Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa bossMaamuzi yenu hayana mwisho mwema , maamuzi yenu yanatumia hisia zaidi ya akili. Kwa sababu maamuzi yenu inalazimu yawe chini ya mtu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Safimnastua ,hasa mm mpenda vibody OG...[emoji23]
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Nasumbuliwa na uandunje..hakuna sehemu wanaongeza urefu kweli
Hapoa wanawake mnafeli sana kwenye suala zima la kujikubali.Ukijifunza kujikubali kuna baadhi ya vitu utaviacha vipite
Lakini na nyie wanaume mnatuvuruga pia..msitulaumu sanaHapoa wanawake mnafeli sana kwenye suala zima la kujikubali.
Sasa hivi hao wote wanaojiita sijui pisi kali lazima ukute ubandia wa kutosha.
Kesho namtumia baba yangu vocha maana nimefanana nae sana😁Wewe pua tena imekuwaje? Kama ingekuwa inawezekana ningekupungizia ukawa na kapua karefu uepukane na hayo nadhara ya kuchonga pua.
Mungu ni mwema ukibahatika kuingia kwenye ndoa angalia mkaka mwenye pua ndefu watoto watatoka vizuri.kumbuka 80% watoto wanafananaga na baba. Kwetu wote tunafanana na baba na babu mzaa baba.
[emoji1787][emoji1787] Umenifurahisha sana, sidhani kama kuna mtu huzaliwa na tumbo la namna hiyo.Lakini na nyie wanaume mnatuvuruga pia..msitulaumu sana
Mtu akiwa na tumbo lake linaning’inia huko bonge moja la kifurushi hata kumsogelea hutaki kabisa[emoji3064][emoji3064]