bin haroub
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,662
- 812
Hamuuzwi wala hamtouzwa kinachofanyika ni kuboreshewa tu hizo Bandari zenuHaya mkuu, ni wakati wenu ila msituuze utumwani kama mlivyofanya kwa miaka 500. Umaarufu wa Zanzibar unatokana na damu za Wabara. Soko bidhaa ikiwa ni wabara.
Katiba yenu nyinyi watanganyika ni hiyo hiyo katiba ya MuunganoIla katiba ipo kimya kuhusu kiiongozi wa,Tanganyika na rasimali za Tqnganyika kama mbuga za wanyama.
Zanzibar ina katiba yao. Katiba mpya ni muhimu.
You taken the piss innit?Musijali mutabakishiwa Bandari kavu
Facts are stubborn things. Tanzania ni nchi moja ya JMT yenye uraia mmoja, na raia wote wana haki sawa ndani ya JMT.Mkuu unachosema ni sehemu tu ya jibu kubwa na ni majibu hayo ya mkato ndiyo yanaleta tatizo
Yes muundo wa muungano wetu adhimu unaruhusu. Muungano wetu ni muungano very unique, kwa upande mmoja ni muungano wa nchi mbili zimeungana kwa union kuunda nchi moja ya JMT yenye uraia mmoja, rais mmoja na Amiri jeshi Mkuu mmoja.Ni kweli, kwa kuangalia Uraia wa Tanzania ni mmoja. Swali la kujiuliza je muundo wa nchi unatoa nafasi hiyo?
Uraia ni mmoja, ila sehemu nyingine ina ukaazi besides uraia!.Je muundo wa nchi uliVyo unajenga hoja ya Uraia wa nchi moja?
Yes ndivyo, ilivyo.Kama Raia wa sehemu moja ana haki sehemu nyingine, je, hivyo ndivyo ilivyo?
Ujinga wao ni kujidhania raia wa upande mmoja, wana haki zaidi kuliko raia wa upande wa pili.Hao unaoita wajinga ni kwasababu tu unachukua mstari mmoja, unashindwa kuangalia ujinga wao upo wapi.
KaribuNadhani mimi ni mmoja wa hao Wajinga, naomba tuwe na mjadala unisaidie kwa elimu. Nitarajea baada ya muda
Kauli hii inaonyesha dhahili ilivyo ngumu kwa mmatumbi kutoka Tanzania bara kushiriki iwe kwa mawazo au kwa vitendo katika masuala ya uwekezaji huko visiwani zanzibar (haiwezekaniki)[emoji419][emoji375]Nimefuatilia mjadala ulioandaliwa na serikali leo.
Msemaji mmoja mwenye mlengo wa kiserikali alisema na naomba nimnukuu
"Kasomeni katiba masuala ya viwanda na uwekezaji sio miongoni mwa mambo ya muungano" mwisho wa kumnukuu.
Kauli hii inaonyesha dhahili ilivyo ngumu kwa mmatumbi kutoka Tanzania bara kushiriki iwe kwa mawazo au kwa vitendo katika masuala ya uwekezaji huko visiwani zanzibar (haiwezekaniki)
Hii ni kwakuwa wazanzibari wameweka usimamizi mzuri kwenye mambo yasiyo ya muungano.
Je, inakuweje kwa upande wetu
Mzanzibari akawa kinara kwenye maamuzi ya mambo yasiyo ya muungano?
Je, hili ni jambo lisilo na ulakini mbele ya sheria?
Mkuu haki za Watañgayika ziko sàwa na haki wazinbari.Facts are stubborn things. Tanzania ni nchi moja ya JMT yenye uraia mmoja, na raia wote wana haki sawa ndani ya JMT.
Yes muundo wa muungano wetu adhimu unaruhusu. Muungano wetu ni muungano very unique, kwa upande mmoja ni muungano wa nchi mbili zimeungana kwa union kuunda nchi moja ya JMT yenye uraia mmoja, rais mmoja na Amiri jeshi Mkuu mmoja.
Ndani ya muungano, muungano wetu ni federation ya nchi mbili, Tanzania bara na Tanzania Visiwani au Tanzania Zanzibar, zenye marais wawili. Sehemu moja ni cha wote, sehemu nyingine ni kwa wenye kitambulisho cha ukaazi.
