B bin haroub JF-Expert Member Joined Jun 19, 2023 Posts 1,662 Reaction score 812 Jul 16, 2023 #101 Nguruvi3 said: Kwahiyo mambo ya Tanganyika hayajulikani kwa uwazi! si ndio! Click to expand... Mfumo wenyewe wa Muungano ndio umefanya hivo TANGANYIKA Wameivalisha koti la muungano serikali ya Muungano ndio hiyo hiyo serikali ya Tanganyika tatizo limeazia hapo
Nguruvi3 said: Kwahiyo mambo ya Tanganyika hayajulikani kwa uwazi! si ndio! Click to expand... Mfumo wenyewe wa Muungano ndio umefanya hivo TANGANYIKA Wameivalisha koti la muungano serikali ya Muungano ndio hiyo hiyo serikali ya Tanganyika tatizo limeazia hapo
B bin haroub JF-Expert Member Joined Jun 19, 2023 Posts 1,662 Reaction score 812 Jul 16, 2023 #102 Mr. Tutor said: CCM imeanza kuuvunja muungano baada ya kurusu Zanzibar ijitungie sheria zake za ajabu Click to expand... Sio kweli tatizo ni Tanganyika wameivalisha koti la muungano serikali ya Tanganyika ndio hiyo hiyo serikali ya Muungano
Mr. Tutor said: CCM imeanza kuuvunja muungano baada ya kurusu Zanzibar ijitungie sheria zake za ajabu Click to expand... Sio kweli tatizo ni Tanganyika wameivalisha koti la muungano serikali ya Tanganyika ndio hiyo hiyo serikali ya Muungano