Ninayoyasikia mtaani juu ya watumishi wa Umma katika awamu ya sita yanatisha

Kwa kweli mimi naona mambo ni yale yale tu
 
Cha moto unakiona fanyakazi uzushi hauna nafasi kwa sasa utaumia sana.
 
Toka Kinana apewe umakamu naona Bhagosha wameamua kumkumbuka Mwendazake.
 
Miwaongezee mishahara na kuboresha marupurupu na maslahi yao.Siyo unataka tu uhudumiwe kwa haki wakati hautaki kutimiza wajibu wako kwa mtumishi.Nipe haki yangu nitimize wajibu kwa haki.
Kama kazi haina masilahi unaacha sio kufanya ilimradi tu.
 
[emoji1787][emoji1787] awamu ya 5 hata wakamteka bila kujali ye ni nani
Ndiyo maana ya Serekali,hata ukiwa na pesa vp tii mamlaka! Siyo Serekali unakaa unawabembeleza Wafanyabiashara, mwisho wao ndiyo watakupangia mashariti Kama wanavyofanya kwenye hii awamu ya 6!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Upuuzi mtupu umeandika hapa! Acha kuchafua ofisi za umma, hizo ulizoandika labda za ukoo wako.

Kwa kukusaidia Magufuli alikwisha kufa wala haji kurudi tena milele, kajipange upya!
Uje ofisini na kitu kidogo bila hivyo utakula kwa urefu wa kamba yako.
 
Acha tukome kabisa maana watu hawajielewi
 
Upuuzi mtupu umeandika hapa! Acha kuchafua ofisi za umma, hizo ulizoandika labda za ukoo wako.

Kwa kukusaidia Magufuli alikwisha kufa wala haji kurudi tena milele, kajipange upya!
Ila yuko mioyoni mwa watz waliowengi mkuu.
 
Ndiyo maana ya Serekali,hata ukiwa na pesa vp tii mamlaka! Siyo Serekali unakaa unawabembeleza Wafanyabiashara,mwisho wao ndiyo watakupangia mashariti Kama wanavyofanya kwenye hii awamu ya 6!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
ungejua sababu ya kutekwa kwake usingeandika huo uharo. ni serikali ya kijuha tu inaweza kuteka bilionea wa nchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…