Uraia ni mmoja, ila sehemu nyingine ina ukaazi besides uraia!.
Yes ndivyo, ilivyo.
Ujinga wao ni kujidhania rai upande mmoja, wana haki zaidi kuliko raia wa upande wa pili.
Karibu
P
P, duh. vipi mwenzangu. Mbona una uchungu kiasi hicho. Kweli wengi wetu humu JF hatufundishiki au unafiki umetamalaki au njaa imezidiUjinga ni kutokujua, ignorance na mjinga ni asiyejua, yaani ni ignorant. Mjinga akifundishwa na kufundishika, ujinga unamtoka, anakuwa sio mjinga tena unakuwa mwerevu, unaerevuka.
Mjinga hata baada ya kufundishwa, na bado akawa ni mjinga, huyo ni mpumbavu!, foolish!. Mpumbavu ni mjinga asiyefundishika!.
Tuko wana jf kibao humu tumeamua kuwa waalimu wa kujitolea kufundisha wengine ili kuwatoa ujinga, ili wajinga hao, waerevuke. Wako wanaofundishika hivyo ujinga unawatoka, na wapo wasiofundishika hata uwafundishe vipi, ujinga wao hauwatoki, hao ni Wapumbavu!, fools!.
It's very unfortunately Watanzania wengi zaidi ni ignorants and fools kuliko walioerevuka!, na hii ni moja ya sababu ya kwanini CCM utaendelea kutawala Tanzania kwa miaka mingi. Mimi niliweka projections za mpaka 2030 Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika! lakini kama sasa tunaelkea 2025 na ujinga bado ni wa kiwango hiki, then hata hiyo 2030, I doubt!.
P
Ujinga ni kutokujua, ignorance na mjinga ni asiyejua, yaani ni ignorant. Mjinga akifundishwa na kufundishika, ujinga unamtoka, anakuwa sio mjinga tena unakuwa mwerevu, unaerevuka.
Mjinga hata baada ya kufundishwa, na bado akawa ni mjinga, huyo ni mpumbavu!, foolish!. Mpumbavu ni mjinga asiyefundishika!.
Tuko wana jf kibao humu tumeamua kuwa waalimu wa kujitolea kufundisha wengine ili kuwatoa ujinga, ili wajinga hao, waerevuke. Wako wanaofundishika hivyo ujinga unawatoka, na wapo wasiofundishika hata uwafundishe vipi, ujinga wao hauwatoki, hao ni Wapumbavu!, fools!.
It's very unfortunately Watanzania wengi zaidi ni ignorants and fools kuliko walioerevuka!, na hii ni moja ya sababu ya kwanini CCM utaendelea kutawala Tanzania kwa miaka mingi. Mimi niliweka projections za mpaka 2030 Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika! lakini kama sasa tunaelkea 2025 na ujinga bado ni wa
Yes Tanzania ni nchi moja kwasababu ya Uraia unaothibitishwa na utaifa na Diplomasia.Facts are stubborn things. Tanzania ni nchi moja ya JMT yenye uraia mmoja, na raia wote wana haki sawa ndani ya JMT.
Raia kwa kupitia sheria zao ndio wanaotengeneza mamlaka za JMT kama serikali na Bunge.Yes muundo wa muungano wetu adhimu unaruhusu. Muungano wetu ni muungano very unique, kwa upande mmoja ni muungano wa nchi mbili zimeungana kwa union kuunda nchi moja ya JMT yenye uraia mmoja, rais mmoja na Amiri jeshi Mkuu mmoja.
Sina uhakika kama unafahamu 'Federalism'. Kwa minajili ya mjadala tukubaliane nawe.Ikiwa kuna Tanganyika na Zanzibar, Tanzania ndiyo national government. Zanzibar ina serikali yake, ipi ni ya Tanganyika katika Federal unayoongelea? Unakuwaje na ''one entity'' ukawa na Federation. Hapa nitahitaji elimu yako ya Federation !Ndani ya muungano, muungano wetu ni federation ya nchi mbili, Tanzania bara na Tanzania Visiwani au Tanzania Zanzibar, zenye marais wawili. Sehemu moja ni cha wote, sehemu nyingine ni kwa wenye kitambulisho cha ukaazi.
