cheguevara
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 1,348
- 652
ExactlyMchengerwa alikuwa very smart na alishaanza kuwafanya Watumishi waipende Serikali yao na waone inawajali of which ndiyo kazi ya kwanza ya Mwanasiasa,kupigiwa kura kunafuata.Alifanya vyema sana sijui nini kimetokea.
kwa mhagama...soon Ndjembi will be frustrated kama mavunde na katambi.....mama mbea huyo ni balaa.Mama chonde chonde, nakuomba tena kwa kusisitiza sana, mrejeshe Mohammed Mchengerwa Wizara ya Utumishi. Huyo bwana hapo alikuwa smart sana na alijitahidi sana kushughulikia na kutolea ufafanuzi kwa ufasaha kabisa masuala ya kiutumishi.
Huyu kipaza sauti uliyemleta utumishi naomba arudi huko kwenye sera na siasa nyingine. Mhagama ni mpiga mayowe tu na hawezi kujenga hoja, atasababisha uchukiwe bure na watumishi.
Mchengerwa ni smart sana ambaye ameanza vizuri, hupaswi kumkatisha tamaa kwa kupeleka huko.
Yule anatakiwa Utumishi au TAMISEMI. Very smart
Mwisho rekebisha jina la Wizara ya Gwajima hasa pale kwenye Wanawake na Jinsia hapajakaa vizuri maana neno jinsia linatisha sana
Kazi iendelee!!
NONSENSEMama chonde chonde, nakuomba tena kwa kusisitiza sana, mrejeshe Mohammed Mchengerwa Wizara ya Utumishi. Huyo bwana hapo alikuwa smart sana na alijitahidi sana kushughulikia na kutolea ufafanuzi kwa ufasaha kabisa masuala ya kiutumishi.
Huyu kipaza sauti uliyemleta utumishi naomba arudi huko kwenye sera na siasa nyingine. Mhagama ni mpiga mayowe tu na hawezi kujenga hoja, atasababisha uchukiwe bure na watumishi.
Mchengerwa ni smart sana ambaye ameanza vizuri, hupaswi kumkatisha tamaa kwa kupeleka huko.
Yule anatakiwa Utumishi au TAMISEMI. Very smart
Mwisho rekebisha jina la Wizara ya Gwajima hasa pale kwenye Wanawake na Jinsia hapajakaa vizuri maana neno jinsia linatisha sana
Kazi iendelee!!
Naunga mkono..alifit sana utumishiMama chonde chonde, nakuomba tena kwa kusisitiza sana, mrejeshe Mohammed Mchengerwa Wizara ya Utumishi. Huyo bwana hapo alikuwa smart sana na alijitahidi sana kushughulikia na kutolea ufafanuzi kwa ufasaha kabisa masuala ya kiutumishi.
Huyu kipaza sauti uliyemleta utumishi naomba arudi huko kwenye sera na siasa nyingine. Mhagama ni mpiga mayowe tu na hawezi kujenga hoja, atasababisha uchukiwe bure na watumishi.
Mchengerwa ni smart sana ambaye ameanza vizuri, hupaswi kumkatisha tamaa kwa kupeleka huko.
Yule anatakiwa Utumishi au TAMISEMI. Very smart
Mwisho rekebisha jina la Wizara ya Gwajima hasa pale kwenye Wanawake na Jinsia hapajakaa vizuri maana neno jinsia linatisha sana
Kazi iendelee!!
Alifanyaje kwani huyu mchengerwa Mimi nilikuwa namuona smart sanaHana usmart wowote, huyu angepishana jela na Sabaya baada ya Mama Mkwe wake kuondoka Ikulu
Ujue hyo wizara before yake ilikuwaga umelala flani humusikii Waziri akisimama na watumishi na kutoa muongozo, maana zamani wanasiasa wakuu wa mikoa walikuwa wananyima watumishi likizo bila kufata sheria, Sasa mchengerwa akakemea hyo kituSio wewe pekeyako. Utafiti mdogo tu unaonesha watumishi wengi hawajapendezwa na mabadiliko hayo
Ilikuwa imepata mtu hakika nakwambiaUjue hyo wizara before yake ilikuwaga umelala flani humusikii Waziri akisimama na watumishi na kutoa muongozo, maana zamani wanasiasa wakuu wa mikoa walikuwa wananyima watumishi likizo bila kufata sheria, Sasa mchengerwa akakemea hyo kitu
Jenista huwa ni mweupe sana kichwani aisee, na huyo mganga wake kiboko uwaziri kwake umekuwa permanent employment na ndiyo mzeeKubaki haina maana ni mzuri, jenista Ana uwezo gani zaidi ya kiherehere bungeni
Maraisi hupenda watu wenye viherehere na uwezo mdg kichwani (wale wa kutumwa tumwa na ndio mzee)
Lini umeona maraisi wetu wakipenda watu smart kichwani
Kipendwa na kila awamu Ina maana ni bendera tu na mfuata maelekezo mzuri
Tulijua KERO zetu sasa basi,Mara puuuuMama chonde chonde, nakuomba tena kwa kusisitiza sana, mrejeshe Mohammed Mchengerwa Wizara ya Utumishi. Huyo bwana hapo alikuwa smart sana na alijitahidi sana kushughulikia na kutolea ufafanuzi kwa ufasaha kabisa masuala ya kiutumishi.
Huyu kipaza sauti uliyemleta utumishi naomba arudi huko kwenye sera na siasa nyingine. Mhagama ni mpiga mayowe tu na hawezi kujenga hoja, atasababisha uchukiwe bure na watumishi.
Mchengerwa ni smart sana ambaye ameanza vizuri, hupaswi kumkatisha tamaa kwa kupeleka huko.
Yule anatakiwa Utumishi au TAMISEMI. Very smart
Mwisho rekebisha jina la Wizara ya Gwajima hasa pale kwenye Wanawake na Jinsia hapajakaa vizuri maana neno jinsia linatisha sana
Kazi iendelee!!
Kama ni hivyo basi avune alichopandaBig No
Kwa mujibu wa Jarida la Sauti Kubwa madhila ya Mbowe ni mkono wake mchafu.