Wewe pua tena imekuwaje? Kama ingekuwa inawezekana ningekupungizia ukawa na kapua karefu uepukane na hayo nadhara ya kuchonga pua.Honestly ningekuwa na 'ela' ningeenda kuifanyia mafekeche hii pua
Huko si pangu nishakubali, nilipaka lipstick ikavuka hadi mistari ya lips nilijiona kituko, chap nikakimbia kunawa, hakuna siku nilijiona vibaya km ileHahahahahaha wanja umeshuka hadi mashavuni lol!!! πππππππ kama nakuona vile
Hata mimi nimeshangaa nikajua ndivyo alivyo. Kumbe wanaoangaika na mazoezi ni kujidanganya?Hivi Iniedo naye alifanya sajari mpaka kuwa na kiuno nyigu??
Huko si pangu nishakubali, nilipaka lipstick ikavuka hadi mistari ya lips nilijiona kituko, chap nikakimbia kunawa, hakuna siku nilijiona vibaya km ile
Mwenzio niliona imekaa poa,, baada ya siku nyingi kupita nikakutana na clip inaelezea jinsi ya kupaka hizo mambo,, nilijiona mshamba nikakoma na kukomaππππππ pole sana si ungetumia kioo kuona kama imekaa sawa lol!!!
Mwenzio niliona imekaa poa,, baada ya siku nyingi kupita nikakutana na clip inaelezea jinsi ya kupaka hizo mambo,, nilijiona mshamba nikakoma na kukoma
Naogopa kuvurunda πππ,Sasa hiyo clip ndiyo ungechukua darasa ili uwe fundi si wa kujipaka mwenyewe tu hata wengine pia.
Alitolewa alichoongezewaBody lake walirudisha vipi ina maana kuna mahali ina hifadhiwa Surgery ikizingua unarudishiwa?
Mbona nchi nyingine wameanza hii plastic surgery miaka mingi nyuma? Tangu kwenye 1960s huko.Chief ninakitafakari na kujiuliza ni madhara gani yatatokea miaka kadhaa baada ya kubadilisha mwili?hapo ndipo ilipo tafakari Chief
Hata mimi nimeshangaa nikajua ndivyo alivyo. Kumbe wanaoangaika na mazoezi ni kujidanganya?
Haohao huyo mwingine nilikuwa nimemsahau. bora yako wewe umejifunza kujikubali wengine hutamani kufanya hizo surgery baada ya kuona matokeo mazuri.Na Dr Terry Dubrow. Kwa kweli kwenye "BOTCHED ", nimejifunza kujikubali tu. Sio kwa watu wanavyohangaika na madhara ya operesheni zao khaa.
Hahaha masta bhana..kwamba zaidi ya meno ya bandia hatuna maajabu sioTumechelewa Sana Ndugu Zangu
Changamoto Hayo Ni Mambo Ya Cash
Watu Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Level Yetu Kuweka Meno Bandia
Kwenye Wo~Wo ~Wo,Chu~Chu Konzi, Pua, Tumbo, Macho
Uchongaji Huo Wanaweza Hao Wenye Garage Nzuri Haa Teh
Majuu Huko,
Wenye uzuri wa asili na wa kutengeneza kidogo wanafanana..Mimi binafsi nikijua kama KE kaongeza matiti au makalio au kairemba K yake vile atakavyo kwa surgery nakaa naye mbali huyo lakini shida ni namna ya kuwajua wa hivyo. Na hii hali inazidi kushamiri wakati mwingine hata ukimuona mzuri wa kila kitu naturally unaanza kudhani visu vimempitia.
Wenye uzuri wa asili na wa kutengeneza kidogo wanafanana..
BAK baba ni kugumua sana huko tunakoelekea jaman
Ingawa wanakaa na muonekano mzuri pia.
Wengine ngoja tuendelee kukaa kama Asha boko hakuna namna
Cha msingi ni kuridhika na kumshukuru kwa jinsi ya uumbaji wakeHahaha juzi Kuna mitaa nilikatiza nilikutna na wanawake wamejikoboa sawasawa, Mimi nina rangi ya kahawia ya asili ila nilionekana cheusi, nilitamani niwe black nisingehangaika na vipodozi vya kujichubua,Sasa na hizo sajari ndo itafikia huko