milele amina JF-Expert Member Joined Aug 16, 2024 Posts 6,045 Reaction score 8,080 Jan 14, 2025 #1 Picha nimeweka hapa! Attachments VID-20250114-WA0021.mp4 18.4 MB
Nikifa MkeWangu Asiolewe JF-Expert Member Joined Feb 26, 2024 Posts 6,944 Reaction score 14,351 Jan 14, 2025 #2 Nakubaliana nawewe. Pia maji yawe kwa wingi zaidi kuboresha mazingira maeneo hayo kuna ukame sana bila miundombinu ya maji itakuwa changamoto sana
Nakubaliana nawewe. Pia maji yawe kwa wingi zaidi kuboresha mazingira maeneo hayo kuna ukame sana bila miundombinu ya maji itakuwa changamoto sana
milele amina JF-Expert Member Joined Aug 16, 2024 Posts 6,045 Reaction score 8,080 Jan 14, 2025 Thread starter #3 Maji hapo Kuna Kila dalili ni changamoto! Waoteshe miti mingi! Nyumba za watumishi na walimu hakuna 🥺 Umeme hakuna😳 Wanamuaibisha Samia100% Attachments IMG-20250114-WA0006.jpg 62.9 KB · Views: 1
Maji hapo Kuna Kila dalili ni changamoto! Waoteshe miti mingi! Nyumba za watumishi na walimu hakuna 🥺 Umeme hakuna😳 Wanamuaibisha Samia100%
milele amina JF-Expert Member Joined Aug 16, 2024 Posts 6,045 Reaction score 8,080 Jan 14, 2025 Thread starter #4 Wengi wanatumia jina la yule mama vibaya
Nikifa MkeWangu Asiolewe JF-Expert Member Joined Feb 26, 2024 Posts 6,944 Reaction score 14,351 Jan 14, 2025 #5 milele amina said: Maji hapo Kuna Kila dalili ni changamoto! Waoteshe miti mingi! Nyumba za watumishi na walimu hakuna 🥺 Umeme hakuna😳 Wanamuaibisha Samia100% Click to expand... Wapiga dili ni wengi sana haiwezekani hadi ina kamlika umeme haujafika ni aibu kubwa sana na kuna baadhi ya vitu nimeona vimekaa kipagji tu mfano sanduku la maoni wameshindwa kuweka la kisasa na maandishi wameandika ovyo kabisa kama sio ya wasomi tu
milele amina said: Maji hapo Kuna Kila dalili ni changamoto! Waoteshe miti mingi! Nyumba za watumishi na walimu hakuna 🥺 Umeme hakuna😳 Wanamuaibisha Samia100% Click to expand... Wapiga dili ni wengi sana haiwezekani hadi ina kamlika umeme haujafika ni aibu kubwa sana na kuna baadhi ya vitu nimeona vimekaa kipagji tu mfano sanduku la maoni wameshindwa kuweka la kisasa na maandishi wameandika ovyo kabisa kama sio ya wasomi tu