Ninatafakari sana juu ya upasuaji wa miili (marekebisho) ya akina dada matokeo yake miaka kadhaa mbeleni baada ya upasuaji huo

Huwezi amini hakuna kitu nakijua hapo, siku hizi najitahidi na mimi kupaka poda hata wanja sijui unapakwaje, na tupo dunia hii hii ya mafekero, so watabaki wachache wenye kutunza na kuuishi uhalisia wao
Hongera Sana..you are one of a kind
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ wanja poda na lipstick RUKHSA ila visu na mikasi hapana.

Huwezi amini hakuna kitu nakijua hapo, siku hizi najitahidi na mimi kupaka poda hata wanja sijui unapakwaje, na tupo dunia hii hii ya mafekero, so watabaki wachache wenye kutunza na kuuishi uhalisia wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…