Ni kweli mikoa ya katavi na rukwa imesahaulika katika uteuzi, it is irrationalJapokuwa Rais hapangiwi nani wa kuwateua katika nafasi mbalimbali, lakini ni sahihi wizara isiyo ya Muungano kupangiwa watu kutoka upande wa pili wa Muungano.Pili ni sahihi mkoa mmoja kuwa na mawaziri watatu, kutoka kwenye majimbo, wakati mikoa mingine haijatoa mawaziri kabisa.
Umeandika uzi
Lengo lako umponde makamba lakini makamba ana akili kuwazidi watu wenu
Wote walikuwa wahuni tu kula tenda za serikaliJanuary Makamba miongoni mwa wanasiasa wenye IQ kubwa ndo maana sikushangaa kuwa na urafiki mkubwa na Ruge RIP kwani ndege wafananao huruka pamoja sitoshangaa akija kuwa rais wetu hapo badae
Alikuwa rais ambaye aliwakamua Sana matajili,,, na alituaminisha kuwa Kila tajili NI fisadi,,, hivyo tuwachukie huku akitaka Kodi na pesa zingine kwa nguvu,,, ndio mzee yule alivyokuwa,,,kwa hiyo ukisema alikuwa Bora na mtetezi wa wanyonge maana yake ni kwamba na wewe unaamini kuwa matajili wote NI mafisadiUtakuwa ulitumbuliwa au ni fisadi mwizi mlarushwa ukakomeshwa. Magufuli ni kipenzi cha wanyonge majority na si ww. Historia itamkumbuka mwana mwema wa afrika. Watoto wako watamsoma hatua kwa hatua. Kipi alichofanya na si propaganda. Mwisho umati uliomzika na ideology iliyokaa ndani ya mioyo ya wengi
Kwa elimu yako ya kidato Cha 6 , huwezi kuelewa chochote. Mengi yapo juu ya uwezo wakoWatu mna chuki sana na January Makamba.
Hivi ndani ya CCM nani aliye msafi?
Aaaaaaa acha kuongea sana habari za Tax watu tunafahamu historia yake nukta kwa nukta, elimu yake ilianzia wapi, elimu yake ya PhD alivyoipata, wazee gani walikuwa wanam.....mpaka akapewa fadhira, wewe kaa kimya tu usije ukamharibia Tax wa watu!!Sehemu kubwa na ufahamu wako ni sahihi, ila sijui kwa nini unasema Ph.D ya Stergomena ina matatizo. Niliwahi kumwona zamani sana akiwa mwanafunzi wa UDSM, na sababu kubwa ni kwa vile alikuwa anasemekena ni msukuma lakini alikuwa anaonekana tofauti na wasukuma, hivyo hiyo sifa ya kuwa msukuma asiyeonekana kama msukuma ikafanya awe anajulikana campus yote. Alipatia Ph.D yake Japan, je huko nako alinunua?
Makamba na Mbarawa wameingia pale nadhani zaidi ni kwa nguvu ya Kikwete tu, ni watu waliojaribiwa wakashindwa. Insurbodination aliyofanya makamba ni disqualification katika uongozi wowote wa kuteuliwa, na kwa failure ya Mbarawa kutimiza majukumu yake wizara ya ujenzi wakati huo, hakutakiwa kurudi pale tena.
Si ndio maana uliona walianza kujitenga na bedui mwendazake. Bedui mwendazake hakulinda maslahi yao, ndio maana vita ikawa kubwa. Au umesahau?January amewekwa ili alinde maslahi ya akina JK na Rostam dhidi ya nani ?
Hayo maslahi yalikua yanalindwa na nani kabla January hajawa waziri wa nishati ?
Vijana wa January naona mmefufukaUmeandika uzi
Lengo lako umponde makamba lakini makamba ana akili kuwazidi watu wenu
Form six ya zamani ni sawa na Masters ya sasa hivi mnazopata kwa kuvua chupi na kugoogle...kkkkkKwa elimu yako ya kidato Cha 6 , huwezi kuelewa chochote. Mengi yapo juu ya uwezo wako
Angekuwa amesomea Ph.D yake Tanzania au mtandaoni kama kama akina Mary Nagu nisingekuwa na mashaka kuhusu madau yako, ila huyu kasomea Tsukuba Japan; tena kuanzia masters. Una ushahidi kuwa kuna jopo la maprofesa wa kijapani walimpa Ph.D ya bure huko? Angalia kati ya publications zake zilizotokana na research Yake ya Ph.D. Kama kuna mtu alimsaidia kumpa data kutoka serikalini, siyo kuwa alimfanyia analysis na kumwandikia thesis pamoja na publications zote hizi. Ingawa siyo strong publications lakini aliandika mwenyewe hadi chuo chake kuridhia. Kama una matatizo naye binafsi, yashughulike huko pembeni lakini siyo kushambulia characater ya mtu bila ushahidi wowote.Aaaaaaa acha kuongea sana habari za Tax watu tunafahamu historia yake nukta kwa nukta, elimu yake ilianzia wapi, elimu yake ya PhD alivyoipata, wazee gani walikuwa wanam.....mpaka akapewa fadhira, wewe kaa kimya tu usije ukamharibia Tax wa watu!!
Tunamtakia kazi njema!!
Inategemea na maana ya IQ; kuna wengine hupima IQ kwa idadi ya connection alizo nazo kwa vigogo ambao ni ndugu au rafiki wa wazazi wake.January ana IQ kubwa? Nchi hii tuna safari ndefu
Ukasome form 6 zamani alafu kazi utafute sasa hivi? Nimegundua huna akiliForm six ya zamani ni sawa na Masters ya sasa hivi mnazopata kwa kuvua chupi na kugoogle...kkkkk
Kwani kuna ubaya kutafuta kazi? Wewe ndio unaonilisha? Wewe sio Mungu nitaishi tu hata kama sina kazi.Ukasome form 6 zamani alafu kazi utafute sasa hivi? Nimegundua huna akili
Alikuwa rais ambaye aliwakamua Sana matajili,,, na alituaminisha kuwa Kila tajili NI fisadi,,, hivyo tuwachukie huku akitaka Kodi na pesa zingine kwa nguvu,,, ndio mzee yule alivyokuwa,,,kwa hiyo ukisema alikuwa Bora na mtetezi wa wanyonge maana yake ni kwamba na wewe unaamini kuwa matajili wote NI mafisadi
"I'm that I'm" - Hayati, Hubert McIntosh.Peter Tosh aliwahi kusema "Am not a politian but I suffer the consequences" ndo kinachotukuta sisi ambao matendo ya siasa zao yanatuumiza kila siku.
Hao ni chukizo na laana ya taifaJanuary Makamba + Six Telecom (enzi hizo) + Kinana + Mzee makamba. Hii timu hii, yetu macho