Dreadnought
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 2,876
- 3,942
Huwezi amini hakuna kitu nakijua hapo, siku hizi najitahidi na mimi kupaka poda hata wanja sijui unapakwaje, na tupo dunia hii hii ya mafekero, so watabaki wachache wenye kutunza na kuuishi uhalisia waoYap ..Mbona wigi,kope,kucha fake tulishazoea
mnastua ,hasa mm mpenda vibody OG...[emoji23]Mambo ya sajari, Kila demu mkali saiv mchawi pesa tu vibode og km vyetu hatushtui tena, dunia iko kasi sana
Vya sajari vipo konki sana lakinimnastua ,hasa mm mpenda vibody OG...[emoji23]
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Hongera Sana..you are one of a kindHuwezi amini hakuna kitu nakijua hapo, siku hizi najitahidi na mimi kupaka poda hata wanja sijui unapakwaje, na tupo dunia hii hii ya mafekero, so watabaki wachache wenye kutunza na kuuishi uhalisia wao
πHongera Sana..you are one of a kind
Huwezi amini hakuna kitu nakijua hapo, siku hizi najitahidi na mimi kupaka poda hata wanja sijui unapakwaje, na tupo dunia hii hii ya mafekero, so watabaki wachache wenye kutunza na kuuishi uhalisia wao
Hivyo vidogo vimenishinda hayo makubwa nitayawezea wapi! Kutoga tu sikio sijaweza,ππππππ wanja poda na lipstick RUKHSA ila visu na mikasi hapana.
Hivyo vidogo vimenishinda hayo makubwa nitayawezea wapi! Kutoga tu sikio sijaweza,
Tuwape Muda Tuone Garage Zao Zisijekuwa Za UjanjaujanjaKwahiyo hawa wabongo wanafanya isiyo na kiwango?
Nianze na kipi?ππππ mdogo mdogo utakuwa fundi.
Kutoga masikio,, πππππunachokiona rahisi kuliko vyote.
Kutoga masikio,, π
Tena hao wa kope usiombe umuone wakati hajabandikwa utafikiri kitoto cha nyau kilicho zaliwa leoYap ..Mbona wigi,kope,kucha fake tulishazoea
Hahahah hilo gumu maana naweza jichora vibaya nikachekesha watu, Bora nibaki hivi hivi tuHahahahahaha kama hicho ndiyo rahisi anza nacho. Mimi nilidhani ungesema kupaka wanja π
Hahahah hilo gumu maana naweza jichora vibaya nikachekesha watu, Bora nibaki hivi hivi tu
Na Dr Terry Dubrow. Kwa kweli kwenye "BOTCHED ", nimejifunza kujikubali tu. Sio kwa watu wanavyohangaika na madhara ya operesheni zao khaa.Dr. Paul Nassif na mwenzie pale Beverly hills ni balaa