Ninatafakari sana juu ya upasuaji wa miili (marekebisho) ya akina dada matokeo yake miaka kadhaa mbeleni baada ya upasuaji huo

Ninatafakari sana juu ya upasuaji wa miili (marekebisho) ya akina dada matokeo yake miaka kadhaa mbeleni baada ya upasuaji huo

Mbona nchi nyingine wameanza hii plastic surgery miaka mingi nyuma? Tangu kwenye 1960s huko.

Kutokea kwa madhara inategemea unafanya surgery mara ngapi na kwa sehemu gani ya mwili. Pia wale experts wa uhakika wanakuwa ghali sana hata huko Marekani na Ulaya. Nchi za dunia ya tatu kama Latin America zina matapeli ambao wanaweza kukufanyia at your own expense.


HUko kwao teknolojia imekuwa Chief na huwezi kulinganisha na huku..mawazo lukuki yanakuja kwa hawa wa huku
 
Acha tu Chakorii siku hizi hadi K inatengenezwa vile atakavyo mteja kwa kuchagua sample mbali mbali kwenye catalogue. Ilianzia Brazil hii lakini sasa hii surgery inazidi kupata umaarufu katika nchi nyingi duniani eti kisa wanataka muoenako wa K uwe kama ua hivi
😂 😂 😂 😂 😂
Baba ulishawahi kukutana na k iliyotengenezwa?ikoje!inatofauti na og
 
[emoji1787][emoji1787] Umenifurahisha sana, sidhani kama kuna mtu huzaliwa na tumbo la namna hiyo.

Wengine hutokana na uzazi n.k lakini pamoja na yote ukiamua kujikubali wewe jikubali si kila mwanaume anachukia tumbo.
Bora ufurahi Chief hakuna namna..ila ukweli huwa mnatuvurugaga sana..mpunguze kidogo maana utasikia sipendi mwanamke mnene mara sipendi mwanamke mwembamba heee nyie watu mtatuua huku tunatembea jamani
 
Kwahiyo na hii unategemea uzoee sio..safi
Ata wigi kipindi zinaingia wanaume walipinga ila saivi wao ndo wanatoa Hela Za wigi....so hata hii itafika stage mtu akiona dem wake ana 'upungufu' Fulani anatoa Hela anamlipia sajari
 
Honestly ningekuwa na 'ela' ningeenda kuifanyia mafekeche hii pua
Itakuwa una pua pana kama la mjumbe wa nyumba kumi kule milepa rukwa.

Yule mjumbe ana pua aisee had tundu za pua zikiwasha anaingiza dole gumba kukuna daah.
 
Nahisi hakuna madhara,,mbona watu wanazidi kwenda
Ushasema unahisi means huna uhakika na hisia zako.

Madhara yapo dear tena makubwa tu hasa ugonjwa wa kansa ndo huanziaga kwa hayo masurgery.

Wingi wa watu usikuaminishe usalama wa wanachoenda kufanya, Huwaga inatokea kwenye kundi la watu 100 muelevu akawa mmoja tu wengine wote vilaza. Usipende kufata mkumbo mpendwa simama na utashi wako binafsi.
 
Inabidi Na ninyi mpunguze kitu sakama na kuvisema vitambi vyetu maana havituwashi


Na ndiko tunakoelekea jamani🥺

Mimi kwa mtazamo wangu wanawake wengi wanajikata miili yao kwa ajili ya kujiongezea market apate mwanamme mwenye mpunga si unajua mwanamme mwenye mpunga huvutika na mabebe wakare!!
 
Ushasema unahisi means huna uhakika na hisia zako.

Madhara yapo dear tena makubwa tu hasa ugonjwa wa kansa ndo huanziaga kwa hayo masurgery.

Wingi wa watu usikuaminishe usalama wa wanachoenda kufanya, Huwaga inatokea kwenye kundi la watu 100 muelevu akawa mmoja tu wengine wote vilaza. Usipende kufata mkumbo mpendwa simama na utashi wako binafsi.
Sawasawa,ila mbona kama unanishauri tena?!!?
 
Back
Top Bottom