Hili la Uraia mmoja mbona halina tatizo! kwanini unakazia mstari huo na huendelei kuwashawishi sisi 'Wajinga' kuhusu concerns zetu. Nilitegemea usema Uraia ni mmoja ndiyo maana hoja zao znajibika abcdUraia ni mmoja, ila sehemu nyingine ina ukaazi besides uraia!.
Hivi huoni kwamba Raia wa Zanzibar wana haki zaidi ya wale wa Tanganyika?Ujinga wao ni kujidhania raia wa upande mmoja, wana haki zaidi kuliko raia wa upande wa pili.
Karibu
P
Naomba hii post nisiijibu leo Jumapili.Yes Tanzania ni nchi moja kwasababu ya Uraia unaothibitishwa na utaifa na Diplomasia.
Swali ni je, kwa Uraia uliopo unatekelezwa kwa vigezo vya Uraia sawa!
Mfano, Raia wa Tanganyika wanajulikana kama Watanzania hutawasikia Wakigoma, Wamtwara au Watanga.
Raia wa Zanzibar wanajulikana kama Wazanzibar wakiongozwa na sheria tofauti na za JMT.
Raia wa Tanzania Bara ambayo kikatiba imetambuliwa kama Tanganyika wanaweza kufanya shughuli popote pale katika eneo la Tanganyika ikiwemo Biashara, Uwakilishi katika ngazi zote, kuanzia mitaa, udiwani, Ubunge n.k.
Raia wa Tanganyika wanaweza kumiliki ardhi eneo lolote la Tanganyika lna kufanya shughuli bila kikwazo
Raia wa ''Tanzania'' kutoka Zanzibar anazo haki zote zilizoanishwa hapo juu ndani ya Tanganyika .
Raia wa 'Tanzania' kutoka Tanganyika hana haki nilizo zitaja hapo awali kule Zanzibar.
Kuna mgao mahususi wa fedha, mipango, Mikopo na misaada kwa Raia wa Zanzibar.
Wapi kuna mpango mahususi wa aina hiyo kwa Raia wa Kigoma, Mtwara, Musoma au Singida?
Raia wa mkoa wa Dar es Salaam wanawakilishwa na Wabunge takribani 8 kwa idadi ya Watu milioni 5
Raia wa Zanzibar wanawakilishwa na Wabunge takribani 80 wanaochaguliwa na watu 2500 kwa jimbo.
Wabunge wote wana kura sawa ndani ya Bunge.
Hii ina maana moja Raia wa 'Tanzania' Zanzibar wana maamuzi na turufu ndani ya Bunge ikiwemo mambo yasiyowahusu ya Tanganyika licha ya uwakilishi mdogo kuliko Diwani wa kata moja ya Tanganyika.
Huioni nguvu ya Raia wa Zanzibar
Hakuna taasisi ya umma kule Zanzibar ikiwemo elimu na Afya na mamlaka au idara zote inayoweza kuajiri Raia wa ''Tanzania ' kutoka Tanganyika kwa vile kuna kifaa cha Ubaguzi kinachoitwa Ukaazi'.
Kitambulisho cha Ukaazi kule Zanzibar ni cha nini ikiwa ni Raia wa nchi moja wenye vitambulisho vya NIDA!
Raia kwa kupitia sheria zao ndio wanaotengeneza mamlaka za JMT kama serikali na Bunge.
Je, Waziri mkuu wa Tanzania ana mamlaka kule Zanzibar?
Ikiwa hana, huyu Waziri mkuu ni wa nchi gani ambayo kuna mipaka ya kazi zake ndani ya JMT
Lakini pia jiuilize ni kweli Waziri mkuu hana mamlaka? Je, muundo wa muungano unasema hivyo?
Sina uhakika kama unafahamu 'Federalism'. Kwa minajili ya mjadala tukubaliane nawe.Ikiwa kuna Tanganyika na Zanzibar, Tanzania ndiyo national government. Zanzibar ina serikali yake, ipi ni ya Tanganyika katika Federal unayoongelea? Unakuwaje na ''one entity'' ukawa na Federation. Hapa nitahitaji elimu yako ya Federation !
