Ninavutiwa Sana na Utulivu na Umakini wa Rais Samia Kiuongozi

Utulivu na umakini wa kuwaambia mawaziri wanakula sana wale kidogo.
Vichwa vyenu hua mnatumia kama vifaa vya kuhifadhia meno na mate!?!?
 
Utulivu na umakini wa kuwaambia mawaziri wanakula sana wale kidogo.
Vichwa vyenu hua mnatumia kama vifaa vya kuhifadhia meno na mate!?!?
Naona umekurupuka tu huko utokako na kuja kuandika ujinga wako hapa.
 
Zombie na msukule kama unadhani utajua kama jimama ni la hovyo? Jinga na shetani na mashetani yako yanayozurura bila tija. Mungu chukua hili lishetani haraka Sana lichome
 
Mwigulu, Mbalawa, Makamba, Mkwe nk matendo yao yanatia mashaka makubwa.
Sasa hapo umeweka ushahidi upi? Ndio unaweza kujibu na kuwasilisha ushahidi wa aina hiyo mahakamani? Kwanini unashafua majina ya watu bila sababu?
 
Yaani chawa unaweza kuzungumza kinyume na hivi?
 
 

Attachments

  • 20240524_130550.jpg
    14.1 KB · Views: 2


Utulivu maana anatega mabumu ya kulipuka baadae

mabumu ni haya

1. Katiba hili bomu litalupuka huko mbele
2. Bandari hili bomu litalupuka
3. Kuuza KIA hili bomu litalipuka
4. Kuuza carbon credit za misitu kwa kutoa watu kwa waarabu kisiri siri hili bomu litalipuka
5 wanapika sasa mikataba ya mafuta. Mama ataacha mabumu ambayo yatachukuwa miaka zaidi ya 10 ya Raisi ajaye

Kama haya ni utulivu sawa
 
As a member of Mental health department we apologize to all JF members that, The person who usually posts this rubbish Lucas Mwashambwa is one of our patient who escaped from our institution of mental health.

We assure you that we will do whatever it takes to get him back to our institution.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…