HUko kwao teknolojia imekuwa Chief na huwezi kulinganisha na huku..mawazo lukuki yanakuja kwa hawa wa hukuMbona nchi nyingine wameanza hii plastic surgery miaka mingi nyuma? Tangu kwenye 1960s huko.
Kutokea kwa madhara inategemea unafanya surgery mara ngapi na kwa sehemu gani ya mwili. Pia wale experts wa uhakika wanakuwa ghali sana hata huko Marekani na Ulaya. Nchi za dunia ya tatu kama Latin America zina matapeli ambao wanaweza kukufanyia at your own expense.
Baba ulishawahi kukutana na k iliyotengenezwa?ikoje!inatofauti na ogAcha tu Chakorii siku hizi hadi K inatengenezwa vile atakavyo mteja kwa kuchagua sample mbali mbali kwenye catalogue. Ilianzia Brazil hii lakini sasa hii surgery inazidi kupata umaarufu katika nchi nyingi duniani eti kisa wanataka muoenako wa K uwe kama ua hivi
😂 😂 😂 😂 😂
Bora ufurahi Chief hakuna namna..ila ukweli huwa mnatuvurugaga sana..mpunguze kidogo maana utasikia sipendi mwanamke mnene mara sipendi mwanamke mwembamba heee nyie watu mtatuua huku tunatembea jamani[emoji1787][emoji1787] Umenifurahisha sana, sidhani kama kuna mtu huzaliwa na tumbo la namna hiyo.
Wengine hutokana na uzazi n.k lakini pamoja na yote ukiamua kujikubali wewe jikubali si kila mwanaume anachukia tumbo.
Ata wigi kipindi zinaingia wanaume walipinga ila saivi wao ndo wanatoa Hela Za wigi....so hata hii itafika stage mtu akiona dem wake ana 'upungufu' Fulani anatoa Hela anamlipia sajariKwahiyo na hii unategemea uzoee sio..safi
Baba ulishawahi kukutana na k iliyotengenezwa?ikoje!inatofauti na og
Zaidi Ya Hakuna Jipya, Utakuwa Ujanjaujanja Kama Enzi Za Dawa Toka China, T*k* Moja Kubwa Jingiñe DogoHahaha masta bhana..kwamba zaidi ya meno ya bandia hatuna maajabu sio
Aiseh 🥺
Itakuwa una pua pana kama la mjumbe wa nyumba kumi kule milepa rukwa.Honestly ningekuwa na 'ela' ningeenda kuifanyia mafekeche hii pua
Ushasema unahisi means huna uhakika na hisia zako.Nahisi hakuna madhara,,mbona watu wanazidi kwenda
Inabidi Na ninyi mpunguze kitu sakama na kuvisema vitambi vyetu maana havituwashi
Na ndiko tunakoelekea jamani🥺
Sawasawa,ila mbona kama unanishauri tena?!!?Ushasema unahisi means huna uhakika na hisia zako.
Madhara yapo dear tena makubwa tu hasa ugonjwa wa kansa ndo huanziaga kwa hayo masurgery.
Wingi wa watu usikuaminishe usalama wa wanachoenda kufanya, Huwaga inatokea kwenye kundi la watu 100 muelevu akawa mmoja tu wengine wote vilaza. Usipende kufata mkumbo mpendwa simama na utashi wako binafsi.
Nakushauri kama teacher wangu apo iringa nimepita mikononi mwako ujue tena primary apoSawasawa,ila mbona kama unanishauri tena?!!?
YesAlirudi katika hali yake ya kawaida?[emoji15]
Jamani BAK utaulizaje tena!!si unatumia uzoefu