Hili la Uraia mmoja mbona halina tatizo! kwanini unakazia mstari huo na huendelei kuwashawishi sisi 'Wajinga' kuhusu concerns zetu. Nilitegemea usema Uraia ni mmoja ndiyo maana hoja zao znajibika abcd
Hivi huoni kwamba Raia wa Zanzibar wana haki zaidi ya wale wa Tanganyika?
Kwa kutumia Utanzania Raia wa Zanzibar hawabaguliwi wakiwa Tanganyika.
Kwa kutumia Katiba na sheria za Zanzibar, Raia wa Tanganyika hawana haki Zanzibar
Na hapa ndipo kuna msuguano. Kwa mfano, suala la Bandari Zanzibar wanasema haliwahusu.
Mapato ya Bandari za Tanganyika yanalipa mikopo na madeni ya JMT ambayo Zanzibar ni mnufaika, yanagharamia muungano ambazo Zanzibar na yanayoingia BoT ambako Zanzibar wanachota 4.5%.
Kwa kutumia Utanzania, Wazanzibar wanapewa fursa 21% ya ajira zisizo za muungano kama ilivyo kwa Makame Mbarawa, Shaka Hamdu na maelfu yao.Kwa kutumia sheria za Zanzibar Watanganyika hawana nafasi hiyo Zanzibar.
Kwa kutumia Utanzania, Wazanzibar ni wanufaika wa hazina ya ardhi, kwa kutumia Uzanzibar Watanganyika hawana nafasi Zanzibar wakiambiwa ni Wageni. Usawa wa Uraia upo wapi?
Mapato ya gesi ya Mtwara, Dhahabu ya Chunya, Almasi ya Shinyanga, Mawese ya Kigoma, Tanzanite ya Arusha n.k. yanaingia katika pato la Taifa kisha kugawiwa miongoni mwa Raia wa Tanzania.
Mapato ya Tanganyika yanagharamia Muungano (Zanzibar 0%), yanafidia bajeti ya SMZ yanatoka 4.5% kila mwezi kwa Zanzibar. Hivi hawa Raia wa Zanzibar wana umuhimu gani tofauti na Raia wenginE?
Hoja kubwa ambayo hutaki kuwaelewa 'Wajinga' si Uraia sawa! Unaweza kutamka Raia wote ni sawa na ikawa.
Hoja ya Wajinga ni kwamba, kwavile kuna sehemu ya Tanzania inayojulikana kama Zanzibar iliyopewa nguvu zake kwa baadhi ya mambo, tunahitaji Serikali ya Tanganyika itakayosimamia mambo yake.
Ikiwa ni lazima tunaweza kuwa na shirikisho (Federal) la Tanzania kama alivyoeleza Mzee Warioba.
Ikiwa haiwezekani kuna hiyari ya kuishi kama majirani.
Wajinga wa Tanganyika wanasema hivi URAI isiwe sababu ya kuwatwisha Zigo.
Urai usitumike kuhalilisha 'nataka, nipewe na mimi'
''Mambo ni mengi muda mchache ''
Nitajie jambo moja tu la Tanganyika lisilo la muungano na linalotekelezwa na kusimamiwa na Watanganyika wenyewe kupitia JMT.Kuna serikali mbili (SMZ, JMT) ila kuna mambo ya aina 3. Mambo ya Zanzibar, Mambo ya Tanganyika na mambo ya Muungano. Mambo ya Zanzibar yanafangwa na SMZ, ya Muungano yanafanywa na JMT, na y Tanganyika yanafanywa na JMT.
Yapo mambo mengi ambayo si ya muungano, mfano kilimo. Lakini kwa sababu serikali ni moja tu inayo shughulikia mambo ya muungano na ya Tanganyika, ni vigumu kutofautisha. Hata bunge ni la Muungano ingawa 90 yanayojadiliwa mle ni ya Tanganyika.Nitajie jambo moja tu la Tanganyika lisilo la muungano na linalotekelezwa na kusimamiwa na Watanganyika wenyewe kupitia JMT.
Mmehamia kwenye uzanzibari na Ubara .... mwishowe mtageukia ukabila na ukanda.Nimefuatilia mjadala ulioandaliwa na serikali leo.
