Ninayoyaona KKKT nimegundua Kanisa Katoliki ndilo kanisa la Kweli

Sahau kabisa hili jamaa yangu waafrika kuirudia asili yetu ndiyo basi tena
 
Ofcourse, I wonder why Malasusa achaguliwe tena
 
We mpumbavu unashinda njaa huko kwenu halafu usingizie Roma?migogoro isiyokua na idadi KKKT Roma ndio inasababisha?
 
Unachokikataa ndio unachokiishi, Jitambue.

Dini yako ni Uislam na unasema dini pekee ni Mnyazi Mungu, unapomwabudu Mwenyezi Mungu huwezi kukwepa dini, dini ni kama njia ya Kumwabudu
Naam, dini kwa Mwenyeezi Mungu ni Uislam tu.

Labda huelewi maana ya neno dini. Ukristo siyo dini, ni imani tu za wazungu za wagawe uwatawale.

Wenyewe waliwaletea Ukristo sasa wanayageuza makanisa kuwa Misikiti.
 
Naam, dini kwa Mwenyeezi Mungu ni Uislam tu.

Labda huelewi maana ya neno dini. Ukristo siyo dini, ni imani tu za wazungu za wagawe uwatawale.

Wenyewe waliwaletea Ukristo sasa wanayageuza makanisa kuwa Misikiti.
Sawa kabisa. Ukristo sio dini.

Sasa hebu niambie DINI NI NINI kwa mujibu wa Kamusi/Dictionary?

Kwenye hili swali FaizaFoxy huwa anatia huruma sana.[emoji1787]

Hawezi kulijibu KAMWE. Kwa sababu ukweli anaujua na anajua akijibu kama nilivyouliza Propaganda yake itakufa natural death.
 
Luther wakati mama yake anafariki alikiri ya kwamba 'ni bora kuishi kama mprotestanti na kufa kama mkatoliki'
 
Nyie wagalatia Njaa zitawaua
Duuu nyinyi mlifikiri Shetani ni Allah tu na kwa Mtume Wake ni Mohammad pekee🙃 Msicho jua Shetani anatumika DINI kupotosha huu Ulimwengu na ndyo maana Biblia inamuita MTAWALA wa Ulimwengu huu ( John 16:11).
Na katika Ufunuo 17:1-2 Biblia inaziita Dini zote za Uongo Kahaba ikimaanisha zinadai kumfuata yule Mungu wa Kweli na Wakati huo huo zikijichanganya na Serikali ambazo kimsingi zimejaa ufisadi na kufanya maisha ya watu wa chini magumu.
Katika Ufunuo 17:16&17 Biblia inasema Mungu hatimaye atatia kwenye mioyo ya Viongozi wa Serikali hizi ambazo hizi Dini hujichanganya nazo ili hizo Serikali ziziharibu hizo dini zipotee milele (za kiislam, Kikiristo, kiyahudi na hata Hindu).
Biblia itabaki ya kweli hizo Dini zenu zinawapoteza
Mabishano ya kidini ni ujinga na kipimo cha uelewa mdogo.
Uislam pekee.

Hakuna mfumo kama wa kanisa kwenye Uislam. Uislam ndiyo dini pekee kwa Mwenyezi Mungu. Kila kitu ni wewe na Muumba wako tu.
Mtuombee tu sio sisi na Wala sio matakwa ya walutheri ni CCM wametuzidi kete
Ulikuwa hujagundua?
 
Uislam pekee.

Hakuna mfumo kama wa kanisa kwenye Uislam. Uislam ndiyo dini pekee kwa Mwenyezi Mungu. Kila kitu ni wewe na Muumba wako tu.
Kama uislamu ndio dini pekee basi there is no hope for the future.. mungu yule ya kwenye quran ndio awe aliumba mbingu na ardhi? Hilo jambo haliwezekani.
 
Hivi nyie mnaokaa kujadili Imani za Watu na miongozo Yao hamuoni Aibu? Wacheni Wafu wazike Wafu Wao. Hayawahusu ukiona huwezi kaanzishe Kanisa lako na Maji ya Upako, Mafuta ya Upako, Keki za Upako, na Mengineyo.
 
Bibi huko msikitini kwako hakuna maustadhi,Maulamaa,masheikh wanaolawiti watoto na watu wazima ikiwemo wake zao?
Usichanganye kosa na dini ya mtu.
Bibi mbona umri wako mkubwa unashindwa kupembua mambo madogo kama haya.??
 
Roman Catholic msingi wake umewekwa na Yesu Kristo kupitia Mtume Petro pale Vatican hayo mengine msingi wake uwekwa na mmiliki wake.
Ndo maana katoliki linaitwa church na hayo mengine yenye wachungaji walioa uitwa churches.
Hii nilikuwa sijui
 
Umemaliza kila kitu maana siku hizi watu eanafuata miujiza badala ya liturujia
 
Sio bure wewe ulikua sista wa kanisa katoliki ukazaa ukafukuzwa..sasa chuki ndo zimetaradadi..
Habari yako Sr Fausta..
 
Daaah!!! Wewe jamaa umeongea ukweli halisi. Kinachoendelea ndani ya KKKT ya sasa ni tofauti na ile ya miaka ya 90 kurudi nyuma miaka ya 80s na 70s ambapo hata ukiingia kanisani ile atmosphere na utulivu wa kanisa unahisi hapa kweli kuna roho wa Mungu.
Mchungaji au Mwinjilisti anaposimama madhabahuni ule utulivu wake na unyenyekevu unaona kweli hapa kuna mtumishi muaminifu anayetuhubiria habari njema, hata kwenye nyimbo na kwaya zilikuwa zinaimbwa kwa kumaanisha na sio KWA MAVURUGU KAMA ILIVYO SASA.
Leo hii wachungaji wanachofanya ni kutaka kuwaonyesha waumini jinsi walivyo mahiri kuhubiri ndio maana mchungaji ni kurukaruka na kukimbia kila kona Madhabahuni, kufoka, kukemea, kunena na lugha wanayodai ndio lugha mpya.
YAANI KKKT WAMEJIKUTA WANACHEZA BEAT YA JAMAA ZAO WALIOUKIMBIA ULUTHERI NA KWENDA KUANZISHA MAKANISA YA KILOKOLE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…