchaguzi wao matokeo yalikuwa hivi:
Cast&Crew= kura 11
Thamani ya mama=Kura 3
Lopez =Kura 1
MUNGU=walimpa kura 0,

Msimamizi wa uchaguzi akasema matokeo hayo hayashangazi kwani mji wao ni Godless town,
Walipotoka nje wakatengeneza bango kubwa lenye maandishi "God get out in this city"
kesho yake ndo mji ukaanza kulipuka,
Ukumbuke msitu wa Amazon ulioko Brazil ambao ndio msitu mkubwa zaidi duniani ulipoungua miaka 4 iliyopita ni Marekani ndiyo iliyosaidia kuuzima lkn huu wa kwao umewashinda.
Marekani ndiye baba wa technology ulimwenguni,ukizungumza Helocopter,ndege,kemikali na kila sayansi unaizungumzia Marekani

Sasa hivi wanafyeka mahekta ya misitu kwa kuyang'oa na kuchimba kimo kirefu kwenda chini ili moto ukifika usivuke mbele lakini kinachotokea ni kwamba kila wakichimba moto ukifika kwenye mtaro waliouwekea mpaka inatokea cheche moja inapaa angani inavuka mpaka inashukia ghorofa linaambukiza miti na ghorofa nyingine mji unaangamia

Mamia ya ndege na helcopter za zimamoto ziko angani Calfornia zikimwaga kemikali za kuzima moto lkn moto umegoma kuzimika, hakuna matumaini, majumba ya wasanii mabilionea wa Holly Wood yanaangamia

Holly Wood ndiko kuna makazi ya thamani kuliko miji yote ulimwenguni, kidunia Hollywood inatambuliwa kama makao makuu ya uzur wa dunia lkn saa hii panaelekea kuwa jangwa gumu, wafuatiliaji wa sinema za Hollywood mlioko humu jiji lenu/mazingira yenu pendwa ya Hollywood linaangamia,

Ule moto hautozimwa na technology,
Utazimwa na Toba ya makuhani,

Nimeyasema haya ili kutoa tahadhari tujiweke mbali na vikundi vyenye mizaha juu ya MUNGU MKUU, ukiona kiashiria chochote cha mzaha kwa BWANA kemea kwa nguvu, wasipokuelewa kata connection na hicho kikundi hata kama kina maslahi makubwa kiasi gani,

BWANA MUNGU hadhihakiwi!View attachment 3205068

Pamoja na kwamba wanaabudu shetani lakini hawakujua kwamba Mungu aliyewaumba ndo anasababisha wapumue
 
Mungu gani? Kusemasema tu "Mungu" bila ya kum define hakuna maana yoyote.

Kuhusu Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote,Mungu huyo, kwa sifa zake hizo, hatakiwi kuunguza nyumba hata moja, sembuse zote hizi.

Moto huu unaonesha Mungu huyo hayupo, hauoneshi Mungu huyo yupo.
Aya bro Mshana Jr thibitisha hoja Yako
 
Hii Thinking ya Mshana ni ya Ovyo sana, Hata members wengi wanaochangia Pia nashaka na Uwezo wao wa Kufikiria
Watu wanajibu kutokana na imani zao za kidini wala hawafikirii na kujibu kwa logic na reasoning.

Halafu watu hawahawa ndio wana amini Mungu ni roho.

Sasa hiyo roho ya Mungu inaendeshwa kwa mihemko ya kihisia kama binadamu.

Huyo Mungu akidhihakiwa anapandisha hasira kama binadamu. Halafu analipiza kisasi.

Halafu tena Mungu huyohuyo Akitukuzwa anafurahi kama binadamu...😄😄

Inaonekana huyo Mungu anapenda kiki na misifa ya kutukuzwa na kuogopwa kama viongozi wa serikali.
 
Kwa hivyo huyo Mungu ana endeshwa kwa emotions na feelings?

Akiona anadhihakiwa anapandisha hasira kulipiza kisasi kwa viumbe wake mwenyewe.

Akiona anatukuzwa na kuabudiwa ndio anafurahi.

Basi huyo Mungu hana tofauti na wanadamu maana ana endeshwa kwa mihemko ya kihisia.
You sound stupid
 
That comment has translated ur brain the way yo think

U are distracted.
You are making a claim without valid evidence presented in a logical manner to substantiate it.

At this point, it sounds like you see sonething you don't like in what I write and lazily brandish an ad hominem attack, a logical fallacy.

An ad hom8nem attack happens when one does nit address tge points raised, but focuses in attacking the oerson raising the points.

Discuss the points I raised, nit me.

An all knowing, all loving and all capabke God would never burn even one house. Such a Gid would nit allow any house to burn, let alone so many.

Build a logically coherent case against that argument, if you even know what a logically coherent case is.
 
Watu wanajibu kutokana na imani zao za kidini wala hawafikirii na kujibu kwa logic na reasoning.

Halafu watu hawahawa ndio wana amini Mungu ni roho.

Sasa hiyo roho ya Mungu inaendeshwa kwa mihemko ya kihisia kama binadamu.

Huyo Mungu akidhihakiwa anapandisha hasira kama binadamu. Halafu analipiza kisasi.

Halafu tena Mungu huyohuyo Akitukuzwa anafurahi kama binadamu...😄😄

Inaonekana huyo Mungu anapenda kiki na misifa ya kutukuzwa na kuogopwa kama viongozi wa serikali.

Aisee
 
Back
Top Bottom