Msemaji mmoja mwenye mlengo wa kiserikali alisema na naomba nimnukuu
"Kasomeni katiba masuala ya viwanda na uwekezaji sio miongoni mwa mambo ya muungano" mwisho wa kumnukuu.
Kauli hii inaonyesha dhahili ilivyo ngumu kwa mmatumbi kutoka Tanzania bara kushiriki iwe kwa mawazo au kwa vitendo katika masuala ya uwekezaji huko visiwani zanzibar (haiwezekaniki)
Hii ni kwakuwa wazanzibari wameweka usimamizi mzuri kwenye mambo yasiyo ya muungano.
Je, inakuweje kwa upande wetu
Mzanzibari akawa kinara kwenye maamuzi ya mambo yasiyo ya muungano?
Je, hili ni jambo lisilo na ulakini mbele ya sheria?
Kwahiyo mambo ya Tanganyika hayajulikani kwa uwazi! si ndio!Yapo mambo mengi ambayo si ya muungano, mfano kilimo. Lakini kwa sababu serikali ni moja tu inayo shughulikia mambo ya muungano na ya Tanganyika, ni vigumu kutofautisha. Hata bunge ni la Muungano ingawa 90 yanayojadiliwa mle ni ya Tanganyika.
Yapo mambo mengi ambayo si ya muungano, mfano kilimo. Lakini kwa sababu serikali ni moja tu inayo shughulikia mambo ya muungano na ya Tanganyika, ni vigumu kutofautisha. Hata bunge ni la Muungano ingawa 90 yanayojadiliwa mle ni ya Tanganyika.
Ujinga ni kutokujua, ignorance na mjinga ni asiyejua, yaani ni ignorant. Mjinga akifundishwa na kufundishika, ujinga unamtoka, anakuwa sio mjinga tena unakuwa mwerevu, unaerevuka.
Mjinga hata baada ya kufundishwa, na bado akawa ni mjinga, huyo ni mpumbavu!, foolish!. Mpumbavu ni mjinga asiyefundishika!.
Tuko wana jf kibao humu tumeamua kuwa waalimu wa kujitolea kufundisha wengine ili kuwatoa ujinga, ili wajinga hao, waerevuke. Wako wanaofundishika hivyo ujinga unawatoka, na wapo wasiofundishika hata uwafundishe vipi, ujinga wao hauwatoki, hao ni Wapumbavu!, fools!.
It's very unfortunately Watanzania wengi zaidi ni ignorants and fools kuliko walioerevuka!, na hii ni moja ya sababu ya kwanini CCM utaendelea kutawala Tanzania kwa miaka mingi. Mimi niliweka projections za mpaka 2030 Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika! lakini kama sasa tunaelkea 2025 na ujinga bado ni wa kiwango hiki, then hata hiyo 2030, I doubt!.
P
Sasa kam sote tu raia wa Tanzania inakuwaje mimi nnaetokea Matumbi ama matombo huko ndani kabisa nisiweze kushiriki maamuzi ya bandari ya chakechake Pemba?...Yes, ni halali kabisa na anao uwezo wote!.
Kwenye issues za uraia kuna ujinga mwingi na wajinga wengi ambao ni kwa ujinga tuu, hawajui kuwa Tanzania ni nchi moja ya JMT, yenye uraia mmoja tuu, uraia wa JMT. Kwenye uraia, hakuna Mtanganyika wala Mzanzibari, kuna Mtanzania tuu, na kila Mtanzania ana haki zote za Utanzania.
Namna pekee ya kuondoa ujinga huu ni elimu ya uraia.
p
Yes, ni halali kabisa na anao uwezo wote!.
Kwenye issues za uraia kuna ujinga mwingi na wajinga wengi ambao ni kwa ujinga tuu, hawajui kuwa Tanzania ni nchi moja ya JMT, yenye uraia mmoja tuu, uraia wa JMT. Kwenye uraia, hakuna Mtanganyika wala Mzanzibari, kuna Mtanzania tuu, na kila Mtanzania ana haki zote za Utanzania.
Namna pekee ya kuondoa ujinga huu ni elimu ya uraia.
p