MAKANGEMBUZI
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 2,670
- 7,655
Asikutongoze tu mama ake mana hawachelewi hawa vijana.Amina[emoji120]
Kwahiyo mm nakuzaa huku nakimbia π€£π€£π€£Duuh 2007 nilikuwa na miaka 4 longtime sana
Umeona kaziiii hiyo.... π€£π€£π€£ unaanza kutamani mama zakoWapi ww chamdeko una miaka mingapi kwani tuanzie hapo kwanza π π π π
ππππ Unajua navyokupendaga lkn ulivyotulia π¬π¬π¬π€π€π€π€π€
π π π π π π Samahani lkn sikujua kama unaweza kunizaaaUmeona kaziiii hiyo.... π€£π€£π€£ unaanza kutamani mama zako
Usijalii...ππππ π π π π π Samahani lkn sikujua kama unaweza kunizaaa
Si hizi fake id zinaficha mengi βΊοΈβΊοΈβΊοΈβΊοΈβΊοΈ. Ila nakutaniaga tu usi mind hivyo
Mamiiiii πππ¬π¬π¬π¬π¬π¬π¬
Mjukuu wangu hujambo?Usijalii...πππ
Mkongwe mwenzangu,tangu enzi za Jambo forum upoo!!!Karibu sana
Mimi ni sebuleni tangu mwaka 2007 nilipojiunga baada ya kuisoma tangu ulipoanza 2006. Ila kwa mida najipangia sio 24/7.
Sijambo...Mjukuu wangu hujambo?
Usingizi umegoma ama? π³
Mtandao umebaki makombo,nyama zote zilishaliwa huko nyumaHujachelewa ndo kwanza kunakucha
π€£π€£π€£π€£
Umeamua kunizeesha π wakati sijazeeka hata sijakaribia π
kabisa aisee.Kweli mkuuu yaani huu mtandao nashangaa ni mtamu kuliko hata ig huchoki yaani asee