gammaparticles
JF-Expert Member
- Jan 9, 2024
- 1,407
- 3,855
Lucas Mwashambwa
Una kitu, Utafika mbali.........
Una kitu, Utafika mbali.........
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio namaanisha nachokiandika na kuandika nachomaanisha
Tumia akili mnemboHoja yako nini ndugu yangu mtanzania
Mimi siku zote hutumia akili.Tumia akili mnembo
SafiMimi siku zote hutumia akili.
Haya bhana!!!!Ndugu zangu Watanzania,
Kiukweli ninavutiwa sana na utulivu na umakini mkubwa sana wa kiuongozi alionao Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha Watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hassan. Ni kiongozi mtulivu na makini sana katika k
Lucas Hebel Mwashambwa. Mama anatosha kuendelea kuliongoza taifa letu kwa muhula wa pili.
Mbona namba siku hizi huweki mkuu!?Ndugu zangu Watanzania,
Kiukweli ninavutiwa sana na utulivu na umakini mkubwa sana wa kiuongozi alionao Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu a kuwafikia Watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya Watanzania wanyonge wasio na sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa. Mama anatosha kuendelea kuliongoza taifa letu kwa muhula wa pili.
Nimeacha ili watu waweke zao.Mbona namba siku hizi huweki mkuu!?
Kwani wewe ni kipofu wa macho na akili?Onyesha uropokaji upo wapi!
Samia kuuza Ngorongoro na bandari hata vipofu wanajua hilo !Kwani wewe ni kipofu wa macho na akili?
Ni mara 1000 umsifie makonda anayehangaika kutwa kucha na matatizo ya watu kuliko vasco da gama ambaye kutwa kucha yupo safarini. NonsenseNdugu zangu Watanzania,
Kiukweli ninavutiwa sana na utulivu na umakini mkubwa sana wa kiuongozi alionao Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha Watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hassan. Ni kiongozi mtulivu na makini sana katika anatosha kuendelea kuliongoza taifa letu kwa muhula wa pili.
We endelea kuvutiwatu. Ila sisi wazabuni wa serikali yake tunaoidai malipo ya hela nyingi sana,Ndugu zangu Watanzania,
Kiukweli ninavutiwa sana na utulivu na umakini mkubwa sana wa kiuongozi alionao Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha Watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hassan. Ni kiongozi mtulivu na makini sana katika
Lucas Hebel Mwashambwa. Mama anatosha kuendelea kuliongoza taifa letu kwa muhula wa pili.
Acha upotoshaji wako hapa wewe.Samia kuuza Ngorongoro na bandari hata vipofu wanajua hilo !
Acha uzushi wako na Ramli chonganishi hapa.serikali yetu ipo imara kiuchumi na ndio maana hakuna shughuli zinazokwama kwa kukosa pesaWe endelea kuvutiwatu. Ila sisi wazabuni wa serikali yake tunaoidai malipo ya hela nyingi sana,
Habari za ndani ni kuwa hawana fedha ndo maana kakimbilia Korea kwenda kukopa angalau kulipa madeni kabla ya mwaka wa fedha haujaisha
Delulu is the solulu..Acha upotoshaji wako hapa wewe.
Uwe na adabu wewe.usifikiri Rais wetu anakwenda nje ya nchi kutalii .Ni mara 1000 umsifie makonda anayehangaika kutwa kucha na matatizo ya watu kuliko vasco da gama ambaye kutwa kucha yupo safarini. Nonsense
Una matatizo makubwa sana kichwani mwako.Acha na huyo mwehu
sawaUna matatizo makubwa sana kichwani mwako.
Pengine ameshaingizwa kwenye listMbona namba siku hizi huweki mkuu!?